Nchi za Afrika za Francophonie na Common wealth zinalipa Trillion 3000 kila mwaka kwa Ufaransa na Uingereza kama fidia ya faida za ukoloni

Nchi za Afrika za Francophonie na Common wealth zinalipa Trillion 3000 kila mwaka kwa Ufaransa na Uingereza kama fidia ya faida za ukoloni

Usiende Mbali Tanzania hii kuna Mgodi umejazwa maji na kutiwa SUMU. Wakoloni walikasirika kufurushwa. Wamekuja Waturuki na Wachina wameushindwa wametoa ripoti kwamba maji na Sumu yaliyojazwa kwenye huo Mgodi ukiyavuta kuja Nchi kavu yataathiri vyanzo vyote vya Nchi kavu na watu watapoteza Maisha.

Mgodi Upo Mpanda Mjini Mkoa wa Katavi eneo la Kampuni. Reli ya kutoka Tabora Mpanda inaishia ndani ya Mlima/Handaki la Mgodi huo wa Dhahabu. Afrika tumeonewa sana na makaburu.
Sasa Maji huko Mpanda yataathitije maji ya moto Pangani na Wami Ruvu??

Wakati mwingine hizo ni story za Mitaani tu sawa na Rashid mwenye Mbio kama ya Punda
 
Ndugu mshapishaji wa andiko tafadhali naomba kujua baadhi ya nchi zilizogoma kusaini huo mkataba hapo mwanzo kabisa hadi hao wakoloni wakapatwa na hasira za kuchoma moto mali zao na kuweka sumu katika visima!, nitajie hizo nchi tafadhali nataka niangalie hali zao kiuchumi kwa kipindi hiki zipo vipi 🙏 ASANTE.
 
mifumo ya kiutawala ya kifaransa ndio inayotoa njia za kuuana na kupinduana mala kwa mala. Mfano mifumo ya majimbo kwa nchi zetu hizi changa zenye utajili mwingi ni hatari sana hasa ukilinganisha na akili zetu za mtu mweusi mwenye uwezo mdogo wa akili ambao bado haujatoka kwenye sokwe/primitive.

mifumo ya majimbo inahitajika kwenye jamii zilizokomaa kiakili na kisiasa. na sio kwa akili ya mtu mweusi.
 
Ubongo wako ni mdogo sana hata panzi ana afadhali! Dealing with low IQ creatures is wastage of time
Peleka uwongo wako huko. Wewe ndo una low IQ kama kuku. Watanzania siyo wale wa zama za kuambiwa Kuna Rashidi mwenye mboro kubwa mtaani.

Eti Hilo shimo maji yakimwagika nje yataathiri maji ya Tanzania nzima. Kwani huko chini yanashindwa nini kuyaathiri kama ndivyo.
 
Ndugu mshapishaji wa andiko tafadhali naomba kujua baadhi ya nchi zilizogoma kusaini huo mkataba hapo mwanzo kabisa hadi hao wakoloni wakapatwa na hasira za kuchoma moto mali zao na kuweka sumu katika visima!, nitajie hizo nchi tafadhali nataka niangalie hali zao kiuchumi kwa kipindi hiki zipo vipi 🙏 ASANTE.
Cheki Guinea ya Sekou Toure ya 1958
 
Ndugu mshapishaji wa andiko tafadhali naomba kujua baadhi ya nchi zilizogoma kusaini huo mkataba hapo mwanzo kabisa hadi hao wakoloni wakapatwa na hasira za kuchoma moto mali zao na kuweka sumu katika visima!, nitajie hizo nchi tafadhali nataka niangalie hali zao kiuchumi kwa kipindi hiki zipo vipi 🙏 ASANTE.
Guinnea ambayo kesho itatufunga
 
Mzee wa kazi dola bilioni 500????

Hivi hiyo figure umeisoma vizuri ama??

Angalia kwanza GDP ya Taifa tajiri kabisa Afrika afu rudi kwenye figure ndio ujue sio hela ya kizembe kabisa


Na ingekuwa hivyo kama kweli basi hakuna Taifa ambalo lingemudu


Deni oingekuwa haliambiliki
Kwani raslimali za kiafrika zinanufaisha africa. Ohhh shit niga just use a small part of hen's brain to think please.
Hii mikopo mara chanjo mnakuja kudaiwa madeni ya yetu Africa yakoje. Africa ni tajiri mno kwani madini na resources zake zinawasaidia nini waafrika.
Jamaa si wanazichukua huku tukiachiwa small portion of percentage.
Gesi si tulitoa kwa mktaba bwerere ili tu kumuokoa prince asihukumiwe china.
Yaani huu mfumo wa nchi ni WA kijinga mno yaani mtu mmoja na udhaifu anatoa maamuzi ya Nation's fate.
Kwani lazima muwalipe casha
 
Mali, Burkinafaso na Niger wamefanikiwa kumtimua Mfaransa sababu wamehakikishiwa ulinzi na Putin, hata hivyo kuna pesa kidogo wanailipa Russia kwa ajili ya ulinzi, maana ulinzi ni gharama, ila bora kumlipa kidogo Putin kuliko kunyonywa kiasi kile na Ufaransa
Kumbe Warusi wamekodiwa na hizo nchi kufanya shughuli za Ulinzi?....Bora tu wangeendelea kuwapa hiyo kandarasi ya ulinzi Wafaransa.
 
Sasa Mfaransa hakuwa kwenye hizo nchi kutoa ulinzi, alikuwa pale kulinda maslahi yake kuhakikisha dollar bilioni 500 in cash and in kind inalipwa, anaegoma anauwawa au kupinduliwa..; jeuri ya kuwafukuza WaFaransa wameitoa kwa mRusi, amewahakikishia ulinzi kwa malipo kiduchu..
 
Kwa sasa naandika kwa kifupi sana, ila nitaleta andika kamili kesho au baadae.

Nitaanza na Francophone Africa. mnafahamu kwamba Ufaransa iliwasainisha makoloni yake yote mkataba unaoitwa ‘Agreement for the continuation of colonialism’ kabla hajawapa ‘uhuru feki’?

Msingi wa mkataba huu ni kwamba Ufaransa anadai alipwe kwanza fidia ya maendeleo yote ya kiutawala na miundo mbinu ambayo aliwekeza kwenye nchi hizo ili aweze kuondoka.

Kuna nchi mbili ziligoma kusaini , kilichowakuta kiliwaogopesha makoloni mengime yote na wakasaini. Wale waliogoma, Ufaransa aliondoka , lakini alichukua kila kilicho chake ambacho kinahamishika, vile ambavyo havihamishiki walivichoma moto vyote, waling’oa reli, walichoma moto majengo yote ya kiutawala, walichoma moto maghala yote ya chakula, walitia sumu visima vyote, waliharibu kila kitu! Ndio wakaondoka, kuona dhahama hiyo, wote waliobaki walisaini.

Kupitia mkataba huo wa siri wa kinyonyaji, nchi za Francophone Africa wanalipa Dollar Billioni 500 kila mwaka kwa Ufaransa, na sharti kuu ni iwe siri , wananchi wasiambiwe.

Marais wengi wapya wa nchi hizo kila walipoingia madarakani walikutana na mkataba huu, na hawakuamini walichokiona, na wakagoma kulipa, kila aliyegoma aliuwawa au kupinduliwa. Angalia histora ya Marais wa nchi hizo, utashangaa, wengi sana wameuwawa na kupinduliwa.

Burkinafaso mfano, walishamuuwaga Thomas Sankara, hata huyu Rais wao wa sasa, huu mkataba ulimuumiza sana roho, na akawafukuza wafaransa na kusema wazi kabisa , haogopi kufa, na hata majaribio ya mapinduzi wameshamfanyia majaribio zaidi ya 10, na bado wanaendelea kumuwinda. Ameina bora akatafuta alliance na Urusi, na wameingia military pact ya kumlinda kwa malipo kidogo. Inshort huyu Dogo kawaambia Ufaransa lije jua ije mvua, halipi hiyo pesa!! Na kawatimua nchini kwake!

Huo mkataba nitauleta na nitauchimbua msharti yake yalivyo makali, inaumiza sana. Dollar billion 500 kila mwaka wale mbwa wanavuna, inauma sana!

Story mwanzo mwisho. Hakuna uthibitisho wowote wa kisomi. Source niamini mimi bro.
 
Story mwanzo mwisho. Hakuna uthibitisho wowote wa kisomi. Source niamini mimi bro.
Labda ungeanza na Guinea ya Sekou Toure mwaka 1958, anzia hapo kutafuta udhibitisho.

Baada ya hapo nenda ubalozi wowote wa Ufaransa hapa Afrika uwauloze ni namna gani mfumo wa CFA unavyofanya kazi.

Baada ya hapo nenda kaulize hizo nchi za CFA ni ngapi zina Centrial banks, na kama hazina, nani anahifafhi reserve zao, fanya research kuhusu hayo halafu lete mrejesho
 
Back
Top Bottom