Nchi zenye uchumi imara Africa 2023

Nchi zenye uchumi imara Africa 2023

Here is the List of top 10 Largest Economies on African Continent with Tanzania standing at number 9 with other fellow giants.

1. Nigeria
2. Egypt
3. South Africa
4. Algeria
5. Morocco
6. Ethiopia
7. Kenya
8. Angola
9. Tanzania
10. Ghana.

My Take
Chini ya Rais Samia Kila rekodi itawekwa na kuvunjwa.

Ikumbukwe WB ilitabiri Uchumi wa Tanzania kufikia $85 bilion mwaka huu wa 2023.
 

Attachments

  • 7C1F0590-5250-4032-B1BF-E0AD792FDD17.jpeg
    7C1F0590-5250-4032-B1BF-E0AD792FDD17.jpeg
    47.7 KB · Views: 7
Jeshini pesa ipo ila unajua kazi yake.
Pesa hizo ni mafao mzee watu wanajilipa pesheni kabla ya kuzeeka.
Ok my point sio kuanzisha mjadala wa matumizi ya pesa za jeshi.
But nadhani ni wakati wa kuiondoa serikali ya sasa madarakani lakini hata tukiitoa ni nani atakaye kaa akatuongoza katika uelekeo sahihi au ndo tutakua tumeruka mkojo na kukanyaga mavi.
tulipofika ni bora kuindoa tu, tutajua mbele kwa mbele. Mungu atatusaidia kupata watu sahihi. Wapo watu sahihi hata ndani ya ccm hiyo hiyo tatizo wamevaa koti lililotapakaa mavi (ccm)
 
tulipofika ni bora kuindoa tu, tutajua mbele kwa mbele. Mungu atatusaidia kupata watu sahihi. Wapo watu sahihi hata ndani ya ccm hiyo hiyo tatizo wamevaa koti lililotapakaa mavi (ccm)
Of course na ccm haitokuja angushwa na wapinzani bali ccm wenyewe na kuna watu wamechoka kuona yanayotendeka na ccm na wako ndani yake.
Sema muda utaongea.
 
Here is the List of top 10 Largest Economies on African Continent with Tanzania standing at number 9 with other fellow giants.

1. Nigeria
2. Egypt
3. South Africa
4. Algeria
5. Morocco
6. Ethiopia
7. Kenya
8. Angola
9. Tanzania
10. Ghana.

My Take
Chini ya Rais Samia Kila rekodi itawekwa na kuvunjwa.

Ikumbukwe WB ilitabiri Uchumi wa Tanzania kufikia $85 bilion mwaka huu wa 2023.

Lazima uwe mjinga kweli kulishangilia hili.

Hujiulizi kwa nini South Africa yenye watu takribani 50 milioni ina GDP zaidi ya dola bilioni 400. Kenya yenye population ya takribani 50 million ina GDP ya karibia dola 120 bilioni, halafu sisi ambao ni zaidi ya milioni 60 tuna GDP dola bilioni 75. Halafu punguani wanashangilia.

Bila kufahamu kuwa hizo nchi nyingine tunazodhani tumezipita ni pamoja na nchi ndogo zenye watu wachache sana kama Burundi, Rwanda, Equatorial Guenea, Botswana, Namibia, ambazo kimsingi zipo juu sana kwenye utajiri halisi, yaani human development.

Ni sawa na jitu liwe na wake 10, watoto 60, halafu kwa mwaka, wote kwa pamoja wanapata milioni 20, halafu linaamini limempita mwenzake mwenye mke mmoja na watoto 3, lakini wamepata milioni 15.
 
Lazima uwe mjinga kweli kulishangilia hili.

Hujiulizi kwa nini South Africa yenye watu takribani 50 milioni ina GDP zaidi ya dola bilioni 400. Kenya yenye population ya takribani 50 million ina GDP ya karibia dola 120 bilioni, halafu sisi ambao ni zaidi ya milioni 60 tuna GDP dola bilioni 75. Halafu punguani wanashangilia.

Bila kufahamu kuwa hizo nchi nyingine tunazodhani tumezipita ni pamoja na nchi ndogo zenye watu wachache sana kama Burundi, Rwanda, Equatorial Guenea, Botswana, Namibia, ambazo kimsingi zipo juu sana kwenye utajiri halisi, yaani human development.

Ni sawa na jitu liwe na wake 10, watoto 60, halafu kwa mwaka, wote kwa pamoja wanapata milioni 20, halafu linaamini limempita mwenzake mwenye mke mmoja na watoto 3, lakini wamepata milioni 15.
Wewe siku zote ni mpumbavu na wile wivu na chuki vinakusumbua basi ndio utakufa hivyo hivyo na upumbavu wako..

Samia Katia Nchi kwenye GDP ya $70bln miaka yoote ya Mwendazake ndani ya miaka 2 tuu uchumi umepata na kufikia bil.75 na Mwaka huu wa 2023 tutaenda kwenye 80 plus bln yet unataka tusifurahie Mafanikio,utakuwa una utaahira bila shaka..

Kwa taarifa Yako tuu Samia is here Hadi 2030 na atafanya wonders zaidi ya hizi.
 
Top 10 largest economies on the continent 2023

1)- Nigeria [emoji1184] - $477 Billion

2)- Egypt [emoji1093] - $477 Billion

3)- South Africa [emoji1221]- $406 Billion

4)- Algeria [emoji1026] - $192 Billion

5)- Morocco [emoji1173] - $134 Billion

6)- Ethiopia [emoji1098] - $127 Billion

7)- Kenya [emoji1139] - $113 Billion

8)- Angola [emoji1029] - $107 Billion

9)- Tanzania [emoji1241]- $75.71 Billion

10)- Ghana [emoji1110] - $72.84 Billion

Source: Trading Economics
Chumi hizi zinapimwaJe ?!
Ikiwa Ghana anazidiwa madeni na Ethiopia wananchi wake wanaikimbia kuhofia umasikini uliotamalaki !!.

Naomba kuelimishwa
 
Chumi hizi zinapimwaJe ?!
Ikiwa Ghana anazidiwa madeni na Ethiopia wananchi wake wanaikimbia kuhofia umasikini uliotamalaki !!.

Naomba kuelimishwa
GDP= thamani ya biashara, uzalishaji na Huduma zilizofanyika ndani ya mwaka husika zikibadilishwa Kwa Fedha bila kusahau uwekezaji wa Serikali.

Madeni sio sehemu ya hesabu Kwa sababu treatment ya Madeni ya Nchi ni tofauti na Madeni ya biashara au mtu.

Kumkimbia Nchi Kwa watu manake hicho kinachozalishwa hakiwatoshelezi hata kama wewe unaona ni kikubwa.
 
Nchi 10 zenye pato la juu Africa Kwa kila mtu ( per capita) ni:
Seychelles. $14,540
Mauritius. $9,920
Libya. $8,700
S.Africa. $6,530
Gabon. $6,440
Botswana. $6,430
Equt.Guinea. $5,150
Namibia. $4,650
Mbunge mmoja wa Uingereza aliwahi kusema " There are lies, damned lies, and statistics"
Kuchezea takwimu ni nyenzo moja ya propaganda.
 
Back
Top Bottom