Nchi za Afrika tunadharauliana wenyewe kwa wenyewe. Hii si sawa

Nchi za Afrika tunadharauliana wenyewe kwa wenyewe. Hii si sawa

Miaka ya nyuma tumesaidia nchi nyingi sana katika harakati za Ukombozi. Kupinga Ubaguzi,Ukandamizaji ba Uonevu.

Nchi nyingi. Tuna maeneo na mitaa mingi kwa Majina ya Wanaharakati na wakombozi wa Africa. Mitaa kama Nkrumah n.k na hata Shuleni nakumbuka kulikuwa na Mabweni kama Nkrumah, Samora, Mandela n.k

Leo hii nchi nyingi zinatudharau kwa kiburi tu. Rais wetu si wa wa kupokelewa na watu wa namna hii. Kuna shida gani? Kwani hakutoa taarifa? Hivi angekuwa ameenda Biden Ghana wangempokea hivi?

Jamaa amevaa vitu vya ajabu kabisa ameenda mpoke Rais wetu. Ba watu wa kuhesabu ambao unawatizama tu unaona huyu dada mmoja ni Afsa Ustawi wa Jamii, yule kule ni Nurse au Mkunga ambaye siku hiyo inaonekana alikuwa zamu.

Huyo jamaa mwenye suruali ya blue Injia alikuwa site na safety booty akaomba koti kwa mchina mmoja akaja mpokea Rais. Halafu yule dada anayeongea na Rais pale ni Bank Teller na amekuja na sandals zake sababu wakikaa pale kaunta huwa chini hatuwaoni ndo kaja hivyo hivyo.

Yaani unaona walio smart ni watu wetu walioongozana na Rais. Hili si jambo zuri kwa nchi zetu kufanyiana. Lazima wamheshimu Rais wetu. Swali je angekuwa anatoka USA au UK wangefanya hivi?

View attachment 2236550
😬😬😎
 
Miaka ya nyuma tumesaidia nchi nyingi sana katika harakati za Ukombozi. Kupinga Ubaguzi,Ukandamizaji ba Uonevu.

Nchi nyingi. Tuna maeneo na mitaa mingi kwa Majina ya Wanaharakati na wakombozi wa Africa. Mitaa kama Nkrumah n.k na hata Shuleni nakumbuka kulikuwa na Mabweni kama Nkrumah, Samora, Mandela n.k

Leo hii nchi nyingi zinatudharau kwa kiburi tu. Rais wetu si wa wa kupokelewa na watu wa namna hii. Kuna shida gani? Kwani hakutoa taarifa? Hivi angekuwa ameenda Biden Ghana wangempokea hivi?

Jamaa amevaa vitu vya ajabu kabisa ameenda mpoke Rais wetu. Ba watu wa kuhesabu ambao unawatizama tu unaona huyu dada mmoja ni Afsa Ustawi wa Jamii, yule kule ni Nurse au Mkunga ambaye siku hiyo inaonekana alikuwa zamu.

Huyo jamaa mwenye suruali ya blue Injia alikuwa site na safety booty akaomba koti kwa mchina mmoja akaja mpokea Rais. Halafu yule dada anayeongea na Rais pale ni Bank Teller na amekuja na sandals zake sababu wakikaa pale kaunta huwa chini hatuwaoni ndo kaja hivyo hivyo.

Yaani unaona walio smart ni watu wetu walioongozana na Rais. Hili si jambo zuri kwa nchi zetu kufanyiana. Lazima wamheshimu Rais wetu. Swali je angekuwa anatoka USA au UK wangefanya hivi?

View attachment 2236550
Eti Bank taller 😆😆..Huyo ni Dr.Patricia AfdB county Manager wa Tanzania..

Huyo mwenye boot sijajia ni nani 🤣😂
 
Huyo mama mpaka amekaa kwa hiyo nafasi dunia nzima inajua hujuma alizozifanya kumpoteza Rais wake.

Alikua na dhamira ya ukombozi kwa taifa letu na kuwa mfano kwa mataifa mengine.
 
Huyo mama mpaka amekaa kwa hiyo nafasi dunia nzima inajua hujuma alizozifanya kumpoteza Rais wake.

Alikua na dhamira ya ukombozi kwa taifa letu na kuwa mfano kwa mataifa mengine.
😜😜😝😝😁😁😁😁😁 Imebidi nicheke tuu
 
Hao ni sukuma gang mkuu,wanamueleza Mama kwa vitendo jinsi anavyopigwa vita kila kona . Ama kweli sukuma gang wametawala sehemu nyingi.
haya magang yako mangapi?tuelewane humu ndani ili tuyajue sababu ni gang mmoja tu linalojulikana na kushambuliwa.tukiyajua mengine itakuwa vzr ili hoja zetu ziweze kubalance.
 
too much of anything is harmful!
safari za muhimu kwa Mama ni Scandinavia, US, China, Canada, Turkey, France, Arabuni na Canada kwenye pesa na wawekezaji, kwingineko Afrika anazurura tu na Marais wenzake wote wameshamjua amepata ulimbukeni na wameshamdharau!

urais wenyewe wa kubet au mchongo pesa! atulie!!

akiabika na kudharaulika Mama inawarudia wabongo wote wa Diaspora!! uzunguni huwa kawaida Rais wako akizingua majirani zako wazungu huwa wanakucheka na kukutania sana!

hili ni fundisho kwa ile taasisi yake kuacha kuwaza per diem zao za nje ya nchi na kumshauri Mama atulie bongo kwake hata mwaka mmoja kuzunguka mikoani kujua shida za wananchi na kujibu maswali yao ya papo kwa papo kama Mwendazake!!

wabongo tukipewa bajeti ya pesa ya safari zote za Mama nje ya nchi tutasema bora Mwendazake angefufuka!! Karl Marx anasema ukitaka kujifunza kitu chochote anza na kuangalia mpunga ni kiasi umeliwa, nani amekula na nani hajala na mgogoro utajifungua!

So sad!
 
Ndani ya CCM yapo mengi kila uchaguzi yanaibuka mapya,sema kwa sasa chadema wanashambulia sukuma gang pekee wakidhani ndilo adui yao mkubwa
haya magang yako mangapi?tuelewane humu ndani ili tuyajue sababu ni gang mmoja tu linalojulikana na kushambuliwa.tukiyajua mengine itakuwa vzr ili hoja zetu ziweze kubalance.
 
Mwaka huu mikutano inafanyika Accra ,iko live saizi majadiliano yanaendelea..

Mwendazake alikuwa hawezi enda kwa sababu za lugha [emoji38][emoji38]
shikeni moja shida ilikuwa mashine ya moyo au lugha???

msiwe kama malaya mlevi kila mwanaume mwenye gari ni wake.
 
Kifupi wamemdharau yeye na alio ambatana nao, kiujumla wametudharau mpaka raia. Inasikitisha
 
Back
Top Bottom