ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hii habari imenisisimua sana. Kipindi cha Samia ndo tunaanza kuona wawekezaji wa Tanzania wakienda kuwekeza kwenye sekta kubwa za uzalishaji kwenye mataifa ya Nje.
Kweli tuko vizuri. Mungu ampe maisha marefu huyu Mama Samia
Uko sahihi,Tanzania ni kimbilio la wawekezaji
Here is the List of top 10 Largest Economies on African Continent with Tanzania standing at number 9 with other fellow giants.
1. Nigeria
2. Egypt
3. South Africa
4. Algeria
5. Morocco
6. Ethiopia
7. Kenya
8. Angola
9. Tanzania
10. Ghana.
My Take
Chini ya Rais Samia Kila rekodi itawekwa na kuvunjwa.
Ikumbukwe WB ilitabiri Uchumi wa Tanzania kufikia $85 bilion mwaka huu wa 2023.
tulipofika ni bora kuindoa tu, tutajua mbele kwa mbele. Mungu atatusaidia kupata watu sahihi. Wapo watu sahihi hata ndani ya ccm hiyo hiyo tatizo wamevaa koti lililotapakaa mavi (ccm)Jeshini pesa ipo ila unajua kazi yake.
Pesa hizo ni mafao mzee watu wanajilipa pesheni kabla ya kuzeeka.
Ok my point sio kuanzisha mjadala wa matumizi ya pesa za jeshi.
But nadhani ni wakati wa kuiondoa serikali ya sasa madarakani lakini hata tukiitoa ni nani atakaye kaa akatuongoza katika uelekeo sahihi au ndo tutakua tumeruka mkojo na kukanyaga mavi.
Hizi pesa zingefanya mambo makubwa sana ni vile tuu hapo awali tulikuwa na Viongozi ambao hawajielewi.Inauma sanaHizi kesi hii mikataba aliivunja JPM. Mtu tuliyekosea sana kumpa Urais
Wewe ulitakaje? Na Bado soma hiyoo 👇WB wanasifia wabmnachukua.
Saa100 wakati huo alikuwa wapi?Hizi kesi hii mikataba aliivunja JPM. Mtu tuliyekosea sana kumpa Urais
Kwani alikuwa na Nguvu ya maamuzi?Saa100 wakati huo alikuwa wapi?
Mnajidanganya sana.
Of course na ccm haitokuja angushwa na wapinzani bali ccm wenyewe na kuna watu wamechoka kuona yanayotendeka na ccm na wako ndani yake.tulipofika ni bora kuindoa tu, tutajua mbele kwa mbele. Mungu atatusaidia kupata watu sahihi. Wapo watu sahihi hata ndani ya ccm hiyo hiyo tatizo wamevaa koti lililotapakaa mavi (ccm)
Philip mpango alikuwa waziri wa fedha Mbona kimya kuhusu mkataba wa DP world?Kwani alikuwa na Nguvu ya maamuzi?
Mkataba umefanya nini? Nani kimya?Philip mpango alikuwa waziri wa fedha Mbona kimya kuhusu mkataba wa DP world?
Lazima uwe mjinga kweli kulishangilia hili.Here is the List of top 10 Largest Economies on African Continent with Tanzania standing at number 9 with other fellow giants.
1. Nigeria
2. Egypt
3. South Africa
4. Algeria
5. Morocco
6. Ethiopia
7. Kenya
8. Angola
9. Tanzania
10. Ghana.
My Take
Chini ya Rais Samia Kila rekodi itawekwa na kuvunjwa.
Ikumbukwe WB ilitabiri Uchumi wa Tanzania kufikia $85 bilion mwaka huu wa 2023.
Wewe siku zote ni mpumbavu na wile wivu na chuki vinakusumbua basi ndio utakufa hivyo hivyo na upumbavu wako..Lazima uwe mjinga kweli kulishangilia hili.
Hujiulizi kwa nini South Africa yenye watu takribani 50 milioni ina GDP zaidi ya dola bilioni 400. Kenya yenye population ya takribani 50 million ina GDP ya karibia dola 120 bilioni, halafu sisi ambao ni zaidi ya milioni 60 tuna GDP dola bilioni 75. Halafu punguani wanashangilia.
Bila kufahamu kuwa hizo nchi nyingine tunazodhani tumezipita ni pamoja na nchi ndogo zenye watu wachache sana kama Burundi, Rwanda, Equatorial Guenea, Botswana, Namibia, ambazo kimsingi zipo juu sana kwenye utajiri halisi, yaani human development.
Ni sawa na jitu liwe na wake 10, watoto 60, halafu kwa mwaka, wote kwa pamoja wanapata milioni 20, halafu linaamini limempita mwenzake mwenye mke mmoja na watoto 3, lakini wamepata milioni 15.
Chumi hizi zinapimwaJe ?!Top 10 largest economies on the continent 2023
1)- Nigeria [emoji1184] - $477 Billion
2)- Egypt [emoji1093] - $477 Billion
3)- South Africa [emoji1221]- $406 Billion
4)- Algeria [emoji1026] - $192 Billion
5)- Morocco [emoji1173] - $134 Billion
6)- Ethiopia [emoji1098] - $127 Billion
7)- Kenya [emoji1139] - $113 Billion
8)- Angola [emoji1029] - $107 Billion
9)- Tanzania [emoji1241]- $75.71 Billion
10)- Ghana [emoji1110] - $72.84 Billion
Source: Trading Economics
GDP= thamani ya biashara, uzalishaji na Huduma zilizofanyika ndani ya mwaka husika zikibadilishwa Kwa Fedha bila kusahau uwekezaji wa Serikali.Chumi hizi zinapimwaJe ?!
Ikiwa Ghana anazidiwa madeni na Ethiopia wananchi wake wanaikimbia kuhofia umasikini uliotamalaki !!.
Naomba kuelimishwa
Kazi ya ujenzi wa Nchi inaendelea Kwa KasiMwendazake aliharibu nchi na mlivyo wajinga mkiitwa wanyonge na mnashangilia mkiona sifa