chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Hili suala kiukweli nchi za Afrika zimejikita kutokomeza upinzani wa vyama kuliko vitu vingine.
Poleni Uganda kwa matukio ya kigaidi. Nchi ya Uganda ni bora kupoteza pesa kwa ajili ya upinzani hata kutumia jeshi lakini kuliko kutafuta usalama wa yale yaliyotokea
Jambo moja la Afrika ni kama vyama tawala wanataka kubaki madarakani kwa njia yoyote sio kwa kusumbuka kwa maslahi ya kitaifa na wananchi wake.
Tusipoliangalia hili basi tutatumbue saratani inazidi kukua Afrika na mwisho wa siku itafika Afrika itakuwa ni historia iliyokwisha potea.
Nchi ambazo kwa sasa zipo tunaomba kueleza
Poleni Uganda kwa matukio ya kigaidi. Nchi ya Uganda ni bora kupoteza pesa kwa ajili ya upinzani hata kutumia jeshi lakini kuliko kutafuta usalama wa yale yaliyotokea
Jambo moja la Afrika ni kama vyama tawala wanataka kubaki madarakani kwa njia yoyote sio kwa kusumbuka kwa maslahi ya kitaifa na wananchi wake.
Tusipoliangalia hili basi tutatumbue saratani inazidi kukua Afrika na mwisho wa siku itafika Afrika itakuwa ni historia iliyokwisha potea.
Nchi ambazo kwa sasa zipo tunaomba kueleza