Nchi za mabeberu wana Ramani zinazoonyesha maliasili ilipo Tanzania na nchi nyingine mbili. Wao wanaamini walitukabidhi tuwatunzie lakini si zetu

Ni ujinga na kutupotezea muda kuendelea kulalama, mabeberu, mabeberu. Mkiambiwa tajeni hadharani angalau beberu moja tu mnajificha chumbani Lumumba.
 
Umeona eeee! MaCCM majinga kweli. Hata ukiwaomba wakutajie beberu mmoja tu ambaye hatuna shirika naye hawataji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…