mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Nchi za magharibi zinadhani zenyewe ndio zina haki ya kuadhibu nchi zinmgine, na hazitegemei nchi zingine kujitetea kwa namna yoyote ile!
Nchi za magharibi na washirika wao waliiwekea vikwazo lukuki urusi ikiwemo kutokuruhusiwa kufanya miamala kwa kutumia Euro na dola.
.Kwao hiyo ni sawa!! walitegemea Urusi iendelee kulipwa kwa Euro na dola kwa mauzo ya gesi na mafuta yake hata kama hizo Euro na dola haina faida nazo maana hairuhusiwi kuzitumia!!
Wao kutumia Euro na dola kama silaha ni sawa!! Lakini Urusi kutumia gesi yake kwenye biashara kama silaha ni haramu!!
Vikwazo vya kiuchumi ni vita vya kiuchumi! Silaha katika vita hii ya kiuchumi ni fedha na bidhaa!!
Nchi za magharibi zilitegemea kuipiga Urusi kiuchumi na Urusi ingetulia tu bila yenyewe pia kuzipiga nchi za magharibi kiuchumi pia!! Inachekesha, zinasema zitaishtaki Urusi!!
Mashitaka yenyewe ni haya: Urusi imekataa kupokea dola na Euro(kwenye mauzo ya gesi yake) ambazo tulimpiga marufuku kuzitumia kwenye miamala yake!
Anataka tumlipe kwa ruble anazoweza kuzitumia!!
Nchi za magharibi na washirika wao waliiwekea vikwazo lukuki urusi ikiwemo kutokuruhusiwa kufanya miamala kwa kutumia Euro na dola.
.Kwao hiyo ni sawa!! walitegemea Urusi iendelee kulipwa kwa Euro na dola kwa mauzo ya gesi na mafuta yake hata kama hizo Euro na dola haina faida nazo maana hairuhusiwi kuzitumia!!
Wao kutumia Euro na dola kama silaha ni sawa!! Lakini Urusi kutumia gesi yake kwenye biashara kama silaha ni haramu!!
Vikwazo vya kiuchumi ni vita vya kiuchumi! Silaha katika vita hii ya kiuchumi ni fedha na bidhaa!!
Nchi za magharibi zilitegemea kuipiga Urusi kiuchumi na Urusi ingetulia tu bila yenyewe pia kuzipiga nchi za magharibi kiuchumi pia!! Inachekesha, zinasema zitaishtaki Urusi!!
Mashitaka yenyewe ni haya: Urusi imekataa kupokea dola na Euro(kwenye mauzo ya gesi yake) ambazo tulimpiga marufuku kuzitumia kwenye miamala yake!
Anataka tumlipe kwa ruble anazoweza kuzitumia!!