ThnkingAloud
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 546
- 564
Hakuna kizungu chochote hapo. Hiyo ni English. Nenda shule ukajifunze hujachelewa. Magaidi wa HAMAS walioenda Kusini pamoja na Wapalestina raia wema ni mpango wa HAMAS wa kuwatumia kama HUMAN SHIELDS. Matokeo yake ndiyo hayo.Hiki kizungu ndio unaona umeongea points kumbe uhovyo
Israhell iliwaambia raia wakimbilie kusini kule ndio salama ikawatwanga huko huko halaf mnawasingizia hamas
Sina tena lakujifunza kuhusu hiko kilugha cha watu cha mchongoHakuna kizungu chochote hapo. Hiyo ni English. Nenda shule ukajifunze hujachelewa. Magaidi wa HAMAS walioenda Kusini pamoja na Wapalestina raia wema ni mpango wa HAMAS wa kuwatumia kama HUMAN SHIELDS. Matokeo yake ndiyo hayo.
Soma tena na tena na tena na tena na tena na tena na tena na tena na tena hatimaye utaelewa. Usichoke.Sina tena lakujifunza kuhusu hiko kilugha cha watu cha mchongo
Sasa kama raia wema wameenda kule mbona bado wanashambuliwa na magaidi wa kizayuni
President CR is a dead 🐍, ANC imemfia, President Zuma ameunda chama kinachochota wanachama na wapiga kura wa ANC!,kabla ya President Ramaphosa kupigana na ya kwake yanayomzidia anajifanya ana uwezo wa kupigania ya middle east, ni mpuuzi tu,ananikumbusha President x kutoka nchi x ambaye alitumia muda mwingi kupigania ya nje kabla ya kujenga nchi yake, Kenya wanahitaji e visa kuingia SA, Tanzania mmmmmKamkamateni Ramaphosa kama mmeumia kukamnyonge
Umenena vyema.President CR is a dead 🐍, ANC imemfia, President Zuma ameunda chama kinachochota wanachama na wapiga kura wa ANC!,kabla ya President Ramaphosa kupigana na ya kwake yanayomzidia anajifanya ana uwezo wa kupigania ya middle east, ni mpuuzi tu,ananikumbusha President x kutoka nchi x ambaye alitumia muda mwingi kupigania ya nje kabla ya kujenga nchi yake, Kenya wanahitaji e visa kuingia SA, Tanzania mmmmm
Kuna watu hawaelewi vitu lakin wanacomment ujingaUliyouliza yote ndio Russia anafanya,au mpaka nikuletee ushahidi?
Acha kujitoa ufahamu bakmut raia waliamishwa walio baki kule ni jeshi kwa jeshiRussia anaporusha makombora unataka kusema watu hawafi,majengo ya Ukraine hayabomolewi hivi uharibu uliofanywa kule Bakmut hukuona mauaji yahalaiki kule Bucha hukuona?
Unajua ni makubaliano gani kati ya Urusi na Ukraine walikubaliana huko Minsk na wakasini ila ukraine akavunja makubaliano hayoMauaji ya Ukraine yanauma kwasababu Ukraine haikuchokoza Russia bali alivamiwa ila Hamas waliichokoza Israel October 7 na zaidi wakawachukua mateka raia wa kiyahudi hivi raia wa Africa kusini wangechukuliwa mateka na magaidi wa taifa lingine wangefanyaje?
Narudia tena ANC kutoka madarakani pale musahau kwasasaPresident CR is a dead [emoji216], ANC imemfia, President Zuma ameunda chama kinachochota wanachama na wapiga kura wa ANC!,kabla ya President Ramaphosa kupigana na ya kwake yanayomzidia anajifanya ana uwezo wa kupigania ya middle east, ni mpuuzi tu,ananikumbusha President x kutoka nchi x ambaye alitumia muda mwingi kupigania ya nje kabla ya kujenga nchi yake, Kenya wanahitaji e visa kuingia SA, Tanzania mmmmm
Wanajidhalilisha kwa nani?Nchi za afrika zinazidi kujianika kwa kujionesha unafiki,ona sasa eti afrika kusini imepeleka mashtaka mahakama ya kimataifa ya haki(ICJ),kulikuwa na haja gani kuishtaki Israel?,kama kweli wanapenda haki sana kwanini wasingewashtaki Russia kwa kuua watoto wa Ukraine bila kuchokozwa?,kwahiyo sasa imewauma sana kuliko Ukraine.
Afrika ina watu wa ajabu sana na wanafiki waliokubuhu.
""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""
Afrika Kusini imewasilisha kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) ikidai kuwa Israel inajihusisha na "vitendo vya mauaji ya halaiki" huko Gaza.
Mahakama ya Umoja wa Mataifa ilithibitisha shauri hilo kuhusu madai ya ukiukaji wa majukumu ya Israel chini ya Mkataba wa Mauaji ya Kimbari.
Israel imekanusha vikali madai hayo, na kuyataja kuwa hayana msingi. "Israel inakataa kwa kuchukizwa na kashfa ya damu inayoenezwa na Afrika Kusini", wizara ya mambo ya nje ilisema.
Mahakama ya ICJ, ambayo iko mjini Hague nchini Uholanzi, ndiyo chombo kikuu cha sheria cha Umoja wa Mataifa.
Inasuluhisha mizozo kati ya mataifa na kutoa ushauri juu ya maswala ya kimataifa ya kisheria.
Kufuatia maombi yake kwa ICJ, ofisi ya rais wa Afrika Kusini ilisema katika taarifa kwamba nchi hiyo inalazimika "kuzuia mauaji ya halaiki kutokea".
"Afrika Kusini inasikitishwa sana na hali mbaya ya raia walionaswa katika mashambulizi ya sasa ya Israel kwenye Ukanda wa Gaza kutokana na matumizi ya nguvu kiholela na kuwahamisha watu kwenye makazi yao kwa nguvu," ilisema.
"Aidha, kuna ripoti zinazoendelea za uhalifu wa kimataifa, kama vile uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita, unaofanywa pamoja na ripoti kwamba vitendo vinavyokidhi kizingiti cha mauaji ya kimbari au uhalifu unaohusiana ... vimefanywa na bado vinaweza kufanywa katika muktadha wa mauaji yanayoendelea Gaza."
Waraka huo wa kurasa 84 unasema kuwa "vitendo vinavyofanywa na Israel" ni " mauaji ya halaiki kwa sababu vinakusudiwa kuleta uharibifu wa sehemu kubwa ya kundi la taifa, rangi na kabila la Palestina".
Ombi hilo linaitaka ICJ kusikiliza kesi hiyo wiki ijayo na kuomba idadi ya "hatua za muda" zitolewe na mahakama hiyo, ikiwa ni pamoja na Israel kusitisha shughuli zote za kijeshi huko Gaza.
BBC swahili
waarab wanapambana msisome ila wao wanaifuata elimu ulaya na America , ili waje wawaambie ujinga wowote na nyie mfuate , Mara mliwapokea mara walikuja wakapola kwa nguvu , kwahiyo hujui Uingereza ndo alikuwa mkolon hapo alipowapa uhuru akaamua Waarab wapewe eneo kubwa likaitwa Palestina na Wayaudi wapewe eneo dogo likaitwa Israel , Mlilala baada ya kujenga nchi mkajikita kwenye kujiimalisha kivita , wenzenu wamejenga nchi wamekuwa level moja na wazungu , sasa hv mnawaita wazungu , Waarab ni maf ya kuku kichwan hamnazoSio kweli
Huijui historia ya chanzo Cha machafuko, hayajaanza juzi ni wazunguwayahudi kuchukua Kwa nguvu ardhi ya waparestina
Unafiki wao upo wapi au wewe ndiyo mnafiki.Waafrika walio wengi ni wanafiki sana,mfano ni huyu afrika kusini.
Hayo ni madai ya israel lakini what happened on the ground ni tofauti, waliua na kutumia dummy bombs kila sehemu na hata matamshi ya viongozi wao na makamanda wao wa kijeshi yaliwekwa uchi jana icj, kila kitu walichofanya kuthibitisha mauaji yao kwa raia yaliwekwa wazi na kwa ushahidi.Sasa hoja hii kuihisisha na ukristu ndiyo umeona umechangia kwenye hoja kweli? Jaribu kujielimisha wala hujachelewa. SA does not have moral authority to argue this case at ICJ. Safe corridors and zones were created to civilians to leave the would be war zone prior to the start of actual combat but HAMAS prevent most civilians from leaving so that they could use them as HUMAN SHIELDS. Isn't that an act of GENOCIDE or GENOCIDAL INTENT? Genocide does not mean conduct only even INTENT constitutes GENOCIDE.
Haya sema ukristu una shida gani kwako.
Malalamiko ya wananchi ni kawaida kwenye kila nchi ila heshima ya southafrica imekuwa kwa tukio la jananliwai mpima kaburu mmoja kituo x cha afya anasema chama tawala tangu kimechukua mamlaka mwaka 1994 wao badala ya kujenga nchi wanabomoa nchi sasa hv wazungu wengi makaburu wanahamisha technology kwenda mataifa mbali mbali mf ni hao akina Elon Munsk hata yeye kaja tz yupo mgodi x , ANC wawe makin sana
Wana damu za kiarabu piaWaarabu wapo kimya kabisa,yeye kiherehere kaenda kushtaki,anataka sifa labda
Siyo madai ya Israel.Hayo ni madai ya israel lakini what happened on the ground ni tofauti, waliua na kutumia dummy bombs kila sehemu na hata matamshi ya viongozi wao na makamanda wao wa kijeshi yaliwekwa uchi jana icj, kila kitu walichofanya kuthibitisha mauaji yao kwa raia yaliwekwa wazi na kwa ushahidi.
most international law professors kutoka vyuo vikubwa duniani wamesifia hoja za southafrica na presentation yao as extra ordinary
Southafrica wameiheshimisha africa
Sasa hapo tunarudi kwenye international law, hamas siyo state ni kikundi cha watu kwahiyo huwezi kuwapeleka icj rather individual anapelekwa icc, icj ni kwa states only , na alichofanya hamas ni ugaidi ila sio genocide , genocide ni kuangamiza race ya watu fulani wapotee ulimwenguni ndio kitu ambacho israel anafanyaSiyo madai ya Israel.
Msemaji wa kwanza wa SA accuses Israel of GENOCIDAL CONDUCT na msemaji wa pili accuses Israel of GENOCIDAL INTENT kwenye presentations zao. In my view the same accusations apply to HAMAS CONDUCT and INTENT on October 7th, 2023. Hiyo ndiyo point yangu. Kama unapinga mchango wangu hilo ni jambo lingine kabisa na unaweza kujielekeza hivyo.
Aliyeandika hii article Ana mawazo ya kijinga sana. South Africa ina haki ya kutetea na kuchukuwa hatuwa ikiona haki ya binadabu inavunjwa.. Watoto, wazee na watu wasiokuwa na hatia wanauwawa huku dunia inaon. Wewe ukiwa mmojawapo. Ona AIBU kuiita Africa ya kusini wanafiki. Mtu YEYOTE anayeona binadabu mwenzie akionewa na kukaa kimya bila ya kutetea naye anakuwa ni mmoja wa waoneaji. Watanzania tubadilike. Kukaa kimya na kufumbia vitendo Kama hivi viovu, huo ndiyo unafiki na uoga wa kijinga. Tetea haki wakati wowote. Mutetee hata adui yako akionewa.Ww ndo umejidhalilisha South Africa wanajua madhara walioyapitia ya mfumo wa kibaguzi ..uliyopo Israel ambao hata ww ukienda wanakushangaa na ukiristu wako ..
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app