Nchi zinazopinga ushoga zinatumia kigezo gani? Mbona hazipingi ukahaba na uasherati?

Nchi zinazopinga ushoga zinatumia kigezo gani? Mbona hazipingi ukahaba na uasherati?

Wee pimbi mtaji mkubwa wa nchi ni watu!.. watu ndo rasilimali muhimu katika nchi,, Huo ufilaji unazalisha nn?.. unafaida gani?. Come back kwa sensa wanawake wapo wengi kuliko wanaume na unashadadia wanaume wazidi kupungua zaidi sio?..MAMA RUDISHA MAKONDA
Naapa Haki ya Muumba iamue. Hao watu ambao ni rasilimali na mtaji mkubwa mlionao sasa wanaokufa njaa na vijana kuchanganyikiwa na maisha ndio mnataka wawe mara dufu ili kuwe na kazi moja ya kuzika tuu?

Watu wamekata tamaa hata matumaini ya wiki mbili zijazo hawana. Kama kungelikuwa na manufaa ya huo mtaji kweli ingeeleweka.

Wasomi wamedata, wakulima, wanadhulumiwa, wazee wanalaani, vijana wameamua kijilipua kwa njia mbalimbali. Hebu mwogopeni Mungu nyie......
 
sikutegemea kama hii nchi ingefikia hapa.......tamko la raisi nilijua ni kupinga moja kwa 1 lakn dahhhh
 
Kuna siku nimetulia zangu ofisini akapita shoga aliyerogwa akawehuka akarogwa tena aroooo, jaman sijui ni laana ile ya mzazi? Sijui alichukua danga LA watu kha! Yan aibu unapata wewe unaemtazama
 
Ushoga unatia kinyaa,hata wanaowaingilia wadada kinyume pia,inaleta kinyaa sana.Tusiendekeze uzungu,tulinde maadili,siyo vizuri kwakweli.
 
Back
Top Bottom