Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie vp?Rais wa taifa kubwa kama Russia Unadhani ulinzi wake ni WA mchezo mchezo!Unaijua bajeti ya kumlinda Biden Kwa siku wewe?Na huko kwake inasemakana anabadili sana ulinzi.
Hatari kabisa;Huyu jamaa anapitia magumu, hata salamu ya mtoto mdogo inabidi mtoto ashikiliwe
![]()
Sio makosa ndio uwezo wao wa akili ulipokuwaHapana! Yale yalikuwa makosa yaliyotokana na uzembe tu ndiyo yamepelekea maafa kwa Russia!
Yani we tukikufuatilia vyema hata sec pengine hujamaliza, Bado stress za mpenzi na Familia yenu duni. Mara unaamka na uchovu wa kiakili unaanza kuleta Uzi kama huu jitafakari Mkuu. Hujui lolote Kaa kimya.Putin ktk mwezi wa Dec amerusha mabomu mengi kwa Ukraine mengine yame hit target while mengine Ukraine waliyadungua.
Ila jambo Mrusi hakujuwa nchi za Magharibi walikuwa wakifanya ktk hali ya usiri mkubwa ni pale Nchi za Magharibi walikuwa waki monitor all movement za Mrusi kukusanya silaha na kujenga maghala ndani ya Ukraine ili aweze kuanzisha vita vipya.
Ili kumchanganya Ukraine na Jeshi lake Mrusi alikuwa akishusha mabomu kama mvua ndani ya mji mkuu wa Ukraine Kyieve na miji mingine.
Ilipofika siku ya mwaka mpya Mrusi akafanya sherehe kubwa na kutuma mabomu ya happy new year kwa Ukraine nakuwapa salama ya happy new pasipo kujuwa kitakachoyapata majeshi yao watasimamisha vita.
Well jamaa akarusha mabomu siku ya happy new year ila walichomjibu Putin mpaka sasa anaona amehujumiwa Karibia maghala yote ndani ya Ukraine Yameteketezwa na Ukraine na mwisho wakapiga ngome kuu ya maandalizi ya vita ambapo takriban wanajeshi 600+ walikuwa ndani yake na wote inasadikiwa wamekufa.
Urusi ghafla amesimamisha vita na maombolezo yanaendelea japo anasema wamepoteza maisha wanajeshi 86 ila wajuvi wa mambo wanasema ni idadi kubwa sana ya vijana wameangamiza na uwenda ikabadilisha sura ya vita na mwisho Putin kuondolewa madarakani.
Kwasababu hali ni mbaya na wanajeshi wa Urusi hawana moyo wa vita maana wanakufa sana kama kuku wa kideri.
Unaambiwa mpaka natoka mitamboni inasemekana killer robots wamekuwa deploy hivyo Mrusi anauwawa na watu asio waona kwa mfano wamekuwa na uwezo waku detect infrared ya joto la binadam kiasi waki scan via satelite wanajuwa adui alipo jificha.
Mrusi haamini anachokutana nacho mchina rafiki yake hana hizo teachnology ana copy hivyo akiweka mitambo yako anakuwa uchi kwenye vifaa vya Magharibi kwa sasa nikama vita imesimama. Japo wanakutafuta kichwa cha mtu mmoja kimya kimya.
Mataifa ya Magharibi ili kumchanganya Putin wakijuwa Putin anatumia technology ya 1988 while mataifa ya Magharibi wapo on AI weapon.
Muhoji msafara wa Biden anapokuwa safarini nchi za nje uongozwa na magari mangapi - je, ndege za mizigo za kijeshi za kubeba magari na mizingo huwa ni ngapi. Je, safari za nje za Putin amewahi kuona mbwebwe kama hizo - hivi sasa at least ulinzi wa Putin imehimarishwa kutokana na vita ya Ukraine, lakini hata siku moja hauwezi kufikia wa Biden.Nyie vp?Rais wa taifa kubwa kama Russia Unadhani ulinzi wake ni WA mchezo mchezo!Unaijua bajeti ya kumlinda Biden Kwa siku wewe?
Wanajitia uendawazimu ila wanajua haya yote!Muhoji msafara wa Biden anapokuwa safarini nchi za nje uongozwa na magari mangapi - je, ndege za mizigo za kijeshi za kubeba magari na mizingo huwa ni ngapi. Je, safari za nje za Putin amewahi kuona mbwebwe kama hizo - hivi sasa at least ulinzi wa Putin imehimarishwa kutokana na vita ya Ukraine, lakini hata siku moja hauwezi kufikia wa Biden.
Mmemzidi hadi Shigongo Kwa kutinga hadithi ... Hongereni Kwa Ushindi mkubwa sanaaa mnaopata ProNatoMashogazWewe inaonekana huenda huna ukaribu na masuala ya kijeshi. Iliyopigwa ni barracks siyo kituo.
Ukraine inasema askari waliokufa ni zaidi ya 400. Waziri wa Urusi juzi alisema ni askari 63, leo anasema ni 89, bloggers wa Urusi wanasema serikali yao kusema waliokufa ni askari 89, ni uwongo.
Waliokufa ni zaidi ya 100. Mashuhuda waliokuwepo karibu na eneo la tukio wanasema ni karibia askari wote waliokuwepo kwenye hiyo barracks, na majengo ya chuo ambamo walikuwemo yote yamegeuka uwanja, bila kuwepo na hata ukuta mmoja uliosimama.
Kumbuka barracks hiyo ilikuwa na vikosi 10 vyenye majukumu tofauti. Wanaojua masuala ya kijeshi wanajua kuwa barracks huundwa na vikosi kadhaa vilivyopo eneo moja. Askari na silaha za vikosi vyote 10 zimeteketea.
Hata kama anahitaji ulinzi mkali, kinachoonekana hapa ni kuwa mashaka yamezidiNyie vp?Rais wa taifa kubwa kama Russia Unadhani ulinzi wake ni WA mchezo mchezo!Unaijua bajeti ya kumlinda Biden Kwa siku wewe?
Si kweli! Bado Russia ina nguvu kijeshi,hata nchi za Magharibi zinakiri.Sio makosa ndio uwezo wao wa akili ulipokuwa
Sidhani kama kiongozi kama Putin anaweza kwenda nje ya nchi yake bila support vessels and cargo planesJe, safari za nje za Putin amewahi kuona mbwebwe kama hizo
Hamjui kuwa Russia Yuko vitani na maadui zake ni NATO Kwa ujumla?Hata kama anahitaji ulinzi mkali, kinachoonekana hapa ni kuwa mashaka yamezidi
Punguza ujinga wewe,hii picha ya zamani sana,ipo miaka kibao mitandaoni.Huyu jamaa anapitia magumu, hata salamu ya mtoto mdogo inabidi mtoto ashikiliwe
![]()