Nchi za kiarabu zinashindwaje kuwafikia Israel kiuchumi wakati Israel ni kanchi kadogo na wamezingirwa na maadui?

umesahau maneno yako ya taifa teule ??
Wapi nimesema Israel ni taifa teule ? Mimi nimesema kuwa hawa wahýahudi wamejipanga na huu mpango wa kuanzisha Israel ni wa miaka mingi. Haujaaanza kwa pupa bali kwa malengo ya muda mrefu. Nimekaa na wayahudi wao wenyewe wanasema wanatumia juhudi na hela nyingi kuishi hapo Israel. Na sio kwamba wameteuliwa kuwa hapo bali wamepambana na kila siku wanajizatiti kuishi hapo. Naomba uniletee post ambayo nimesema Israel ni Taifa teule.
 

wacha kujipakazia , mimi nimesoma nao miaka karibu 6 mwisho kuna mmoja alitaka nimfanyie mpango aje kuishi bongo , halafu unatuletea yale yale ya kuteuliwa kuja hapo , nani aliyewateuwa ??wewe?
 
Naona unataka kuleta ubishi as if tupo kwenye mihadhara ya uswahilini na unaitafsiri biblia namna unavyotaka wewe na unabishia mpaka neno la Mungu. ok ndo elimu akhera inavyokuongoza hivyo bakia na msimamo wako na tafsiri zako
Mimi sijatafsiri hata aya moja hapo , nimeleta nukuu kanma zilivyo , usinipakazie bure , anayetafsiri ni wewe bila kutuwekea ushahidi wa aya

Jibu haya maswali usikimbie

Aya hii haisemi kuhusu kusamehewa dhambi wayahudi


“Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lenye kuzaa matunda yake. (Kutoka Biblia ya KJV, Mathayo 21:43)”

Sasa tuekee aya bwana yesu anasema kuondolewa ufalme sio kuondolewa upendo , usituletee injili yako

halafu umetuwekea aya ya paulo inayosema


Rum 1:16​

Kwa maana siionei haya Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokovu, kwa kila aaminiye, kwa Myahudi kwanza, na kwa Myunani pia.

Hapo Bwana Paulo amekusudia injili ipi , kati ya hizi ??


Una mistari inayoonyesha kwamba Paulo alikuwa akihubiri Injili yake mwenyewe...


Warumi 2:16


16 Hili litatukia siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu kwa njia ya Yesu Kristo, kama Injili yangu inavyotangaza.

Warumi 16:25

Sasa atukuzwe yeye awezaye kuwathibitisha ninyi kwa Injili yangu na uhubiri wa Yesu Kristo, sawasawa na ufunuo wa ile siri iliyofichwa tangu zamani za kale;

Una mistari inayoonyesha kwamba Paulo alikuwa akihubiri Injili ya Mungu...

Warumi 15:16

16 niwe mhudumu wa Kristo Yesu kwa watu wa mataifa, mwenye wajibu wa ukuhani wa kutangaza Habari Njema ya Mungu, ili watu wa mataifa mengine wawe dhabihu inayokubalika kwa Mungu, iliyotakaswa na Roho Mtakatifu.

2 Wakorintho 11:7

7 Je, ni dhambi kwangu kujishusha ili nipate kuwainua ninyi kwa kuwahubiria Habari Njema ya Mungu bila malipo?


Una mistari inayoonyesha kwamba Paulo alikuwa akihubiri Injili ya Kristo...

1 Wakorintho 9:13

Lakini hatukutumia haki hii. Badala yake, tunavumilia chochote badala ya kuizuia Injili ya Kristo. 13 Je!

2 Wakorintho 2:12

12 Nilipokwenda Troa kuhubiri Habari Njema ya Kristo, nikaona kwamba Bwana amenifungulia mlango.

2 Wakorintho 9:13

13 Kwa sababu ya utumishi mliojionyesha wenyewe, watu watamtukuza Mungu kwa ajili ya utii unaoambatana na kukiri kwenu Injili ya Kristo, na kwa ukarimu wenu katika kushiriki pamoja nao na pamoja na watu wengine wote.

2 Wakorintho 10:14

14Hatuendi mbali sana katika kujisifu kwetu, kama ingekuwa hivyo kama hatungekuja kwenu, kwa maana tulifika kwenu kwa Habari Njema ya Kristo.

Warumi 1:9

9 Mungu, ambaye ninamtumikia kwa moyo wangu wote katika kuihubiri Habari Njema ya Mwanawe, ni shahidi wangu jinsi ninavyowakumbuka daima.


Mstari wa mwisho unaonyesha tofauti kati ya Mungu na Mwana wake (ikimaanisha Yesu).

Je, Paulo alikuwa akihubiri injili yake mwenyewe, injili ya Yesu au Injili ya Mungu?
 
wacha kujipakazia , mimi nimesoma nao miaka karibu 6 mwisho kuna mmoja alitaka nimfanyie mpango aje kuishi bongo , halafu unatuletea yale yale ya kuteuliwa kuja hapo , nani aliyewateuwa ??wewe?
😂 😂 😂 😂 Aje kuishi bongo kwani yeye Muhindi au Mwarabu ? Hawa wayahudi wana umoja kuliko unavyofikiria. Nipo Ingolstadt Ujerumani nimeenda katika masynagogue yao Munich. Wamejipanga sana sio kitoto tatizo media za dunia hazituambii ukweli. Tunaona forbes wanaweka mabilionea kuwa watu mmoja mmoja. Nakuhakikishia kufanikiwa kunahitaji team ya watu makini. Maana Jews wanafanikiwa kwa sababu wanapiga hatua kwa pamoja. Wamiliki wa Google, Facebook, Oracle na Chanel wote ni wayahudi. Hawa wote walipata support kutoka kwa wayahudi wenzao. Media zinatudanganya watu baki kuwa tunaweza kufanikiwa independently. Jua kwamba kuna limit ya kufanikiwa independently.Ukitaka kuwa bilionea wa dola ni lazima uwe na a loyal team inayoku-support. Na cha kuongezea waarabu wanabaguana kimatabaka hawana umoja. Unaweza kuwa na hela lakini mwenye Idea nzuri ni mtu ambaye hana hela. Hapo ndio wayahudi walipotuzidi.
 

Kuna Documentary niliona katika tv ya Documentary kuhusu wayahudi wa Italy kabla vita kuu ya kwanza waliwekwa kwenye mji mmoja nimeusahau na hawakuruhudiwa kutoka . Huko wakaanza kukamuana kwa kukopeshana pesa kwa riba matokeo yake waliporuhusiwa kutoka wakaiambikiza Europe nzima kwa hii biashara na kuwafanyia wakristo kuanzia kwenda kinyume na maamrisho ya kanisa ya kutokujihusisha na riba.
 
Thibitisha hapa ni wapi na kanisa lipi liliambiwa lisijihusishe na riba?
 
We jamaa sikuelewi kabisa una nia gani maana unasema eti kujihusisha riba imekatazwa na Kanisa. Hivi utaishije bila pesa ? Maana kila kitu ni pesa.
 
We jamaa sikuelewi kabisa una nia gani maana unasema eti kujihusisha riba imekatazwa na Kanisa. Hivi utaishije bila pesa ? Maana kila kitu ni pesa.
Hapo kabla ya kujiingiza kwenye riba watu waliishije?
Wayahudi wanasomba almasi, dhahabu nk Afrika huku wakisababisha mauwaji , kila mahali huku wakiwasaidia wauwajina madikteta example ndogo walitaka kusababisha vurugu kule Senegal lakini watu wakawashtukia
 
Pia ungejiuliza vipi nchi zote za Africa wapitwe na kampuni moja tu ya US, apple.
 
Hapo kabla ya kujiingiza kwenye riba watu waliishije?
Wayahudi wanaomba almas, dhahabu nk Afrika huku wakisababisha mauwaji , kila mahali huku wakiwasaidia wauwaji
Mwanangu maisha ni kupambana na kujitafuta ningekuwa na fikra zako kama serikali ingekuwa imenisaidia kufika hapa nilipo. Mimi nipo nao bega kwa bega na wayahudi kuna mengi nimejifunza kupitia wao. Mitandao na Media zinatudanganya kuhusu kufanikiwa kujua ukweli inabidi uishi na watu wakufunze.
 
Pia ungejiuliza vipi nchi zote za Africa wapitwe na kampuni moja tu ya US, apple.
US ni wezi tu wameisambaratisha Kongo na Sasa wameambiwa waondoke kule west Africa hawataki kuondoka
 
Soma hapo utamjua historia ya riba
Kwa nilichosoma humo ni kwamba mikopo inaruhisiwa lakini haitakiwi iwe kausha damu yenye riba kubwa kupitiliza.

Mfano mtu kaja kukopa milioni 1 ni vema umtoze riba ya asilimia 10 maana hio pesa inaweza kupoteza thamani mda ataorudisha, wewe umejibana usifanye mambo yako umpe yeye atatue shida zake, n.k. Lakini sio sawa kumchaji asilimia 50 ama zaidi.

Pia si vema kumkopa lwa riba mtu ambae unajua wazi hawezi kulipa hio riba, mfano mtu anaenda kutumia pesa kulisha familia yake ni tofauti na anaeenda kuwekeza.
 
US hawajawahi kukoloni nchi yoyote Africa
Nakubali hawajawahi kuwa na koloni Afrika, lakini hivi sasa wameingoa tokea wakati wa Obama na hawataki kuondoka. Jana kulikuwa na maandamano Niger ya kuwataka waondoke. Waliambiwa zamani waondoke lakini hawataki kuondoka
 
Nakubali hawajawahi kuwa na koloni Afrika, lakini hivi sasa wameingoa tokea wakati wa Obama na hawataki kuondoka. Jana kulikuwa na maandamano Niger ya kuwataka waondoke. Waliambiwa zamani waondoke lakini hawataki kuondoka
Mimi nakubalina na wewe US ukija kwenye maslahi yao hawana huruma na mtu ni wanyama hili hakuna ubishi lakini bado wao ni bora sana kuliko nchi za ulaya. Nchi za ulaya wamenufaika sana na uporaji wa bara la Africa mpaka leo hii France wapo tu, wanajuwa wao kuwepo pale ni sababu ya ujambazi wao Africa. Lakini wakulaumu ni sisi wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…