zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Kingine Mungu wa wayahudi ni yupi huyo? Maana wakristo tunaamini Yesu ndiye Mungu hao wayahudi wanasema Yesu sio Mungu ni padri fulani tu..Mungu wa wayahudi ndiye mwenye nguvu kuliko Allah ?
Marekani ndio sababu, ila marekani akikaa pembeni zipigwe mbona wanamfuta siku moja tu!!Israel wapo wachache sana na wamezungukwa na nchi nyingi ambazo ni maadui kwao lakini bado wanaishi hapo toka 1948. Namalizia kwa kukuuliza kwa nini waaarabu wameshindwa kuwaondoa toka 1948 ?
Umenijibu vizuri sana Marekani anamsaidia Israel kwa sababu top officials wa serikali ya Marekani na wafanyabiashara wakubwa wa nchi ni wayahudi. Marekani na Ulaya sio marafiki wa israel bali ni waisrael. Sijui umenipata kijana ? Wayahudi wamesha-infiltrate serikali zote za magharibi.Marekani ndio sababu, ila marekani akikaa pembeni zipigwe mbona wanamfuta siku moja tu!!
Mfano Syria hapo si unaona Israel kashindwa mtoa Al Assad kisa kakutana na Mrusi na Iran ila angekua Assad vs Israel angetolewa kitambo na pengine leo Damascus ingekua sehemu ya Israel.
Nimesema tukibishana kidini tutaulizana kwa nini Allah anaruhusu watu wafe ? wanyang'anywe ardhi yao toka 1948 ? Ndio uniambie Je Allah ana nguvu kuliko Mungu wa wayahudi ( יהוה) ?Kingine Mungu wa wayahudi ni yupi huyo? Maana wakristo tunaamini Yesu ndiye Mungu hao wayahudi wanasema Yesu sio Mungu ni padri fulani tu..
ikimaanisha Mungu wa wayahudi na wakristo ni tofauti? Je unakiri kwamba Mungu wa wayahudi ana nguvu kuliko Mungu wa wakristo?
Uislamu na Ukristu ni chimbuko la uyahudi . Watu wote kwenye biblia kabla ya yesu kristu ni wayahudi. Rudi tena usome biblia vizuri na ufuatilie chimbuko la dini.Acha uongo Abraham alitokea Syria huko, hao wayahudi wameitwa hilo jina kutokana na Ufalme wa Judeah ulipogawanyika na ufalme wa northern Israel (Samaria). So waliobaki kusini wakaitwa Jews!! Wa huko juu wakaitwa Samaritans.
Msiwe mnapotosha historia, Abraham hakuwahi kuwa myahudi in fact alikua na watoto wa kiume 5 kwa hiyo kama alikua myahudi ina maana ismael na watoto wote aliozaa na keturah ni wayahudi? Yaani Iran ya leo ni wayahudi? Kuna watu mna reasoning ndogo sana.
Watu wote kwenye biblia kwenye agano la kale ni wayahudi kasome biblia upya. Unavyotukana ndio unanipa raha. Unasema ni taifa la mashoga ndio tujiulize kwa nini Mungu hawasaidii hao wapalestina. Watu wamejipanga Yakhe. Hawakuamka na kuivamia palestina. Mimi sio mlokole mimi ni mkatoliki kindaki kindaki.Wewe kumbe ndiyo hamna kitu kabisa yaani eti Nabii Ibrahim alikuwa Myahudi au wewe ni mlokole masalia? Nani alikulisha matango pori kuwa Nabii Ibrahim alikuwa Myahudi? Halafu unasema Israel imebarikiwa , yaani unachanganya Jina Israel na hili Taifa la mashoga la wasioamini Mungu Israeli .
Unahitaji elimu kijana usiburuzwe na matapeli akina Gwajima na yule shoga Nabii wenu Tito
Umeitoa kutoka biblia yako ya QJV? Watu wote yaani hata wapalestina ni wayahudi??Watu wote kwenye biblia kwenye agano la kale ni wayahudi kasome biblia upya. Unavyotukana ndio unanipa raha. Unasema ni taifa la mashoga ndio tujiulize kwa nini Mungu hawasaidii hao wapalestina. Watu wamejipanga Yakhe. Hawakuamka na kuivamia palestina. Mimi sio mlokole mimi ni mkatoliki kindaki kindaki.
View attachment 2962092
Inaonekana hausomi biblia fuatalia uzao wa kutoka adam katika vitabu vya mwanzo.Umeitoa kutoka biblia yako ya QJV? Watu wote yaani hata wapalestina ni wayahudi??
Acha uongo we jamaa unatuonaje sijui, Jews imetokana na Judaism watu wa Southern Kingdom. Na kama Abraham ni Jew mbona kila siku hapa mnasema Ishmael ni muarabu n.k?Uislamu na Ukristu ni chimbuko la uyahudi . Watu wote kwenye biblia kabla ya yesu kristu ni wayahudi. Rudi tena usome biblia vizuri na ufuatilie chimbuko la dini.
View attachment 2962094
Huyu jamaa hajitambui kabisa eti kila mtu alikua myahudi.Wewe kumbe ndiyo hamna kitu kabisa yaani eti Nabii Ibrahim alikuwa Myahudi au wewe ni mlokole masalia? Nani alikulisha matango pori kuwa Nabii Ibrahim alikuwa Myahudi? Halafu unasema Israel imebarikiwa , yaani unachanganya Jina Israel na hili Taifa la mashoga la wasioamini Mungu Israeli .
Unahitaji elimu kijana usiburuzwe na matapeli akina Gwajima na yule shoga Nabii wenu Tito
Nitajie top official mmoja tu ambaye ni muisrael hapo serikalini US!! mnadanganyana kwenye vijiwe vya kahawa na kwenye makanisa ya manabii uchwara alafu unakuja kudanganya humu unadhani sisi ni watoto wadogo? EmbicileUmenijibu vizuri sana Marekani anamsaidia Israel kwa sababu top officials wa serikali ya Marekani na wafanyabiashara wakubwa wa nchi ni wayahudi. Marekani na Ulaya sio marafiki wa israel bali ni waisrael. Sijui umenipata kijana ? Wayahudi wamesha-infiltrate serikali zote za magharibi.
Hata mungu wa wayahudi kwanini aliruhusu wayahudi million 6 wachinjwe kama kuku wakati tunaambiwa ni taifa teule? Ina maana Hitler ana nguvu kuliko mumgu wa wayahudi?Nimesema tukibishana kidini tutaulizana kwa nini Allah anaruhusu watu wafe ? wanyang'anywe ardhi yao toka 1948 ? Ndio uniambie Je Allah ana nguvu kuliko Mungu wa wayahudi ( יהוה) ?
Chimbuko la dini ya Uislamu na Ukristu ni dini gani ndugu yangu ? Labda mimi ni mjinga na sijui historia ya dini naomba unisaidie ?Acha uongo we jamaa unatuonaje sijui, Jews imetokana na Judaism watu wa Southern Kingdom. Na kama Abraham ni Jew mbona kila siku hapa mnasema Ishmael ni muarabu n.k?
Abraham alitokea Syria huko wala hana connection yoyote na wayahudi. Uyahudi unapitia huko kwa Yakobo kwenda mbele hata Esau tu sio myahudi sijui mnadanganywa makanisa gani hayo!!!
Then sio kila mtu kwenye Bible alikua myahudi mfano Ayubu, nabii Obadiah, Enoch etc hakuna myahudi hapo sijui unatoa wapi huu uongo!!
Ndio maana nikasema tusibishane kidini maana tukibishana kidini wapalestina wanaswali kuliko wayahudi. Lakini wanapokea kichapo daily katika ardhi yao. Tubishane kifacts nani ana mipango thabiti kuliko mwenzake ? Kati ya wapalestina na wayahudi ?Hata mungu wa wayahudi kwanini aliruhusu wayahudi million 6 wachinjwe kama kuku wakati tunaambiwa ni taifa teule? Ina maana Hitler ana nguvu kuliko mumgu wa wayahudi?
Inaonekana hausomi biblia fuatalia uzao wa kutoka adam katika vitabu vya mwanzo.
Chimbuko la dini ya Uislamu na Ukristu ni dini gani ndugu yangu ? Labda mimi ni mjinga na sijui historia ya dini naomba unisaidie ?
Nitajie top official mmoja tu ambaye ni muisrael hapo serikalini US!! mnadanganyana kwenye vijiwe vya kahawa na kwenye makanisa ya manabii uchwara alafu unakuja kudanganya humu unadhani sisi ni watoto wadogo? Embicile
Asante baba 😅😅😅😅ndio maana nasema tubishane kwa facts.Ukristo Si dini , Hakuna mahali katika biblia imeandikwa kuwa ukristo ni dini, hilo ni jina la kupanga walilolitumia wapagani wa Antokia