Nchi zilizoendelea Hasa marekani na ulaya wanachukua rasilimali Afrika na huku wakituambia ni nchi masikini Duniani. Tujitafakari

Nchi zilizoendelea Hasa marekani na ulaya wanachukua rasilimali Afrika na huku wakituambia ni nchi masikini Duniani. Tujitafakari

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Kuanzia Congo , Tanzania, Kenya , South Africa, Namibia , Zambia , Botswana, Zimbabwe na nchi nyingine nyingi za Africa makampuni kutoka ulaya na Marekani wanachota rasilimali za afrika ikiwa ni dhahabu , almas, trophies, shaba , coltan , mbao n.k

Wakati huo huo Afrika imetengwa kama Moja ya bara masikini zaidi duniani. Sasa najiuliza hivi waafrika tunajitambua?
 
Kuanzia Congo , Tanzania, Kenya , South Africa, Namibia , Zambia , Botswana, Zimbabwe na nchi nyingine nyingi za Africa makampuni kutoka ulaya na Marekani wanachota rasilimali za afrika ikiwa ni dhahabu , almas, trophies, shaba , coltan , mbao n.k

Wakati huo huo Afrika imetengwa kama Moja ya bara masikini zaidi duniani. Sasa najiuliza hivi waafrika tunajitambua?
Waafrica hawana akili ni useless human beings hapa duniani na hata wakifa waende tuu moto mbinguni wataharibu
 
Kuanzia Congo , Tanzania, Kenya , South Africa, Namibia , Zambia , Botswana, Zimbabwe na nchi nyingine nyingi za Africa makampuni kutoka ulaya na Marekani wanachota rasilimali za afrika ikiwa ni dhahabu , almas, trophies, shaba , coltan , mbao n.k

Wakati huo huo Afrika imetengwa kama Moja ya bara masikini zaidi duniani. Sasa najiuliza hivi waafrika tunajitambua?
Mkuu vp umefufuka?
Maana Israel alifanya yake last week kumbe upo umejificha huku jf?
Naamini mossad washakuona sasa jiandae
 
Ni economic warfare tu hiyo, mataifa yaliyoendelea kamwe hayaruhusu mataifa maskini hasa afrika kujitegemea maana chukulia mfano Afrika ijitegemee Kwa Kila kitu Hali ya maisha ulaya na america pamoja na china itashuka vibaya mno na upepo utahamia kwetu na influx itakuwa kubwa afrika, na huwa wanakwambia waafrika wapumbavu sana yaani wanajitoa kwenye lawama na kutengeneza mazingira ya wao hawahusiki na chochote kuhusu umaskini wetu...ni jukumu la serikali za afrika kutambua na kuweka mipango kazi namna wanaweza kutuvusha, sema Sasa bahati mbaya ni kwamba hatupo hata kufikiri kuhusu kuwa na vitu vyetu zaidi ya kutokujiamini, ubinafsi, unafiki, kujikweza ndiyo tabia zetu.
 
Ni economic warfare tu hiyo, mataifa yaliyoendelea kama hayaruhusu maskini kujitegemea maana chukulia mfano Afrika ijitegemee Kwa Kila kitu Hali ya maisha ulaya na america pamoja na china utashuka vibaya mno na upepo utahamia kwetu na influx itakuwa kubwa afrika, na huwa wanakwambia waafrika wapumbavu sana yaani wanajitoa kwenye lawama na kutengeneza mazingira ya wao hawahusiki na chochote kuhusu umaskini wetu...ni jukumu la serikali za afrika kutambua na kuweka mipango kazi namna wanaweza kutuvusha, sema Sasa bahati mbaya ni kwamba hatupo hata kufikiri kuhusu kuwa na vitu vyetu zaidi ya kutokujiamini, ubinafsi, unafiki, kujikweza ndiyo tabia zetu.
Unajua vieeetiiii wewe
Mtu kama huyu unategemea nn kwake??
 
Kuanzia Congo , Tanzania, Kenya , South Africa, Namibia , Zambia , Botswana, Zimbabwe na nchi nyingine nyingi za Africa makampuni kutoka ulaya na Marekani wanachota rasilimali za afrika ikiwa ni dhahabu , almas, trophies, shaba , coltan , mbao n.k

Wakati huo huo Afrika imetengwa kama Moja ya bara masikini zaidi duniani. Sasa najiuliza hivi waafrika tunajitambua?
Viongozi wetu ndo wanaingia mikataba mibovu kama hawana akili Hadi unajiuliza huyu ni kiongozi au ni kenge
 
Kuanzia Congo , Tanzania, Kenya , South Africa, Namibia , Zambia , Botswana, Zimbabwe na nchi nyingine nyingi za Africa makampuni kutoka ulaya na Marekani wanachota rasilimali za afrika ikiwa ni dhahabu , almas, trophies, shaba , coltan , mbao n.k

Wakati huo huo Afrika imetengwa kama Moja ya bara masikini zaidi duniani. Sasa najiuliza hivi waafrika tunajitambua?
Sie ni maskini Sana, tuna malighafi, dhahabu, chuma,mafuta, nk, Ila kuvifanya viwe pesa kutusaidia kutengeneza ajira, elimu Bora, Arya, hatuwezi, na kikubwa tunaviongozi waliooza u bongo, wao wanawaza kuiba tu, wakimiriki ma V8,na watoto wao wakajenga ma hotel, manyumba, nk, wanaona nchi imeendelea,
Uchumi wetudhaifu, hatuna viwanda, hatutengenezi magari, , simu, ndege, me like, engine, tv, hata sukari ya kutosha hatuwezi,
Mchina kufika hapo alipo, super power, alifanya hv, anakaribisha kampuni ya nje kama Ford, au BMW, anaweka Sera nzuri ili hayo makampuni yazalishe ndani ya china, anaingia ubia nayo,anaiba tekinolojia, akiipata tu, ama anataifisha hivyo viwanda, au anaweka mashariti magumu, ndani ya muda anaanza kutengeneza mwenyewe hizo bidhaa,ndivyo alivyoweza kutengeneza, Airbus, train za mwendo kasi, simu, nk
Sie hata kuiga jinsi mchina anavyotengeneza njia za mwendo kasi hatuwezi, tu najua, kuiga kutikisa makalio huko TikTok, na insta,
 
Kuanzia Congo , Tanzania, Kenya , South Africa, Namibia , Zambia , Botswana, Zimbabwe na nchi nyingine nyingi za Africa makampuni kutoka ulaya na Marekani wanachota rasilimali za afrika ikiwa ni dhahabu , almas, trophies, shaba , coltan , mbao n.k

Wakati huo huo Afrika imetengwa kama Moja ya bara masikini zaidi duniani. Sasa najiuliza hivi waafrika tunajitambua?
Waarabu wao na viongozi wao wamewezaje kufaidika na rasilimali zao?
Je Waafrika tatizo letu ni kipi?
 

Attachments

  • FB_IMG_1729753162470.jpg
    FB_IMG_1729753162470.jpg
    23.3 KB · Views: 3
Kuanzia Congo , Tanzania, Kenya , South Africa, Namibia , Zambia , Botswana, Zimbabwe na nchi nyingine nyingi za Africa makampuni kutoka ulaya na Marekani wanachota rasilimali za afrika ikiwa ni dhahabu , almas, trophies, shaba , coltan , mbao n.k

Wakati huo huo Afrika imetengwa kama Moja ya bara masikini zaidi duniani. Sasa najiuliza hivi waafrika tunajitambua?
Umaskini wetu upo kichwani sio zaidi ya hapo.
 
Kuanzia Congo , Tanzania, Kenya , South Africa, Namibia , Zambia , Botswana, Zimbabwe na nchi nyingine nyingi za Africa makampuni kutoka ulaya na Marekani wanachota rasilimali za afrika ikiwa ni dhahabu , almas, trophies, shaba , coltan , mbao n.k

Wakati huo huo Afrika imetengwa kama Moja ya bara masikini zaidi duniani. Sasa najiuliza hivi waafrika tunajitambua?
Ni rasilimali ipi yako, ya mzazi wako, au ya ukoo wenu imechukuliwa na nchi ya Ulaya? Acheni kulishwa pumba ninyi. Changamoto #1 ambayo Afrika inayo ni udumavu wa akili!
 
Back
Top Bottom