Siku zote siasa ni mchezo wenye rafu nyingi usipoangalia unapigwa kiatu. Namuomba Mungu ampe moyo wa kuomba msamaha na kusamehewa. Ajue kwamba kuna aliowaumiza ktk utawala wake either direct au indirect kwa sababu yeye ni kiongozi hivyo lawama zote tunamtwisha yeye. Mkuu kumbuka kuna uliowaumiza kupitia kauli mbali mbali ulizokua ukizitoa...........