Nchimbi: Mungu nipe moyo wa kusamehe

Nchimbi: Mungu nipe moyo wa kusamehe

Ungeomba Mungu awape watanzania moyo wa kukusamehe.Ingekuwa nchi za demokrasia,ulitakiwa ujiuzulu wakati wa kifo cha Mwangosi.Uliposhauriwa kujiuzulu ukajifanya mjanja.Wakati wa bomu la Olasiti na viwanja vya Soweto ulishauriwa ujiuzulu lakini ukajifanya kukomaa.Ama kweli ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu.
 
Aanze kutubu dhambi zake kwanza... Ulimboka, kubenea, kibanda....
 
Akamuombe radhi familia ya Daudi Mwangozi, Kibanda, Mvungi, Warioba, watu wa Ars, znz na watanzania waliouawa kutokana na mipango yake yeye na Nchemba...
 
Hivi wewe nchimbi muuaji mkubwa wewe maana kama nakuona vile na ile miwani yako unayovaaga kuficha sura yako kwa aibu kwani unajua madhambi unayoyafanya.. nenda katubu kwanza hatutaki ututumikie tena ... na kabla hujaandika chochote fikiri kwanza au andika waziwazi kwamba mungu akupe moyo wa kumsamehe mwigulu na lukuvi hapo nitakuelewa.
 
[B said:
Pdidy[/B];8205638]Akupekwanzamoyoeakutubu dhambi ya uuaji Brian lamina chifupa

By King Kong III Tosabiso abangise mopepe santu nalikolo naipele
botema nangae nono ya Yezu mwana nzambe
CHISTMASE mobili mobimba naitese didii
moningate na losambo ya nkolo nzambe nalobi ya
bon a'nnee'. Motema nayaya tete nangai. Izamote
na mwana Nzambe ya 2014

Nia Ovu dhidi ya Jamiiforums.
 
Hana haya huyu. Yeye ndiye wa kuomba msamaha si wa kusamehe. Damu za watu wasiokuwa na hatia zimemwagika chini ya uongozi wake halafu eti Mungu ampe moyo wa kusamehe! Hivi anamjua Mungu huyu anafikiri ni kama cheka cheka?
 
laiti kama angejua maumivu ya kifo asingeongea utumbo huu,nina hakika huyu jamaa si mzima!
 
Nchimbi ni mtu hatari sana tena katili muuaji mtesaji hastahili kusamehewa mpaka pale atakapotubu mbele ya kanisa.

Umepotoka kidogo, sio mbele ya kanisa, wasio amini habari za kanisa watakuwa wameonewa, . Aende pale mnazi mmoja au Ubungo stand ya mkoa kwenye umati mkubwa ndio akaombe radhi. Baada ya kufanya kwenye hadhara ndio aende kwa paroko wake.
 
Nawachukia sana wanasiasa,hapo ni kama anaona kaonewa na kamati ya lembeli na anatafuta kuhurumiwa,kwani kaka Nchimbi wewe ulipokuwa the big boss pale wizarani ulitenda majukumu yako yote kwa busara?haki,usawa na hekima vilitawala kazi za mikono yako?Najua unaumia moyoni kwa kupigwa dafrao lakini najua pia ndani ya moyo wako unakiri yale uliyoyafanya,sisi hatuyajui lakini wewe unajua wapi ulitenda ovu na baya,dhambi ni kitu kibaya sana na historia itawahukumu,si wewe tu bali mpo wengi sana
 
Nchimbi ni waziri pekee ambaye kwa uwaziri hawezi.akiwa waziri watanzania wamepoteza maisha wengi,mauaji ya mwangosi,mlipuko wa mabomu arusha,mauaji ya morogoro.mauaji ya uchaguzi ndogo igunga na arumeru damu ya watanzania haimwagiki bure.
 
Umepotoka kidogo, sio mbele ya kanisa, wasio amini habari za kanisa watakuwa wameonewa, . Aende pale mnazi mmoja au Ubungo stand ya mkoa kwenye umati mkubwa ndio akaombe radhi. Baada ya kufanya kwenye hadhara ndio aende kwa paroko wake.

Na turuhusiwe kumpiga mawe

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kazi ipo mengi tutasikia,tungeje 2015 maana kila mtu analake moyoni!:couch2::couch2:
 
Back
Top Bottom