Nchi za Magharibi zimemtumia Putin barua ya onyo kwa mara ya kwanza

Nchi za Magharibi zimemtumia Putin barua ya onyo kwa mara ya kwanza

Ila mim silaumu upande wowote coz hii vita ni baina ya mataifa yenye nguvu kijeshi, kiuchumi, kitekinolojia n.k
Akili kubwa lazima itumike kupigana, ukiingia kichwa kichws unaumbuka
 
Adithi za kutunga nyingiii - ni wapi mataifa ya magharibi waliwahi kutangazia Dunia kwamba wamempa onyo Putin, wapi?? Eti maghara yake yote ya silaha yamelipuliwa nchini Ukraine - uongo mtupu, tunacho jua sisi kuna base moja iliwahi kupata madhara lakini hakuna ushahidi wowote wa kudhibitisha kwamba jeshi la Ukraine lilinahusika moja kwa mojar - adithi nyingi ni za kuchonga tu, na kukuzwa na media za magharibi na Ukraine Pravda - tukio moja la kizembe wamelikuza as if wamekwisha shinda vita - hata akili za kutambua kwa is still a thermonuclear super power, akili hizo Jeshi la Senselessky na like mind wenzake hawana kabisa, hisipo kuwa Merikani na baadhi ya Viongozi wa EU ndio usema kwenye vyombo vya habari mara kwa mara kwamba hawataki kujiingiza kwenye mgogoro wa Ukraine na Urusi - hao ndio wenye akili timamu ya kutambuwa kiundani uwezo WA jeshi la Urusi likuhamua kufanya kweli-nyie endeleeni na kuwabeza beza kutokana na matukio madogo dogo tu ndani ya Ukraine.
 
Huyu jamaa anapitia magumu, hata salamu ya mtoto mdogo inabidi mtoto ashikiliwe

_-20-11-jpg.2467859
Hatari kabisa;
 
Putin ktk mwezi wa Dec amerusha mabomu mengi kwa Ukraine mengine yame hit target while mengine Ukraine waliyadungua.

Ila jambo Mrusi hakujuwa nchi za Magharibi walikuwa wakifanya ktk hali ya usiri mkubwa ni pale Nchi za Magharibi walikuwa waki monitor all movement za Mrusi kukusanya silaha na kujenga maghala ndani ya Ukraine ili aweze kuanzisha vita vipya.

Ili kumchanganya Ukraine na Jeshi lake Mrusi alikuwa akishusha mabomu kama mvua ndani ya mji mkuu wa Ukraine Kyieve na miji mingine.

Ilipofika siku ya mwaka mpya Mrusi akafanya sherehe kubwa na kutuma mabomu ya happy new year kwa Ukraine nakuwapa salama ya happy new pasipo kujuwa kitakachoyapata majeshi yao watasimamisha vita.

Well jamaa akarusha mabomu siku ya happy new year ila walichomjibu Putin mpaka sasa anaona amehujumiwa Karibia maghala yote ndani ya Ukraine Yameteketezwa na Ukraine na mwisho wakapiga ngome kuu ya maandalizi ya vita ambapo takriban wanajeshi 600+ walikuwa ndani yake na wote inasadikiwa wamekufa.

Urusi ghafla amesimamisha vita na maombolezo yanaendelea japo anasema wamepoteza maisha wanajeshi 86 ila wajuvi wa mambo wanasema ni idadi kubwa sana ya vijana wameangamiza na uwenda ikabadilisha sura ya vita na mwisho Putin kuondolewa madarakani.

Kwasababu hali ni mbaya na wanajeshi wa Urusi hawana moyo wa vita maana wanakufa sana kama kuku wa kideri.

Unaambiwa mpaka natoka mitamboni inasemekana killer robots wamekuwa deploy hivyo Mrusi anauwawa na watu asio waona kwa mfano wamekuwa na uwezo waku detect infrared ya joto la binadam kiasi waki scan via satelite wanajuwa adui alipo jificha.

Mrusi haamini anachokutana nacho mchina rafiki yake hana hizo teachnology ana copy hivyo akiweka mitambo yako anakuwa uchi kwenye vifaa vya Magharibi kwa sasa nikama vita imesimama. Japo wanakutafuta kichwa cha mtu mmoja kimya kimya.

Mataifa ya Magharibi ili kumchanganya Putin wakijuwa Putin anatumia technology ya 1988 while mataifa ya Magharibi wapo on AI weapon.
Yani we tukikufuatilia vyema hata sec pengine hujamaliza, Bado stress za mpenzi na Familia yenu duni. Mara unaamka na uchovu wa kiakili unaanza kuleta Uzi kama huu jitafakari Mkuu. Hujui lolote Kaa kimya.
 
Nyie vp?Rais wa taifa kubwa kama Russia Unadhani ulinzi wake ni WA mchezo mchezo!Unaijua bajeti ya kumlinda Biden Kwa siku wewe?
Muhoji msafara wa Biden anapokuwa safarini nchi za nje uongozwa na magari mangapi - je, ndege za mizigo za kijeshi za kubeba magari na mizingo huwa ni ngapi. Je, safari za nje za Putin amewahi kuona mbwebwe kama hizo - hivi sasa at least ulinzi wa Putin imehimarishwa kutokana na vita ya Ukraine, lakini hata siku moja hauwezi kufikia wa Biden.
 
Muhoji msafara wa Biden anapokuwa safarini nchi za nje uongozwa na magari mangapi - je, ndege za mizigo za kijeshi za kubeba magari na mizingo huwa ni ngapi. Je, safari za nje za Putin amewahi kuona mbwebwe kama hizo - hivi sasa at least ulinzi wa Putin imehimarishwa kutokana na vita ya Ukraine, lakini hata siku moja hauwezi kufikia wa Biden.
Wanajitia uendawazimu ila wanajua haya yote!
 
Wewe inaonekana huenda huna ukaribu na masuala ya kijeshi. Iliyopigwa ni barracks siyo kituo.

Ukraine inasema askari waliokufa ni zaidi ya 400. Waziri wa Urusi juzi alisema ni askari 63, leo anasema ni 89, bloggers wa Urusi wanasema serikali yao kusema waliokufa ni askari 89, ni uwongo.

Waliokufa ni zaidi ya 100. Mashuhuda waliokuwepo karibu na eneo la tukio wanasema ni karibia askari wote waliokuwepo kwenye hiyo barracks, na majengo ya chuo ambamo walikuwemo yote yamegeuka uwanja, bila kuwepo na hata ukuta mmoja uliosimama.

Kumbuka barracks hiyo ilikuwa na vikosi 10 vyenye majukumu tofauti. Wanaojua masuala ya kijeshi wanajua kuwa barracks huundwa na vikosi kadhaa vilivyopo eneo moja. Askari na silaha za vikosi vyote 10 zimeteketea.
Mmemzidi hadi Shigongo Kwa kutinga hadithi ... Hongereni Kwa Ushindi mkubwa sanaaa mnaopata ProNatoMashogaz
 
Nyie vp?Rais wa taifa kubwa kama Russia Unadhani ulinzi wake ni WA mchezo mchezo!Unaijua bajeti ya kumlinda Biden Kwa siku wewe?
Hata kama anahitaji ulinzi mkali, kinachoonekana hapa ni kuwa mashaka yamezidi
 
Hata kama anahitaji ulinzi mkali, kinachoonekana hapa ni kuwa mashaka yamezidi
Hamjui kuwa Russia Yuko vitani na maadui zake ni NATO Kwa ujumla?
Kama wanausalama wameona ni muhimu sana kuchukua tahadhari zote,wewe mwenzangu na Mimi wa huko Tandale unataka kusemaje?
Au mnataka wapuuze Ili mje siku Moja kushangilia Putin akidhurika na kuwaona Wana usalama wazembe???
 
Yani me huwa sijui kuna vita mpaka niingie kwenye internet,
Mpaka nawaza hii ni vita ya kisaikolojia au 🤔
 
Je tuendelee kusubiri kifo Cha Bwana Putin kama ulivyotuambia awali au kifo kimesitishwa.?
Naomba utupe kabisa tarehe,siku,saa na aina ya kifo ili tuweke kwenye kumbukumbu.
Maana kwa ule utabiri wako tunaona Putin Hafi.
Zaidi ya hapo umeibuka kua mtu mjanjamjanja sana na mwongo usie na haya.
 
Back
Top Bottom