Nchi za kiarabu zinashindwaje kuwafikia Israel kiuchumi wakati Israel ni kanchi kadogo na wamezingirwa na maadui?

wacha kujipakazia , mimi nimesoma nao miaka karibu 6 mwisho kuna mmoja alitaka nimfanyie mpango aje kuishi bongo , halafu unatuletea yale yale ya kuteuliwa kuja hapo , nani aliyewateuwa ??wewe?
Ungempa dada yako amuoe aje bongo au kama alikuwa demu si ungeoa Mkuu uje naye huku.
 
Kayatupie mshipi uyavuwe ni mboga nzuri sana
Utajiri wa majini hauna tija. Angalia misaada ya wapalestina kule Gaza inatoka ulaya na marekani, majini yana kula bata wala hayana habari na watu wake.
Wakisha vimbewa utasikia makafir tu wale.
 


View: https://youtu.be/bfxnVQ27wY0?si=P9hE9oNqu4d5agd3
 
Utajiri wa majini hauna tija. Angalia misaada ya wapalestina kule Gaza inatoka ulaya na marekani, majini yana kula bata wala hayana habari na watu wake.
Wakisha vimbewa utasikia makafir tu wale.
Śasa kwa nini hawataki kuiwachia ?
 
Wayahudi ni mashoga jee mbona unatutia wasiwasi kwa kusema upp nao bega kwa bega?

Mimi nipo nao bega kwa bega kwa sababu nachukia umasikini. Naomba pia nikuambia hapa Ujerumani ninapofanyia kazi boss wangu nae ni shoga. Mimi Mchaga nimetumwa hela najua nini maana ya hela. Nauogopa umasikini kuliko kitu chochote kile. Niko Tayari kufanya kazi na mtu yeyote sijali dini, kabila aua mitazamo. Ili mradi unanisaidia kutimiza malengo yangu. Ningekuwa napewa hela bure bure ningechagua wa kufanya nae kazi. SIna hela ya kuchagua wa kufanya nae kazi. Nikifika hio stage ya kuwa na hizi hela ndio nitaweza kuchagua wa kufanya naye kazi. Na sina uhakika nitafika maana inflation imekuwa juu sana.
 
Maadui wepi walioizingira Israel?
 
Umejuaje kama ni shoga mkuu, usikute una msingizia tuu.
 
Haya mkuu hizo ni nchi tajiri duniani kwa data za 2024, tunaona kuna nchi mbili za kiarabu top ten ila israel haipo


 
Sahihi
 
Na wewe ukaamini izo maneno
 
Kwa hiyo misri anamzidi Israel Kwenye teknolojia ya kilimo?
 
Waache waedelee kukesha na swala tano wanadhani maisha ni marahisi
 

Attachments

  • m2-res_720p.mp4
    2.5 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…