Tetesi: Nchimbi na Makalla Jiandaeni hamtakiwi CCM, Sabaya kuwa Mkuu wa Mkoa wa kilimanjaro na Musiba kuwa mkuu wa mkoa wa Mara

Tetesi: Nchimbi na Makalla Jiandaeni hamtakiwi CCM, Sabaya kuwa Mkuu wa Mkoa wa kilimanjaro na Musiba kuwa mkuu wa mkoa wa Mara

>RAIS WETU MPENDWA USIYAFANYE HAYA YALIYOBUNIWA NA HUYU MTETESI, MADONDA YA SABAYA BADO MABICHI, SANA KWA WATU WA ENEO HILO, MUSIBA NAYE ABAKIE KAMA CHAWA DUME INATOSHA!
 
Dr Bashiru Ally
Hizi tetesi si nzuri!!! Kwa nini taarifa zinavuja namna hii( kama itatokea)?

Au ni mbinu za kuharibiana? Mimi sioni tatizo mtanzania kuteuliwa kuchukua madaraka, tatizo langu ni kubashiri taarifa za kwale (kama ikitokea)?

Ahamie Dodoma, jumla!
 
Kuna mabadiliko kidogo ya kiuongozi yatafanyika hivi Karibuni.

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro kuwa Sabaya na Musiba kuwa mkuu wa Mkoa wa Mara huku Paul Makonda akitazamiwa kuwa katibu mkuu mpya CCM, na Polepole Humphrey atakuwa Waziri wa Tamisemi.

Dr Bashiru Ally kuwa waziri wa Mambo ya ndani na Ally Happi atatolewa Chamani na kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha
we umebanwa mavi
 
Trump amenusurika shambulio la pili lililolenga kummaliza.
 
Kuna mabadiliko kidogo ya kiuongozi yatafanyika hivi Karibuni.

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro kuwa Sabaya na Musiba kuwa mkuu wa Mkoa wa Mara huku Paul Makonda akitazamiwa kuwa katibu mkuu mpya CCM, na Polepole Humphrey atakuwa Waziri wa Tamisemi.

Dr Bashiru Ally kuwa waziri wa Mambo ya ndani na Ally Happi atatolewa Chamani na kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha
Kwani umepewa usemaji au?
 
Kuna mabadiliko kidogo ya kiuongozi yatafanyika hivi Karibuni.

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro kuwa Sabaya na Musiba kuwa mkuu wa Mkoa wa Mara huku Paul Makonda akitazamiwa kuwa katibu mkuu mpya CCM, na Polepole Humphrey atakuwa Waziri wa Tamisemi.

Dr Bashiru Ally kuwa waziri wa Mambo ya ndani na Ally Happi atatolewa Chamani na kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha
Madhara ya kuandika uzi huku kukiwa na mtu anakupumulia juu kifuani....! Ndio haya!
 
Back
Top Bottom