Nchi za kiarabu zinashindwaje kuwafikia Israel kiuchumi wakati Israel ni kanchi kadogo na wamezingirwa na maadui?

Nyerere alitaka mataifa mawili
Waislamu wanataka israel usiwepo kabisa wauliwe wote huoni ni utofauti huo
Acha uongo kujifanya unajua kila kitu na kuwasema Waislam, muasisi wa Hamas unajua alichokuwa anasema kuhusu Israel?
 
Nyerere alitaka mataifa mawili
Waislamu wanataka israel usiwepo kabisa wauliwe wote huoni ni utofauti huo
Una ushahidi gani kama waislamu wanataka Israel ipotee?
Kama wanataka Israel wapotee wangewapokea 1947 na kuwasamehe wayahudi wafanya mapinduzi 1946 Jerusalem??
 
Alisema anataka kuwaua israel wote au wabadilishe dini wawe waislamu
Hivi unajua kama ndani ya Palestina/Gaza kuna wakristo na kuna makanisa??
Mfano wa mkristo wa kipalestina alouliwa na jeshi la Israel kimakusudi 2022 ni Sheriin Abu Akleh ni Mu Anglican huyu mama alipigwa risasi ya kichwa akiwa katika majukumu ya uandishi wa habari Gaza na jeshi la Israel KIMAKUSUDI.
Kama Hamas walitaka waisrael wote wasilimu ndani ya Gaza Anglicans wametokea wapi??
 
Ukweli yaami unalazimisha kujifariji
Hivi kwanini waislamu mnapenda kulazimisha mambo

Furaha yako ni watu wakussuport israel ni taifa maskini unaakili za kitoto
Israel ni taifa maskini haya waislamu furahini na mchekeleee
Kwann usiumie kwa nchi yako kuitwa masikini ila uumie kwa Israel kuitwa masikini ya kwamba nchi Israel ina thamani kuliko nchi yako ? hichi tu kinakuonesha jinsi ulivyo mpumbavu.
Kuna tajiri anayepokea misaada hapa duniani ?
Huna akili.
 
Kwann usiumie kwa nchi yako kuitwa masikini ila uumie kwa Israel kuitwa masikini ya kwamba nchi Israel ina thamani kuliko nchi yako ? hichi tu kinakuonesha jinsi ulivyo mpumbavu.
Kuna tajiri anayepokea misaada hapa duniani ?
Huna akili.
Ewe muislamu wa Tanzania kwanini unaichukia sana israel
 
Sasa ww upo jamii forum vizuri tafiti Kwanzaa, Israel =marekan =israel =NATO=israel=EU=israel=marekani=israel . Sasa hii collaboration mwarabu ataweza
 
Zaidi irani ni brain sio hata rasilimali congo kishasa inarasilimali nyingi kuliko ulaya yote tatizo BRAIN HAKUNA
 
FIMBO YA ENZI HAITANDOKA KATIKA YUDA

BRAIN FORMAT NISIE TAKA KUSIKIA ISRAEL AKIKOSOLEWA MIMI NI MYAHUDI TOKA NYANDA ZA JUU KUSINI
 
Hapo ndio utajua umuhimu wa shule. Maana huyo Saudia amewakaribisha wamarekani waweke kambi tano za kijeshi nchini mwake. Cha kuongezea waaarabu wanabaguana kimatabaka wao kwa wao hawana umoja.
 

Attachments

  • rapidsave.com_mosab_hassan_yousef_son_of_a_hamas_founder-rrwhealhdgsc1.mp4
    18.6 MB
Hawawezi kuelewa watu wanazaliana kama panya. Watoto wanakazaniwa madrasa kuliko shule. Unategemea utampiga Israel ? Hao wa-Iran wenyewe wanaikimbia nchi yao. Na cha kuongeza waarabu wote wakimbizi wanakimbilia Marekani na Ulaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…