Nchi za Afrika za Francophonie na Common wealth zinalipa Trillion 3000 kila mwaka kwa Ufaransa na Uingereza kama fidia ya faida za ukoloni

Nchi za Afrika za Francophonie na Common wealth zinalipa Trillion 3000 kila mwaka kwa Ufaransa na Uingereza kama fidia ya faida za ukoloni

Uliwahi kuona wapi mtu anakupa uhuru kwa makubaliano tu ya mdomo bila kumwaga damu? Ya commonwealth tuyaache kwanza, maana wengine mna BP humu, tuache tu.., tujadili ya Francophonie kwa sasa
Tupe na ya Commonwealth maana ndo yanatuhusu .Hayo ya francophone hayatuhusu.
 
Fake news, hizo nchi kwanza hazina uwezo wa kugenerate hizo dollar billioni 500 kwa mwaka za kulipa kadeni na bado zijiendeshe

Hakuna Siri sa ivi duniani kwenye ulimwengu wa kidijitali, labda uniambie hua wanalipana hizo pesa kwenye magunia, ila kama ni transactions za kibenk ingekua ishajulikana kitambo tu,

Btw, nchi Gani hizo mbili ambapo wafaransa walifanya ivo?
We uko nyuma sana mbona
 
1. Benki kuu za nchi hizo zinatakiwa (sio ombi, ni amri) kuweka asilimia 50% ya hazina yake yote katika benki za ufaransa.
Na serikali ya ufaransa ina haki zote za kutumia pesa hizo bila ruhusa kutoka nchi husika.
Pia ndio maana pesa zao (nchi nyingi Afrika magharibi: Senegal, ivory coast, mali, benin, niger, burkina faso etc) zinaitwa CFA Franc.

2. Right of First Refusal.
Ufaransa kama koloni lao la zamani wana haki ya kukataa kwanza kwa uwekezaji wowote ule unatakiwa kufanywa katika nchi hizo.

Mfano;
Benin kagundua kuwa ana madini ya urani(uranium) katika ardhi yake, taarifa inabidi ziwafikie serikali ya ufaransa kwanza, nayo itangazie makampuni ya uchimbaji madini kuhusu hiyo fursa. Kama makampuni na serikali itaona hiyo fursa haina tija kwao, wataikataa, hapo sasa ndio serikali ya Benin inaweza tangaza fursa hiyo kwa nchi wawekezaji wengine ambao si wafaransa.

Kwa ufupi ni kwamba, ufaransa kajibinafsishia hizo nchi milele.
😳😳😳😳🤣🤣🤣 Yaan anahaki ya kuzitumia bila ruhusa, lakini atarudisha ama ndio hvyo Tena. Kwakweli uhuru ulikuwa changa la macho tu
 
Pesa hailipwi kwa pesa tu.., kuna malipo ya hali na mali pia..,
More allegations and assumptions

Kwenye Deni la kulipwa Kila mwaka umekua na exacts figures, kwenye kujibu hizo nchi zinapataje hizo pesa ambazo ni maradufu ya GDP zake, unaanza kuleta story


Hakukatai kua Hawa jamaa bado wanaendeleza ukoloni kwa kusign shady deals lakini sio kwa extent unayoisema wewe
 
Kwa sasa naandika kwa kifupi sana, ila nitaleta andika kamili kesho au baadae.

Nitaanza na Francophone Africa. mnafahamu kwamba Ufaransa iliwasainisha makoloni yake yote mkataba unaoitwa ‘Agreement for the continuation of colonialism’ kabla hajawapa ‘uhuru feki’?

Msingi wa mkataba huu ni kwamba Ufaransa anadai alipwe kwanza fidia ya maendeleo yote ya kiutawala na miundo mbinu ambayo aliwekeza kwenye nchi hizo ili aweze kuondoka.

Kuna nchi mbili ziligoma kusaini , kilichowakuta kiliwaogopesha makoloni mengime yote na wakasaini. Wale waliogoma, Ufaransa aliondoka , lakini alichukua kila kilicho chake ambacho kinahamishika, vile ambavyo havihamishiki walivichoma moto vyote, waling’oa reli, walichoma moto majengo yote ya kiutawala, walichoma moto maghala yote ya chakula, walitia sumu visima vyote, waliharibu kila kitu! Ndio wakaondoka, kuona dhahama hiyo, wote waliobaki walisaini.

Kupitia mkataba huo wa siri wa kinyonyaji, nchi za Francophone Africa wanalipa Dollar Billioni 500 kila mwaka kwa Ufaransa, na sharti kuu ni iwe siri , wananchi wasiambiwe.

Marais wengi wapya wa nchi hizo kila walipoingia madarakani walikutana na mkataba huu, na hawakuamini walichokiona, na wakagoma kulipa, kila aliyegoma aliuwawa au kupinduliwa. Angalia histora ya Marais wa nchi hizo, utashangaa, wengi sana wameuwawa na kupinduliwa.

Burkinafaso mfano, walishamuuwaga Thomas Sankara, hata huyu Rais wao wa sasa, huu mkataba ulimuumiza sana roho, na akawafukuza wafaransa na kusema wazi kabisa , haogopi kufa, na hata majaribio ya mapinduzi wameshamfanyia majaribio zaidi ya 10, na bado wanaendelea kumuwinda. Ameina bora akatafuta alliance na Urusi, na wameingia military pact ya kumlinda kwa malipo kidogo. Inshort huyu Dogo kawaambia Ufaransa lije jua ije mvua, halipi hiyo pesa!! Na kawatimua nchini kwake!

Huo mkataba nitauleta na nitauchimbua msharti yake yalivyo makali, inaumiza sana. Dollar billion 500 kila mwaka wale mbwa wanavuna, inauma sana!

Weka uthibitisho na ushahidi usiopinguka kimantiki hapa.

Hayo mambo ya siri hata mimi naweza kukwambia mimi ni baba yako ila ni siri mama yako hajakwambia tu.
 
Msingi wa mkataba huu ni kwamba Ufaransa anadai alipwe kwanza fidia ya maendeleo yote ya kiutawala na miundo mbinu ambayo aliwekeza kwenye nchi hizo ili aweze kuondoka.
Na yeye alizochuma kutoka kwenye hizo nchi kipindi anazitawala halipii?

Kwa sasa naandika kwa kifupi sana, ila nitaleta andika kamili kesho au baadae.

Nitaanza na Francophone Africa. mnafahamu kwamba Ufaransa iliwasainisha makoloni yake yote mkataba unaoitwa ‘Agreement for the continuation of colonialism’ kabla hajawapa ‘uhuru feki’?

Msingi wa mkataba huu ni kwamba Ufaransa anadai alipwe kwanza fidia ya maendeleo yote ya kiutawala na miundo mbinu ambayo aliwekeza kwenye nchi hizo ili aweze kuondoka.

Kuna nchi mbili ziligoma kusaini , kilichowakuta kiliwaogopesha makoloni mengime yote na wakasaini. Wale waliogoma, Ufaransa aliondoka , lakini alichukua kila kilicho chake ambacho kinahamishika, vile ambavyo havihamishiki walivichoma moto vyote, waling’oa reli, walichoma moto majengo yote ya kiutawala, walichoma moto maghala yote ya chakula, walitia sumu visima vyote, waliharibu kila kitu! Ndio wakaondoka, kuona dhahama hiyo, wote waliobaki walisaini.

Kupitia mkataba huo wa siri wa kinyonyaji, nchi za Francophone Africa wanalipa Dollar Billioni 500 kila mwaka kwa Ufaransa, na sharti kuu ni iwe siri , wananchi wasiambiwe.

Marais wengi wapya wa nchi hizo kila walipoingia madarakani walikutana na mkataba huu, na hawakuamini walichokiona, na wakagoma kulipa, kila aliyegoma aliuwawa au kupinduliwa. Angalia histora ya Marais wa nchi hizo, utashangaa, wengi sana wameuwawa na kupinduliwa.

Burkinafaso mfano, walishamuuwaga Thomas Sankara, hata huyu Rais wao wa sasa, huu mkataba ulimuumiza sana roho, na akawafukuza wafaransa na kusema wazi kabisa , haogopi kufa, na hata majaribio ya mapinduzi wameshamfanyia majaribio zaidi ya 10, na bado wanaendelea kumuwinda. Ameina bora akatafuta alliance na Urusi, na wameingia military pact ya kumlinda kwa malipo kidogo. Inshort huyu Dogo kawaambia Ufaransa lije jua ije mvua, halipi hiyo pesa!! Na kawatimua nchini kwake!

Huo mkataba nitauleta na nitauchimbua msharti yake yalivyo makali, inaumiza sana. Dollar billion 500 kila mwaka wale mbwa wanavuna, inauma sana!

Ungeweka na chanzo cha hizi taarifa
 
😳😳😳😳🤣🤣🤣 Yaan anahaki ya kuzitumia bila ruhusa, lakini atarudisha ama ndio hvyo Tena. Kwakweli uhuru ulikuwa changa la macho tu
Ukitaka akurudishie, unatakiwa uende ukazikope, yaani pesa zako mwenyewe , ila ukienda kudraw ni kama unakopeshwa, na utalipa kwa riba ya kibiashara… na huruhusiwi kukopa zaidi ya 20% ya pesa zako katika mwaka mmoja. Na wakati huo huo, France ana haki ya kuzizungushia kwenye biashara yeyote na kuziwekeza lwe ye masoko ya hisa popote duniani, na faida zote za uwekezaji ni za Ufaransa!
 
Kwa sasa naandika kwa kifupi sana, ila nitaleta andika kamili kesho au baadae.

Nitaanza na Francophone Africa. mnafahamu kwamba Ufaransa iliwasainisha makoloni yake yote mkataba unaoitwa ‘Agreement for the continuation of colonialism’ kabla hajawapa ‘uhuru feki’?

Msingi wa mkataba huu ni kwamba Ufaransa anadai alipwe kwanza fidia ya maendeleo yote ya kiutawala na miundo mbinu ambayo aliwekeza kwenye nchi hizo ili aweze kuondoka.

Kuna nchi mbili ziligoma kusaini , kilichowakuta kiliwaogopesha makoloni mengime yote na wakasaini. Wale waliogoma, Ufaransa aliondoka , lakini alichukua kila kilicho chake ambacho kinahamishika, vile ambavyo havihamishiki walivichoma moto vyote, waling’oa reli, walichoma moto majengo yote ya kiutawala, walichoma moto maghala yote ya chakula, walitia sumu visima vyote, waliharibu kila kitu! Ndio wakaondoka, kuona dhahama hiyo, wote waliobaki walisaini.

Kupitia mkataba huo wa siri wa kinyonyaji, nchi za Francophone Africa wanalipa Dollar Billioni 500 kila mwaka kwa Ufaransa, na sharti kuu ni iwe siri , wananchi wasiambiwe.

Marais wengi wapya wa nchi hizo kila walipoingia madarakani walikutana na mkataba huu, na hawakuamini walichokiona, na wakagoma kulipa, kila aliyegoma aliuwawa au kupinduliwa. Angalia histora ya Marais wa nchi hizo, utashangaa, wengi sana wameuwawa na kupinduliwa.

Burkinafaso mfano, walishamuuwaga Thomas Sankara, hata huyu Rais wao wa sasa, huu mkataba ulimuumiza sana roho, na akawafukuza wafaransa na kusema wazi kabisa , haogopi kufa, na hata majaribio ya mapinduzi wameshamfanyia majaribio zaidi ya 10, na bado wanaendelea kumuwinda. Ameina bora akatafuta alliance na Urusi, na wameingia military pact ya kumlinda kwa malipo kidogo. Inshort huyu Dogo kawaambia Ufaransa lije jua ije mvua, halipi hiyo pesa!! Na kawatimua nchini kwake!

Huo mkataba nitauleta na nitauchimbua msharti yake yalivyo makali, inaumiza sana. Dollar billion 500 kila mwaka wale mbwa wanavuna, inauma sana!

Nakusihi sana utakapouleta huo mkatabaa na uchambuzi wake iwe ni kwa lugha ya kiswahili kwa faida ya walio wengi. Nakuombea Mungu akulinde na kukutunza. Amina.
 
Ukitaka akurudishie, unatakiwa uende ukazikope, yaani pesa zako mwenyewe , ila ukienda kudraw ni kama unakopeshwa, na utalipa kwa riba ya kibiashara… na huruhusiwi kukopa zaidi ya 20% ya pesa zako katika mwaka mmoja. Na wakati huo huo, France ana haki ya kuzizungushia kwenye biashara yeyote na kuziwekeza lwe ye masoko ya hisa popote duniani, na faida zote za uwekezaji ni za Ufaransa!
Hivi ni utani ama kweli. Mbona naona ni kama jambo lisilowezekana. Sasa huko kwenye umoja wa Africa viongozi Huwa wanakutana kujadili nini kama unyonyaji ni mkubwa hivyo
 
More allegations and assumptions

Kwenye Deni la kulipwa Kila mwaka umekua na exacts figures, kwenye kujibu hizo nchi zinapataje hizo pesa ambazo ni maradufu ya GDP zake, unaanza kuleta story


Hakukatai kua Hawa jamaa bado wanaendeleza ukoloni kwa kusign shady deals lakini sio kwa extent unayoisema wewe
Pesa hizo hulipwa kwa rasilimali pia, ambazo wao kwa sababu wanazozijua wao hawataki kuzijumlisha kwenye GDP.., hivyo in relairy GDP ya hizo nchi ni kubwa sana kama utajumlisha rasilimali zinazochotwa kiharamu na kupelekwa uFaransa
 
More allegations and assumptions

Kwenye Deni la kulipwa Kila mwaka umekua na exacts figures, kwenye kujibu hizo nchi zinapataje hizo pesa ambazo ni maradufu ya GDP zake, unaanza kuleta story


Hakukatai kua Hawa jamaa bado wanaendeleza ukoloni kwa kusign shady deals lakini sio kwa extent unayoisema wewe
Pesa hizo hulipwa kwa rasilimali pia, ambazo wao kwa sababu wanazozijua wao hawataki kuzijumlisha kwenye GDP.., hivyo in reality GDP ya hizo nchi ni kubwa sana kama utajumlisha rasilimali zinazochotwa kiharamu na kupelekwa uFaransa
 
Back
Top Bottom