MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Punguza ujinga wewe,hii picha ya zamani sana,ipo miaka kibao mitandaoni.
Wewe ndio unaonyesha ulivyo mjinga, inaondoaje uhalsia wa hiyo picha, maisha ya hovyo sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza ujinga wewe,hii picha ya zamani sana,ipo miaka kibao mitandaoni.
Uwezo wako wakufikiri ni mdogo sana,umeshindwa hata kukumbuka caption uliyoiandika?Wewe ndio unaonyesha ulivyo mjinga, inaondoaje uhalsia wa hiyo picha, maisha ya hovyo sana.
Uwezo wako wakufikiri ni mdogo sana,umeshindwa hata kukumbuka caption uliyoiandika?
Labda nikuulize swali moja,kati ya US president na Russia president ni nani anayelindwa sana?
Una akili ya kitototo sana wewe Kapuku,unaokoteza vipicha ili kujifariji? kumbe ulienda kutafuta hicho kipicha ili kujustify ujinga ulioujaza kichwani? wewe ni Kiazi,kuna sehemu nimeongelea dini? au kwa vile wewe udini unakusumbua ndio unafikiri wote wapo hivyo? Una mawazo mgando sana.Caption nimeandika jamaa anapitia hali ngumu, tatizo lako dini inakufanya uwe kama zezeta na mwenye hasira za kijinga, na mtaendelea kuteseka...ha ha ha
Ulinzi gani huo hata hauwezi kupokea salamu kutoka kwa katoto...
![]()
Hahaaaaaa!!! haya mataifa bwana!!!!Yaani mpo kwenye vita halaf unatuma barua 😂😂😂 yamekuwa mapenzi hayo 😂😂 Yaani watu wa upinde akili zao bana 🤣🤣
uko vizuri hapa ndip mahala pake mada kama hizi umefunguwa vichwaPutin ktk mwezi wa Dec amerusha mabomu mengi kwa Ukraine mengine yame hit target while mengine Ukraine waliyadungua.
Ila jambo Mrusi hakujuwa nchi za Magharibi walikuwa wakifanya ktk hali ya usiri mkubwa ni pale Nchi za Magharibi walikuwa waki monitor all movement za Mrusi kukusanya silaha na kujenga maghala ndani ya Ukraine ili aweze kuanzisha vita vipya.
Ili kumchanganya Ukraine na Jeshi lake Mrusi alikuwa akishusha mabomu kama mvua ndani ya mji mkuu wa Ukraine Kyieve na miji mingine.
Ilipofika siku ya mwaka mpya Mrusi akafanya sherehe kubwa na kutuma mabomu ya happy new year kwa Ukraine nakuwapa salama ya happy new pasipo kujuwa kitakachoyapata majeshi yao watasimamisha vita.
Well jamaa akarusha mabomu siku ya happy new year ila walichomjibu Putin mpaka sasa anaona amehujumiwa Karibia maghala yote ndani ya Ukraine Yameteketezwa na Ukraine na mwisho wakapiga ngome kuu ya maandalizi ya vita ambapo takriban wanajeshi 600+ walikuwa ndani yake na wote inasadikiwa wamekufa.
Urusi ghafla amesimamisha vita na maombolezo yanaendelea japo anasema wamepoteza maisha wanajeshi 86 ila wajuvi wa mambo wanasema ni idadi kubwa sana ya vijana wameangamiza na uwenda ikabadilisha sura ya vita na mwisho Putin kuondolewa madarakani.
Kwasababu hali ni mbaya na wanajeshi wa Urusi hawana moyo wa vita maana wanakufa sana kama kuku wa kideri.
Unaambiwa mpaka natoka mitamboni inasemekana killer robots wamekuwa deploy hivyo Mrusi anauwawa na watu asio waona kwa mfano wamekuwa na uwezo waku detect infrared ya joto la binadam kiasi waki scan via satelite wanajuwa adui alipo jificha.
Mrusi haamini anachokutana nacho mchina rafiki yake hana hizo teachnology ana copy hivyo akiweka mitambo yako anakuwa uchi kwenye vifaa vya Magharibi kwa sasa nikama vita imesimama. Japo wanakutafuta kichwa cha mtu mmoja kimya kimya.
Mataifa ya Magharibi ili kumchanganya Putin wakijuwa Putin anatumia technology ya 1988 while mataifa ya Magharibi wapo on AI weapon.
Huyo jamaa ni box kichwani,arguments zake nyingi ni childish!Una akili ya kitototo sana wewe Kapuku,unaokoteza vipicha ili kujifariji? kumbe ulienda kutafuta hicho kipicha ili kujustify ujinga ulioujaza kichwani? wewe ni Kiazi,kuna sehemu nimeongelea dini? au kwa vile wewe udini unakusumbua ndio unafikiri wote wapo hivyo? Una mawazo mgando sana.
Una akili ya kitototo sana wewe Kapuku,unaokoteza vipicha ili kujifariji? kumbe ulienda kutafuta hicho kipicha ili kujustify ujinga ulioujaza kichwani? wewe ni Kiazi,kuna sehemu nimeongelea dini? au kwa vile wewe udini unakusumbua ndio unafikiri wote wapo hivyo? Una mawazo mgando sana.
Huna akili wewe kiazi.Hamna picha nimeokoteza, acha kuongozwa na hasira za kidini zinazofanya uwe kama zezeta fulani hivi, huyo mtume wenu Putin leo hii ameshindwa hata kusalimia katoto ilhali Biden kule anajimix atakavyo.
Siku nyingine ujue, anayefaulu kukufunga kamba mikono bila hiari yako ana nguvu zaidi kukuzidiHii riwaya umejitungia!! Unaweza kuwa mtunzi mzuri wa hadithi za kufikirika! Kupiga kituo kimoja na kuua askari 89 sababu ya kushindwa vita.
Urusi ana askari zaidi ya milioni moja!! Ana silaha nyingi kuliko NATO yote! Marekani hana uwezo wa kupigana peke yake kwa karibu ya mwaka mzima bila kuishiwa pumzi!
Urusi imeweza kupigana huku ikiwa imewekewa vikwazo zaidi ya 6000 vya kiuchumi. Ni sawa na kupigana na mtu akiwa amefungwa kamba mikononi lakini akamudu kupigana kwa mwaka mzima!
Urusi imeweza kupigana huku ikiwa imefungwa mikono kwa njia ya vikwazo vya kiuchum,i! Hakuna Taifa lolote duniani linaloweza kupigana katika mazingira ambayo Urusi inapigana!!
Media za magharibi zinaipigia debe sana hii,, warusi wana MLRS kali kuzidi hii na zinawafyeka sana wa ukraine,, Ukraine inajitahidi sana kuficha casualties zake,, japo makaburi huwaumbua,,Huyu ndo mchinjaji.View attachment 2469512
Unazingua..Unaambiwa mpaka natoka mitamboni inasemekana killer robots wamekuwa deploy hivyo Mrusi anauwawa na watu asio waona kwa mfano wamekuwa na uwezo waku detect infrared ya joto la binadam kiasi waki scan via satelite wanajuwa adui alipo jificha.
Ndugu Acha Na Huzo ZuzuUna akili ya kitototo sana wewe Kapuku,unaokoteza vipicha ili kujifariji? kumbe ulienda kutafuta hicho kipicha ili kujustify ujinga ulioujaza kichwani? wewe ni Kiazi,kuna sehemu nimeongelea dini? au kwa vile wewe udini unakusumbua ndio unafikiri wote wapo hivyo? Una mawazo mgando sana.