Nchi za kiarabu zinashindwaje kuwafikia Israel kiuchumi wakati Israel ni kanchi kadogo na wamezingirwa na maadui?

Nchi za kiarabu zinashindwaje kuwafikia Israel kiuchumi wakati Israel ni kanchi kadogo na wamezingirwa na maadui?

Mungu wa wayahudi ndiye mwenye nguvu kuliko Allah ?
Kingine Mungu wa wayahudi ni yupi huyo? Maana wakristo tunaamini Yesu ndiye Mungu hao wayahudi wanasema Yesu sio Mungu ni padri fulani tu..
ikimaanisha Mungu wa wayahudi na wakristo ni tofauti? Je unakiri kwamba Mungu wa wayahudi ana nguvu kuliko Mungu wa wakristo?
 
Israel wapo wachache sana na wamezungukwa na nchi nyingi ambazo ni maadui kwao lakini bado wanaishi hapo toka 1948. Namalizia kwa kukuuliza kwa nini waaarabu wameshindwa kuwaondoa toka 1948 ?
Marekani ndio sababu, ila marekani akikaa pembeni zipigwe mbona wanamfuta siku moja tu!!

Mfano Syria hapo si unaona Israel kashindwa mtoa Al Assad kisa kakutana na Mrusi na Iran ila angekua Assad vs Israel angetolewa kitambo na pengine leo Damascus ingekua sehemu ya Israel.
 
Marekani ndio sababu, ila marekani akikaa pembeni zipigwe mbona wanamfuta siku moja tu!!

Mfano Syria hapo si unaona Israel kashindwa mtoa Al Assad kisa kakutana na Mrusi na Iran ila angekua Assad vs Israel angetolewa kitambo na pengine leo Damascus ingekua sehemu ya Israel.
Umenijibu vizuri sana Marekani anamsaidia Israel kwa sababu top officials wa serikali ya Marekani na wafanyabiashara wakubwa wa nchi ni wayahudi. Marekani na Ulaya sio marafiki wa israel bali ni waisrael. Sijui umenipata kijana ? Wayahudi wamesha-infiltrate serikali zote za magharibi.
 
Kingine Mungu wa wayahudi ni yupi huyo? Maana wakristo tunaamini Yesu ndiye Mungu hao wayahudi wanasema Yesu sio Mungu ni padri fulani tu..
ikimaanisha Mungu wa wayahudi na wakristo ni tofauti? Je unakiri kwamba Mungu wa wayahudi ana nguvu kuliko Mungu wa wakristo?
Nimesema tukibishana kidini tutaulizana kwa nini Allah anaruhusu watu wafe ? wanyang'anywe ardhi yao toka 1948 ? Ndio uniambie Je Allah ana nguvu kuliko Mungu wa wayahudi ( יהוה) ?
 
Acha uongo Abraham alitokea Syria huko, hao wayahudi wameitwa hilo jina kutokana na Ufalme wa Judeah ulipogawanyika na ufalme wa northern Israel (Samaria). So waliobaki kusini wakaitwa Jews!! Wa huko juu wakaitwa Samaritans.

Msiwe mnapotosha historia, Abraham hakuwahi kuwa myahudi in fact alikua na watoto wa kiume 5 kwa hiyo kama alikua myahudi ina maana ismael na watoto wote aliozaa na keturah ni wayahudi? Yaani Iran ya leo ni wayahudi? Kuna watu mna reasoning ndogo sana.
Uislamu na Ukristu ni chimbuko la uyahudi . Watu wote kwenye biblia kabla ya yesu kristu ni wayahudi. Rudi tena usome biblia vizuri na ufuatilie chimbuko la dini.
1712993623795.png
 
Wewe kumbe ndiyo hamna kitu kabisa yaani eti Nabii Ibrahim alikuwa Myahudi au wewe ni mlokole masalia? Nani alikulisha matango pori kuwa Nabii Ibrahim alikuwa Myahudi? Halafu unasema Israel imebarikiwa , yaani unachanganya Jina Israel na hili Taifa la mashoga la wasioamini Mungu Israeli .
Unahitaji elimu kijana usiburuzwe na matapeli akina Gwajima na yule shoga Nabii wenu Tito
Watu wote kwenye biblia kwenye agano la kale ni wayahudi kasome biblia upya. Unavyotukana ndio unanipa raha. Unasema ni taifa la mashoga ndio tujiulize kwa nini Mungu hawasaidii hao wapalestina. Watu wamejipanga Yakhe. Hawakuamka na kuivamia palestina. Mimi sio mlokole mimi ni mkatoliki kindaki kindaki.
1712993612883.png
 
Watu wote kwenye biblia kwenye agano la kale ni wayahudi kasome biblia upya. Unavyotukana ndio unanipa raha. Unasema ni taifa la mashoga ndio tujiulize kwa nini Mungu hawasaidii hao wapalestina. Watu wamejipanga Yakhe. Hawakuamka na kuivamia palestina. Mimi sio mlokole mimi ni mkatoliki kindaki kindaki.
View attachment 2962092
Umeitoa kutoka biblia yako ya QJV? Watu wote yaani hata wapalestina ni wayahudi??
 
Uislamu na Ukristu ni chimbuko la uyahudi . Watu wote kwenye biblia kabla ya yesu kristu ni wayahudi. Rudi tena usome biblia vizuri na ufuatilie chimbuko la dini.
View attachment 2962094
Acha uongo we jamaa unatuonaje sijui, Jews imetokana na Judaism watu wa Southern Kingdom. Na kama Abraham ni Jew mbona kila siku hapa mnasema Ishmael ni muarabu n.k?

Abraham alitokea Syria huko wala hana connection yoyote na wayahudi. Uyahudi unapitia huko kwa Yakobo kwenda mbele hata Esau tu sio myahudi sijui mnadanganywa makanisa gani hayo!!!

Then sio kila mtu kwenye Bible alikua myahudi mfano Ayubu, nabii Obadiah, Enoch etc hakuna myahudi hapo sijui unatoa wapi huu uongo!!
 
Wewe kumbe ndiyo hamna kitu kabisa yaani eti Nabii Ibrahim alikuwa Myahudi au wewe ni mlokole masalia? Nani alikulisha matango pori kuwa Nabii Ibrahim alikuwa Myahudi? Halafu unasema Israel imebarikiwa , yaani unachanganya Jina Israel na hili Taifa la mashoga la wasioamini Mungu Israeli .
Unahitaji elimu kijana usiburuzwe na matapeli akina Gwajima na yule shoga Nabii wenu Tito
Huyu jamaa hajitambui kabisa eti kila mtu alikua myahudi.
 
Umenijibu vizuri sana Marekani anamsaidia Israel kwa sababu top officials wa serikali ya Marekani na wafanyabiashara wakubwa wa nchi ni wayahudi. Marekani na Ulaya sio marafiki wa israel bali ni waisrael. Sijui umenipata kijana ? Wayahudi wamesha-infiltrate serikali zote za magharibi.
Nitajie top official mmoja tu ambaye ni muisrael hapo serikalini US!! mnadanganyana kwenye vijiwe vya kahawa na kwenye makanisa ya manabii uchwara alafu unakuja kudanganya humu unadhani sisi ni watoto wadogo? Embicile
 
Nimesema tukibishana kidini tutaulizana kwa nini Allah anaruhusu watu wafe ? wanyang'anywe ardhi yao toka 1948 ? Ndio uniambie Je Allah ana nguvu kuliko Mungu wa wayahudi ( יהוה) ?
Hata mungu wa wayahudi kwanini aliruhusu wayahudi million 6 wachinjwe kama kuku wakati tunaambiwa ni taifa teule? Ina maana Hitler ana nguvu kuliko mumgu wa wayahudi?
 
Acha uongo we jamaa unatuonaje sijui, Jews imetokana na Judaism watu wa Southern Kingdom. Na kama Abraham ni Jew mbona kila siku hapa mnasema Ishmael ni muarabu n.k?

Abraham alitokea Syria huko wala hana connection yoyote na wayahudi. Uyahudi unapitia huko kwa Yakobo kwenda mbele hata Esau tu sio myahudi sijui mnadanganywa makanisa gani hayo!!!

Then sio kila mtu kwenye Bible alikua myahudi mfano Ayubu, nabii Obadiah, Enoch etc hakuna myahudi hapo sijui unatoa wapi huu uongo!!
Chimbuko la dini ya Uislamu na Ukristu ni dini gani ndugu yangu ? Labda mimi ni mjinga na sijui historia ya dini naomba unisaidie ?
 
Hata mungu wa wayahudi kwanini aliruhusu wayahudi million 6 wachinjwe kama kuku wakati tunaambiwa ni taifa teule? Ina maana Hitler ana nguvu kuliko mumgu wa wayahudi?
Ndio maana nikasema tusibishane kidini maana tukibishana kidini wapalestina wanaswali kuliko wayahudi. Lakini wanapokea kichapo daily katika ardhi yao. Tubishane kifacts nani ana mipango thabiti kuliko mwenzake ? Kati ya wapalestina na wayahudi ?
 
Chimbuko la dini ya Uislamu na Ukristu ni dini gani ndugu yangu ? Labda mimi ni mjinga na sijui historia ya dini naomba unisaidie ?

Ukristo Si dini , Hakuna mahali katika biblia imeandikwa kuwa ukristo ni dini, hilo ni jina la kupanga walilolitumia wapagani wa Antokia
 
Top officials wa Marekani wengine ambao ni Jews 👇 👇 👇
1712996266715.png

1712996301845.png

Na hapo sijakuonesha waliopo katika senate. Marekani sio rafiki wa waisrael bali ni waisraeli. Hii kauli naisema kwa sababu wanaoinfluence maamuzi ya marekani ni waisraeli waliopo katika goverment.
 
Ukristo Si dini , Hakuna mahali katika biblia imeandikwa kuwa ukristo ni dini, hilo ni jina la kupanga walilolitumia wapagani wa Antokia
Asante baba 😅😅😅😅ndio maana nasema tubishane kwa facts.
 
Back
Top Bottom