Nchi za Magharibi zimemtumia Putin barua ya onyo kwa mara ya kwanza

Wewe ndio unaonyesha ulivyo mjinga, inaondoaje uhalsia wa hiyo picha, maisha ya hovyo sana.
Uwezo wako wakufikiri ni mdogo sana,umeshindwa hata kukumbuka caption uliyoiandika?

Labda nikuulize swali moja,kati ya US president na Russia president ni nani anayelindwa sana?
 
Uwezo wako wakufikiri ni mdogo sana,umeshindwa hata kukumbuka caption uliyoiandika?

Labda nikuulize swali moja,kati ya US president na Russia president ni nani anayelindwa sana?

Caption nimeandika jamaa anapitia hali ngumu, tatizo lako dini inakufanya uwe kama zezeta na mwenye hasira za kijinga, na mtaendelea kuteseka...ha ha ha
Ulinzi gani huo hata hauwezi kupokea salamu kutoka kwa katoto...

 
Caption nimeandika jamaa anapitia hali ngumu, tatizo lako dini inakufanya uwe kama zezeta na mwenye hasira za kijinga, na mtaendelea kuteseka...ha ha ha
Ulinzi gani huo hata hauwezi kupokea salamu kutoka kwa katoto...

Una akili ya kitototo sana wewe Kapuku,unaokoteza vipicha ili kujifariji? kumbe ulienda kutafuta hicho kipicha ili kujustify ujinga ulioujaza kichwani? wewe ni Kiazi,kuna sehemu nimeongelea dini? au kwa vile wewe udini unakusumbua ndio unafikiri wote wapo hivyo? Una mawazo mgando sana.
 
uko vizuri hapa ndip mahala pake mada kama hizi umefunguwa vichwa
 
Huyo jamaa ni box kichwani,arguments zake nyingi ni childish!
Mimi nimeshaacha kumquote kitambo,Fanya hivyo maana utapoteza muda wakobure!
 

Hamna picha nimeokoteza, acha kuongozwa na hasira za kidini zinazofanya uwe kama zezeta fulani hivi, huyo mtume wenu Putin leo hii ameshindwa hata kusalimia katoto ilhali Biden kule anajimix atakavyo.
 
Hamna picha nimeokoteza, acha kuongozwa na hasira za kidini zinazofanya uwe kama zezeta fulani hivi, huyo mtume wenu Putin leo hii ameshindwa hata kusalimia katoto ilhali Biden kule anajimix atakavyo.
Huna akili wewe kiazi.
 
Siku nyingine ujue, anayefaulu kukufunga kamba mikono bila hiari yako ana nguvu zaidi kukuzidi
 
Media za magharibi zinaipigia debe sana hii,, warusi wana MLRS kali kuzidi hii na zinawafyeka sana wa ukraine,, Ukraine inajitahidi sana kuficha casualties zake,, japo makaburi huwaumbua,,
Russia wao hawafichi, wakipata hasara wakapoteza watu wanatangaza,, ukraine ameiga system ya israel,, hawatangazi kamwe pale wanapopata casualties za kutosha,
 
Unaambiwa mpaka natoka mitamboni inasemekana killer robots wamekuwa deploy hivyo Mrusi anauwawa na watu asio waona kwa mfano wamekuwa na uwezo waku detect infrared ya joto la binadam kiasi waki scan via satelite wanajuwa adui alipo jificha.
Unazingua..
 
Ndugu Acha Na Huzo Zuzu
Huyo wakupuuzwa nijitu moja Jinga sana Kutwa Udin na Ukabila Ndio Hoja yake
Usipoteze Mudawako Kujibu Jitu zezeta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…