Nchi za Magharibi wailalamikia sana Urusi! Wanadai inatumia gesi kama silaha . Hivi walipoiwekea vikwazo zaidi ya 6,000 walidhani itatulia tu?

Nchi za Magharibi wailalamikia sana Urusi! Wanadai inatumia gesi kama silaha . Hivi walipoiwekea vikwazo zaidi ya 6,000 walidhani itatulia tu?

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Nchi za magharibi zinadhani zenyewe ndio zina haki ya kuadhibu nchi zinmgine, na hazitegemei nchi zingine kujitetea kwa namna yoyote ile!

Nchi za magharibi na washirika wao waliiwekea vikwazo lukuki urusi ikiwemo kutokuruhusiwa kufanya miamala kwa kutumia Euro na dola.

.Kwao hiyo ni sawa!! walitegemea Urusi iendelee kulipwa kwa Euro na dola kwa mauzo ya gesi na mafuta yake hata kama hizo Euro na dola haina faida nazo maana hairuhusiwi kuzitumia!!

Wao kutumia Euro na dola kama silaha ni sawa!! Lakini Urusi kutumia gesi yake kwenye biashara kama silaha ni haramu!!

Vikwazo vya kiuchumi ni vita vya kiuchumi! Silaha katika vita hii ya kiuchumi ni fedha na bidhaa!!

Nchi za magharibi zilitegemea kuipiga Urusi kiuchumi na Urusi ingetulia tu bila yenyewe pia kuzipiga nchi za magharibi kiuchumi pia!! Inachekesha, zinasema zitaishtaki Urusi!!

Mashitaka yenyewe ni haya: Urusi imekataa kupokea dola na Euro(kwenye mauzo ya gesi yake) ambazo tulimpiga marufuku kuzitumia kwenye miamala yake!

Anataka tumlipe kwa ruble anazoweza kuzitumia!!
 
Dunia hii haikofair mkuu. Ndio maana sisi wafuasi wa Yesu tunasubiri dunia mpya.

Yaani uniwekee vikwazo. Upore Mali zangu na za RAIA wangu ambayo hawahusiki walio nchini mwako.

Kiukweli. Nilitakiwa nizuie Kuuza Gesi ulaya kwa kushtukiza. Hadi mama wa Nyumbani jobless ulaya aonje joto ya vita.

Pamoja na uungwana wote huu. Bado anaonekana mrusi korofi.

Dunia hii ni ya kwenye nguvu, ikiwa mnyonge ungana nao ukipinga jiandae kwa lolote.
 
Dunia hii haikofair mkuu. Ndio maana sisi wafuasi wa Yesu tunasubiri dunia mpya.

Yaani uniwekee vikwazo. Upore Mali zangu na za RAIA wangu ambayo hawahusiki walio nchini mwako.

Kiukweli. Nilitakiwa nizuie Kuuza Gesi ulaya kwa kushtukiza. Hadi mama wa Nyumbani jobless ulaya aonje joto ya vita.

Pamoja na uungwana wote huu. Bado anaonekana mrusi korofi.

Dunia hii ni ya kwenye nguvu, ikiwa mnyonge ungana nao ukipinga jiandae kwa lolote.
Umeiweka vizuri sana! Unajua malalamiko ya nchi za magharibi ni kwa urusi ni sawa kabisa na malalamiko ya mchawi kwa shetani akisaema: "kwa nini binti wa jirani yangu ameolewa wakati yule wa kwangu yupo tu nyumbani? Naomba yule aliyeolewa asipate mtoto". Kwa mchawi hayo ni mashtaka halali kabisa kwa shetani!! Na anaamini yatasikilizwa na kufanyiwa kazi!!
 
Umeiweka vizuri sana! Unajua malalamiko ya nchi za magharibi ni kwa urusi ni sawa kabisa na malalamiko ya mchawi kwa shetani akisaema: "kwa nini binti wa jirani yangu ameolewa wakati yule wa kwangu yupo tu nyumbani? Naomba yule aliyeolewa asipate mtoto". Kwa mchawi hayo ni mashtaka halali kabisa kwa shetani!! Na anaamini yatasikilizwa na kufanyiwa kazi!!
Ni ya kijinga sana. Na nashangaa wanaoshabikia. Sisi tuliombali huku tunatakiwa tufuatilie hata mambo kiakili sana.

Hii vita inamafunzo mengi sana katika maisha ya kawaida tukiweka ushabiki pembeni.
 
Kitu ambacho sina uhakika ni kuwa, hawa viongozi wa nchi za magharibi je wameshawishika kabisa mioyoni mwao kuwa ni kosa kwa urusi kukataa kuuza gesi yake kwa euro au dola ambayo hairuhusiwi kuitumia? Kama ni hivyo basi wanatia huruma sana!
 
Nchi za magharibi zinadhani zenyewe ndio zina haki ya kuadhibu nchi zinmgine, na hazitegemei nchi zingine kujitetea kwa namna yoyote ile!

Nchi za magharibi na washirika wao waliiwekea vikwazo lukuki urusi ikiwemo kutokuruhusiwa kufanya miamala kwa kutumia Euro na dola.

.Kwao hiyo ni sawa!! walitegemea Urusi iendelee kulipwa kwa Euro na dola kwa mauzo ya gesi na mafuta yake hata kama hizo Euro na dola haina faida nazo maana hairuhusiwi kuzitumia!!

Wao kutumia Euro na dola kama silaha ni sawa!! Lakini Urusi kutumia gesi yake kwenye biashara kama silaha ni haramu!!

Vikwazo vya kiuchumi ni vita vya kiuchumi! Silaha katika vita hii ya kiuchumi ni fedha na bidhaa!!

Nchi za magharibi zilitegemea kuipiga Urusi kiuchumi na Urusi ingetulia tu bila yenyewe pia kuzipiga nchi za magharibi kiuchumi pia!! Inachekesha, zinasema zitaishtaki Urusi!!

Mashitaka yenyewe ni haya: Urusi imekataa kupokea dola na Euro(kwenye mauzo ya gesi yake) ambazo tulimpiga marufuku kuzitumia kwenye miamala yake!

Anataka tumlipe kwa ruble anazoweza kuzitumia!!
Kwa Sasa Mabeberu Maji Yamezidi Unga
 
Dunia hii haikofair mkuu. Ndio maana sisi wafuasi wa Yesu tunasubiri dunia mpya.

Yaani uniwekee vikwazo. Upore Mali zangu na za RAIA wangu ambayo hawahusiki walio nchini mwako.

Kiukweli. Nilitakiwa nizuie Kuuza Gesi ulaya kwa kushtukiza. Hadi mama wa Nyumbani jobless ulaya aonje joto ya vita.

Pamoja na uungwana wote huu. Bado anaonekana mrusi korofi.

Dunia hii ni ya kwenye nguvu, ikiwa mnyonge ungana nao ukipinga jiandae kwa lolote.
A nasty truth
 
Kwa kweli hii dunia ni mbovu sana!! Anayeweka tumaini lake duniani hapa ana hasara kubwa! Fikiria mabilionea kama kina Abramovich na wenzake ambao wamepokonywa mabilioni ya dola, walizojikusanyia kwa bidii kwa miaka mingi! Kwa kauli tu ya kibabe!! Hayo mabilioni wangekuwa wamewekeza katika ufalme wa Mungu ingekuwa heri sana kwao!! Duniani ni dhulma kwa kwenda mbele!! Ninashukuru sana kwa kuwa nimekabidhi maisha yangu kwa YESU!!
 
Nchi za magharibi zinadhani zenyewe ndio zina haki ya kuadhibu nchi zinmgine, na hazitegemei nchi zingine kujitetea kwa namna yoyote ile!

Nchi za magharibi na washirika wao waliiwekea vikwazo lukuki urusi ikiwemo kutokuruhusiwa kufanya miamala kwa kutumia Euro na dola.

.Kwao hiyo ni sawa!! walitegemea Urusi iendelee kulipwa kwa Euro na dola kwa mauzo ya gesi na mafuta yake hata kama hizo Euro na dola haina faida nazo maana hairuhusiwi kuzitumia!!

Wao kutumia Euro na dola kama silaha ni sawa!! Lakini Urusi kutumia gesi yake kwenye biashara kama silaha ni haramu!!

Vikwazo vya kiuchumi ni vita vya kiuchumi! Silaha katika vita hii ya kiuchumi ni fedha na bidhaa!!

Nchi za magharibi zilitegemea kuipiga Urusi kiuchumi na Urusi ingetulia tu bila yenyewe pia kuzipiga nchi za magharibi kiuchumi pia!! Inachekesha, zinasema zitaishtaki Urusi!!

Mashitaka yenyewe ni haya: Urusi imekataa kupokea dola na Euro(kwenye mauzo ya gesi yake) ambazo tulimpiga marufuku kuzitumia kwenye miamala yake!

Anataka tumlipe kwa ruble anazoweza kuzitumia!!
Sasa kama wanaipiga Urusi vikwazo kila uchao, wanataka Warusi waishije? Wanatumia silaha kubwa waliyo nayo at their disposal, gesi na mafuta. Acha wauane. Maana kinachokuja sasa Urusi wameanza ku hack mifumo ya kibenki ya nchi za Magharibi ili wapige pesa, kama inavyofanya Korea Kaskazini.
 
Kwa kweli hii dunia ni mbovu sana!! Anayeweka tumaini lake duniani hapa ana hasara kubwa! Fikiria mabilionea kama kina Abramovich na wenzake ambao wamepokonywa mabilioni ya dola, walizojikusanyia kwa bidii kwa miaka mingi! Kwa kauli tu ya kibabe!! Hayo mabilioni wangekuwa wamewekeza katika ufalme wa Mungu ingekuwa heri sana kwao!! Duniani ni dhulma kwa kwenda mbele!! Ninashukuru sana kwa kuwa nimekabidhi maisha yangu kwa YESU!!
Acha uzembe mkuu' unamkabizije mtu usiemjua hatma ya maisha yako?
 
Nchi za magharibi zinadhani zenyewe ndio zina haki ya kuadhibu nchi zinmgine, na hazitegemei nchi zingine kujitetea kwa namna yoyote ile!

Nchi za magharibi na washirika wao waliiwekea vikwazo lukuki urusi ikiwemo kutokuruhusiwa kufanya miamala kwa kutumia Euro na dola.

.Kwao hiyo ni sawa!! walitegemea Urusi iendelee kulipwa kwa Euro na dola kwa mauzo ya gesi na mafuta yake hata kama hizo Euro na dola haina faida nazo maana hairuhusiwi kuzitumia!!

Wao kutumia Euro na dola kama silaha ni sawa!! Lakini Urusi kutumia gesi yake kwenye biashara kama silaha ni haramu!!

Vikwazo vya kiuchumi ni vita vya kiuchumi! Silaha katika vita hii ya kiuchumi ni fedha na bidhaa!!

Nchi za magharibi zilitegemea kuipiga Urusi kiuchumi na Urusi ingetulia tu bila yenyewe pia kuzipiga nchi za magharibi kiuchumi pia!! Inachekesha, zinasema zitaishtaki Urusi!!

Mashitaka yenyewe ni haya: Urusi imekataa kupokea dola na Euro(kwenye mauzo ya gesi yake) ambazo tulimpiga marufuku kuzitumia kwenye miamala yake!

Anataka tumlipe kwa ruble anazoweza kuzitumia!!
Sawa kabisa ulivyoainisha. Haswaa inachekesha kweli kama ulivyosema. Paragraph zako mbili za mwisho zinakamilisha tathmini ya upunguani wa hawa watu. Nilisikia pia kwenye taarifa moja ya habari kwenye TV kwamba Jumuia ya Ulaya inaishinikiza Poland kuipeleka Urusi mahakamani kwa kusitisha kuwauzia gesi! Labda kwa kuwa mahakama zenyewe ni zao, ndiyo wataweza hata kule kuwaruhusu kufungua kesi ya ujinga wa kiasi hicho. La sivyo ni kupoteza muda tu kuanza kusikiliza kesi ya upuuzi wa namna hiyo isiyokuwa na kichwa wala miguu. Wewe mnunuzi unilazimishe nikuuzie bidhaa yangu; na si hivyo tu bali unaenda mbali zaidi na kunipangia masharti ya kukuuzia hiyo bidhaa! Maajabu ya ulimwengu!
 
Kitu ambacho sina uhakika ni kuwa, hawa viongozi wa nchi za magharibi je wameshawishika kabisa mioyoni mwao kuwa ni kosa kwa urusi kukataa kuuza gesi yake kwa euro au dola ambayo hairuhusiwi kuitumia? Kama ni hivyo basi wanatia huruma sana!
Screenshot_20220428-115054.jpg
Screenshot_20220428-115123.jpg
 
Kwa kweli hii dunia ni mbovu sana!! Anayeweka tumaini lake duniani hapa ana hasara kubwa! Fikiria mabilionea kama kina Abramovich na wenzake ambao wamepokonywa mabilioni ya dola, walizojikusanyia kwa bidii kwa miaka mingi! Kwa kauli tu ya kibabe!! Hayo mabilioni wangekuwa wamewekeza katika ufalme wa Mungu ingekuwa heri sana kwao!! Duniani ni dhulma kwa kwenda mbele!! Ninashukuru sana kwa kuwa nimekabidhi maisha yangu kwa YESU!!
Naona baada ya mliekuwa mnamtegemea,Putin, kawaangusha sasa mnakimbilia kwenye imani ya Mungu.
 
Dunia hii haikofair mkuu. Ndio maana sisi wafuasi wa Yesu tunasubiri dunia mpya.

Yaani uniwekee vikwazo. Upore Mali zangu na za RAIA wangu ambayo hawahusiki walio nchini mwako.

Kiukweli. Nilitakiwa nizuie Kuuza Gesi ulaya kwa kushtukiza. Hadi mama wa Nyumbani jobless ulaya aonje joto ya vita.

Pamoja na uungwana wote huu. Bado anaonekana mrusi korofi.

Dunia hii ni ya kwenye nguvu, ikiwa mnyonge ungana nao ukipinga jiandae kwa lolote.
ila ww ulipue viwanda , viwanja vya michezo , maduka ya watu na makazi yao la unaona sawa tu ?
 
Ni ya kijinga sana. Na nashangaa wanaoshabikia. Sisi tuliombali huku tunatakiwa tufuatilie hata mambo kiakili sana.

Hii vita inamafunzo mengi sana katika maisha ya kawaida tukiweka ushabiki pembeni.
siku urusi ikikushushia kipondo utarud kurekebisha kauli yako
 
Kitu ambacho sina uhakika ni kuwa, hawa viongozi wa nchi za magharibi je wameshawishika kabisa mioyoni mwao kuwa ni kosa kwa urusi kukataa kuuza gesi yake kwa euro au dola ambayo hairuhusiwi kuitumia? Kama ni hivyo basi wanatia huruma sana!
mkataba unasemaj bro
 
Kwa kweli hii dunia ni mbovu sana!! Anayeweka tumaini lake duniani hapa ana hasara kubwa! Fikiria mabilionea kama kina Abramovich na wenzake ambao wamepokonywa mabilioni ya dola, walizojikusanyia kwa bidii kwa miaka mingi! Kwa kauli tu ya kibabe!! Hayo mabilioni wangekuwa wamewekeza katika ufalme wa Mungu ingekuwa heri sana kwao!! Duniani ni dhulma kwa kwenda mbele!! Ninashukuru sana kwa kuwa nimekabidhi maisha yangu kwa YESU!!
ila ufikiri matajiri wangapi wa ukraine biashara zao zimelipuliwa na hawatoziona tena sio viwanda , makazi , maduka wala viwanja vya michezo wala sio mashule pia sio vyombo vya habari , ila unamuonea huruma mtu mmoja ambaye mgogoro ukiisha anaez rudishiwa mali zake
 
Umeiweka vizuri sana! Unajua malalamiko ya nchi za magharibi ni kwa urusi ni sawa kabisa na malalamiko ya mchawi kwa shetani akisaema: "kwa nini binti wa jirani yangu ameolewa wakati yule wa kwangu yupo tu nyumbani? Naomba yule aliyeolewa asipate mtoto". Kwa mchawi hayo ni mashtaka halali kabisa kwa shetani!! Na anaamini yatasikilizwa na kufanyiwa kazi!!
Yaani ni kama vile Urusi anavyolalamika Ukraine kusaidiwa silaha na marafiki zake, yaani anampangia adui jinsi ya kupata silaha za kupigania, ni wehu mtupu.
 
Back
Top Bottom