Mabeberu wote tunao ushirikiano lakini wa kutoaminiana kwenye masuala fulani.
Hii ni kwasababu tunapokea misaada yao na wakti huohuo twazungumza vingine kuonyesha ukigeugeu wetu.
Ndo maana nchi zote za kibeberu hutazama ni kiongozi yupi awafaa wao kwa ushirikiano na asiwe hardliner au asie na chembechembe za kijamaa.
Kiongozi wa aina hiyo hatakiwi na mabeberu.
Siwezi taja nchi moja moja kwani nchi hizi zina foreign policy ambazo hazitofautiani sana.
Nchi za kibeberu ni zote huitwa imperialist powers.