Nchi za kiarabu zaizuia Marekani kutumia ardhi zao kupigana na Houth huku Erdogan aungana na Elsisi kuionya Israel isiendelee kupiga Rafah

Nchi za kiarabu zaizuia Marekani kutumia ardhi zao kupigana na Houth huku Erdogan aungana na Elsisi kuionya Israel isiendelee kupiga Rafah

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Nchi kadhaa za kiarabu zimeanza kuingia akili kwa kukataa kuachia Marekani kutumia ardhi zao kuanzisha mashambulizi dhidi ya wanamgambo wa Houth wa Yemen.Hatua hiyo itaifanya Marekani kushindwa kuwazuia Houth na itakuwa ni msaada wa nchi hizo kwa Palestina.
Nchi hizo ni zile ambazo zimekuwa washirika wakubwa miaka ya nyuma wa Marekani kushambulia Iraq,Afghanistan na Libya.Mshirika wa karibu kufanya hivyo ni UAE aliyeungana na Oman,Qattar na Kuwait.
Kuzuiwa kwa Marekani kutumia ardhi hizo kutafanya hata meli za kivita zilizo kwenye bahari jirani na nchi hizo za bara Arabu kuishiwa na nyenzo za kupiga kwa haraka.Matumizi ya ndege za B1 kutoka Marekani moja kwa moja nayo hayawezi kutegemewa kwa kiasi kikubwa kutokana na masafa ya kulazimika kutudi kujaza makombora mengine yanapoisha.
Katika hatua nyengine ya mabadiliko katika nyoyo za viongozi wa mashariki ya kati kuhusiana na vita vya Gaza,raisi Erdogan wa Uturuki ameitembelea UAE na baadae kukutana na raisi Elsisi wa Misri kutia mkazo wa kuitaka Israel isienendelee kuwaletea madhara wapalestina wa Gaza ambao wameshakimbia sana vita na sasa wamechoka.Hawana tena nguvu na wala pahala salama pa kwenda kutoka Rafah.

UAE restricts US ability to launch retaliatory airstrikes against Iran proxies

1707969763656.png

Leaders of Turkey and Egypt unite in efforts to stop Israel's looming offensive in Gaza's Rafah


1707969939954.png
 
Waarabu ni wanafiki sana. Mwaka 1970 mfalme wa Jordan, baba wa huyu mfalme wa Sasa, aliuwa maelfu ya Wapalestina, mauaji yaliyojulikana kama"Black September "kipindi hicho Jordan ilitwa "Palestinian's State"Leo wanajifanya supporter wa Palestinians, kisa Israeli inajilinda🤔
 
Waarabu ni wanafiki sana. Mwaka 1970 mfalme wa Jordan, baba wa huyu mfalme wa Sasa, aliuwa maelfu ya Wapalestina, mauaji yaliyojulikana kama"Black September "kipindi hicho Jordan ilitwa "Palestinian's State"Leo wanajifanya supporter wa Palestinians, kisa Israeli inajilinda[emoji848]
Ww ni mlokole bila shaka
 
Nchi kadhaa za kiarabu zimeanza kuingia akili kwa kukataa kuachia Marekani kutumia ardhi zao kuanzisha mashambulizi dhidi ya wanamgambo wa Houth wa Yemen.Hatua hiyo itaifanya Marekani kushindwa kuwazuia Houth na itakuwa ni msaada wa nchi hizo kwa Palestina.
Nchi hizo ni zile ambazo zimekuwa washirika wakubwa miaka ya nyuma wa Marekani kushambulia Iraq,Afghanistan na Libya.Mshirika wa karibu kufanya hivyo ni UAE aliyeungana na Oman,Qattar na Kuwait.
Kuzuiwa kwa Marekani kutumia ardhi hizo kutafanya hata meli za kivita zilizo kwenye bahari jirani na nchi hizo za bara Arabu kuishiwa na nyenzo za kupiga kwa haraka.Matumizi ya ndege za B1 kutoka Marekani moja kwa moja nayo hayawezi kutegemewa kwa kiasi kikubwa kutokana na masafa ya kulazimika kutudi kujaza makombora mengine yanapoisha.
Katika hatua nyengine ya mabadiliko katika nyoyo za viongozi wa mashariki ya kati kuhusiana na vita vya Gaza,raisi Erdogan wa Uturuki ameitembelea UAE na baadae kukutana na raisi Elsisi wa Misri kutia mkazo wa kuitaka Israel isienendelee kuwaletea madhara wapalestina wa Gaza ambao wameshakimbia sana vita na sasa wamechoka.Hawana tena nguvu na wala pahala salama pa kwenda kutoka Rafah.

UAE restricts US ability to launch retaliatory airstrikes against Iran proxies

View attachment 2904443

Leaders of Turkey and Egypt unite in efforts to stop Israel's looming offensive in Gaza's Rafah


View attachment 2904452

Tokea lini waarab wana akili? Hawawezi kuwa na akili hata milele na milele, Je sbb unaijua kwanini hawana akili? Na watu wote wanaofuata mila au tamaduni za kiarabu nao hawana akili, fuatilia utaona, nchi zote za kiarabu hakuna demokrasia au haki za binadamu ziko chini sana, na vita karibu nchi zao zote zimeimaliza, wameacha elimu sahihi wanafuata elimu ya dini, hakuna hata nchi moja ya kiarabu iko free au haina vita vya ndani na wananchi wake au toka nje, sbb kubwa ni kukosa akili.
 
Tokea lini waarab wana akili? Hawawezi kuwa na akili hata milele na milele, Je sbb unaijua kwanini hawana akili? Na watu wote wanaofuata mila au tamaduni za kiarabu nao hawana akili, fuatilia utaona, nchi zote za kiarabu hakuna demokrasia au haki za binadamu ziko chini sana, na vita karibu nchi zao zote zimeimaliza, wameacha elimu sahihi wanafuata elimu ya dini, hakuna hata nchi moja ya kiarabu iko free au haina vita vya ndani na wananchi wake au toka nje, sbb kubwa ni kukosa akili.
haki ya kufokolewa au?
 
Unapenda
Tokea lini waarab wana akili? Hawawezi kuwa na akili hata milele na milele, Je sbb unaijua kwanini hawana akili? Na watu wote wanaofuata mila au tamaduni za kiarabu nao hawana akili, fuatilia utaona, nchi zote za kiarabu hakuna demokrasia au haki za binadamu ziko chini sana, na vita karibu nchi zao zote zimeimaliza, wameacha elimu sahihi wanafuata elimu ya dini, hakuna hata nchi moja ya kiarabu iko free au haina vita vya ndani na wananchi wake au toka nje, sbb kubwa ni kukosa akili.
Unapenda kubarikiwa kijana vipi tayari ushabarikiwa?
 
Tokea lini waarab wana akili? Hawawezi kuwa na akili hata milele na milele, Je sbb unaijua kwanini hawana akili? Na watu wote wanaofuata mila au tamaduni za kiarabu nao hawana akili, fuatilia utaona, nchi zote za kiarabu hakuna demokrasia au haki za binadamu ziko chini sana, na vita karibu nchi zao zote zimeimaliza, wameacha elimu sahihi wanafuata elimu ya dini, hakuna hata nchi moja ya kiarabu iko free au haina vita vya ndani na wananchi wake au toka nje, sbb kubwa ni kukosa akili.

hapo ulipo kuna demokrasi 😛😛😛😛
 
USA haihitaji ardhi manowari zake tu ni ardhi tosha akizileta deep sea.
 
Misri atampa ardhi ili awatwangwe houthi kwa sababu anakosa mapato meli zisipopita Suez
 
Back
Top Bottom