Nchi za umoja wa ECOWAS zinapata wapi jeuri ya kuwa na jeshi kuvamia nchi nyingine?

Nchi za umoja wa ECOWAS zinapata wapi jeuri ya kuwa na jeshi kuvamia nchi nyingine?

HOPEfull

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
1,882
Reaction score
2,313
Salama humu🙂

Anaejua uchumi was hizi nchi za ecowas atujuze jamani au gdp.

Ninavyojua Mimi nchi za afrika zote ni maskini na wananchi wake wengi wanaishi maisha ya kifukara sana has vijijini.

Ni nchi ombaomba na zinaishi kwa kutegemea misaada kutoka nchi zilizoendelea.

Sasa kinachoniajabisha Ni huu uwezo was hizi nchi maskini kuweza kutoa jeshi na kuligharamia kwenda kupigana na nchi nyingine wakati kwenye nchi zao Kuna wanachi maskini na huduma mbovu za kijamii. Hivi ni nani alitoa wazo hili kwa hizi nchi na walifikiria nini?

Ninavyojua mimi ni wababe tu wa West ndio wana ubavu wa kufanya hivi wakiongozwa na yule mbabe mkuu.Sasa hivi vinchi vya afrika na vyenyewe vinaiga huu ubavu vinautoa wapi?

Kwanza ni kwenda kupoteza bure maisha ya wanajeshi wenye familia zao huko nyumbani kwa kutaka kujitutumua kwenda kuvamia nchi nyingine.

Au kwa sababu wameona kanchi ka Niger Ni kadogodogo ndio wanataka kujipa kichwa.

Mi nilitegemea kwanza hizi nchi zishughulike na matatizo ya nchi zao angalau wananchi wao wawe na uchumi mzuri ndio waanze kuhangaika na mambo mengine .

Vita huwa haitabiriki jamani unawezapelekwa mputamputa na kanchi kadogo tu ukatoka nduki.

Sasa sijui hawa ecowas hili wazo la kutumia jeshi nani alilipendekeza kwenye umoja wao.Ninavyojua Mimi majeshi ya afrika kazi yake ni kulinda amani tu na sio kupigana.
 
Huo uvamizi unadhaminiwa na nchi za Magharibi. Viongozi wa ECOWAS wanaotaka kupelekea jeshi Niger watakuwa vibaraka wa nchi za Magharibi wanapelekwa pelekwa.

Urus naye kawaonya ECOWAS wasipeleke jeshi Niger kwa sababu madhara ni makubwa.

Kwa picha hii unagundua kuwa, hapo Niger kuna vita ya Urus na nchi za Magharibi katika kuhodhi rasilimali za Niger hasa madini ya Uraniam.

Ni mtazamo wangu tu lakini!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Senegal sasa hivi inaongozwa kibabe, mpinzani mkuu kazuiwa gerezani, internet imezimwa halafu wanatuma jeshi ngoja vita ihamie kwao na huyo Nigeria Boko Haram Kila siku wanamsumbua kashindwa kuwadhibiti ila ana kiherehere Cha kuzibiti mambo ya nchi nyingine.
 
Salama humu[emoji846]

Anaejua uchumi was hizi nchi za ecowas atujuze jamani au gdp.

Ninavyojua Mimi nchi za afrika zote ni maskini na wananchi wake wengi wanaishi maisha ya kifukara sana has vijijini.

Ni nchi ombaomba na zinaishi kwa kutegemea misaada kutoka nchi zilizoendelea.

Sasa kinachoniajabisha Ni huu uwezo was hizi nchi maskini kuweza kutoa jeshi na kuligharamia kwenda kupigana na nchi nyingine wakati kwenye nchi zao Kuna wanachi maskini na huduma mbovu za kijamii. Hivi ni nani alitoa wazo hili kwa hizi nchi na walifikiria nini?

Ninavyojua mimi ni wababe tu wa West ndio wana ubavu wa kufanya hivi wakiongozwa na yule mbabe mkuu.Sasa hivi vinchi vya afrika na vyenyewe vinaiga huu ubavu vinautoa wapi?

Kwanza ni kwenda kupoteza bure maisha ya wanajeshi wenye familia zao huko nyumbani kwa kutaka kujitutumua kwenda kuvamia nchi nyingine.

Au kwa sababu wameona kanchi ka Niger Ni kadogodogo ndio wanataka kujipa kichwa.

Mi nilitegemea kwanza hizi nchi zishughulike na matatizo ya nchi zao angalau wananchi wao wawe na uchumi mzuri ndio waanze kuhangaika na mambo mengine .

Vita huwa haitabiriki jamani unawezapelekwa mputamputa na kanchi kadogo tu ukatoka nduki.

Sasa sijui hawa ecowas hili wazo la kutumia jeshi nani alilipendekeza kwenye umoja wao.Ninavyojua Mimi majeshi ya afrika kazi yake ni kulinda amani tu na sio kupigana.
Saa nyingine JF ina watu wanaanzisha threads za kawaida sana. Muda uliotumia kuandika haya, ungesoma hata kidogo kuhusu hiyo ECOWAS. Hii ingekusaidia kujua kuwa, ECOWAS imefanya operations nyingi tu za namna hii kuondoa watu wanaong'ang'ania madaraka. Kama waliweza wakati huo ni kipi kinawazuia kwa sasa?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Huo uvamizi unadhaminiwa na nchi za Magharibi. Viongozi wa ECOWAS wanaotaka kupelekea jeshi Niger watakuwa vibaraka wa nchi za Magharibi wanapelekwa pelekwa.

Urus naye kawaonya ECOWAS wasipeleke jeshi Niger kwa sababu madhara ni makubwa.

Kwa picha hii unagundua kuwa, hapo Niger kuna vita ya Urus na nchi za Magharibi katika kuhodhi rasilimali za Niger hasa madini ya Uraniam.

Ni mtazamo wangu tu lakini!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Urusi hana shida na uranium. Bali anawakomoa wamagharibi hasa Ufaransa
 
ECOWAS wana balls, SADC ni coffee talk shop, ISIS wasiozidi wanasumbua pale mpakani mwa Mozambique na Tanzania, hadi RWANDA special forces ndio ilikomboa ule mji /bandari iliyotekwa na wapiganaji hawa, kuna uchaguzi hapo Zimbabwe, hawakawiii kutamka ulikua wa huru na haki wakati opposition's wanapita kwenye tanuru la moto
 
Hawezi ivamia Niger,Niger ina mtaji wa kiongozi waliyemteka wamepiga biti wakivamiwa wanamuua mateka wao.
Sasa wakimuua ECOWAS watakuwa wamefanya kazi bure
 
ECOWAS wana balls, SADC ni coffee talk shop, ISIS wasiozidi wanasumbua pale mpakani mwa Mozambique na Tanzania, hadi RWANDA special forces ndio ilikomboa ule mji /bandari iliyotekwa na wapiganaji hawa, kuna uchaguzi hapo Zimbabwe, hawakawiii kutamka ulikua wa huru na haki wakati opposition's wanapita kwenye tanuru la moto
ECOWAS mbona wameshindwa kuwaondoa bokoharam ?
 
Huo uvamizi unadhaminiwa na nchi za Magharibi. Viongozi wa ECOWAS wanaotaka kupelekea jeshi Niger watakuwa vibaraka wa nchi za Magharibi wanapelekwa pelekwa.

Urus naye kawaonya ECOWAS wasipeleke jeshi Niger kwa sababu madhara ni makubwa.

Kwa picha hii unagundua kuwa, hapo Niger kuna vita ya Urus na nchi za Magharibi katika kuhodhi rasilimali za Niger hasa madini ya Uraniam.

Ni mtazamo wangu tu lakini!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Mtazamo sahihi kabisa huu.
Ila masahihisho kidogo.
Urusi Haina shida na Rasilimali za Niger kwa sababu ana Rasilimali nyingi kushinda Niger.
Urusi inachotaka hapo ni kuhakikisha gesi ya Nigeria haipiti Niger kwenda ulaya,kwa sababu wamemuwekea vikwazo aisuze gesi yake nae anawavurugia ili wakose gesi sehemu nyingine.
Walimwaga ugali yeye anataka kumwaga mboga.
 
ECOWAS wana balls, SADC ni coffee talk shop, ISIS wasiozidi wanasumbua pale mpakani mwa Mozambique na Tanzania, hadi RWANDA special forces ndio ilikomboa ule mji /bandari iliyotekwa na wapiganaji hawa, kuna uchaguzi hapo Zimbabwe, hawakawiii kutamka ulikua wa huru na haki wakati opposition's wanapita kwenye tanuru la moto
Habari njema hii, kumbe wale Wana haramu waliuachia ule mji wa kaskazini mwa msumbiji? Kagame apewe maua yake, tumwombe msaada wa makomandoo watatu pale mkiru
 
Back
Top Bottom