NDANDA VS YANGA

NDANDA VS YANGA

Lord Delamere in Kenya

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
3,988
Reaction score
8,021
Hadi dakika ya 60' matokeo yalikuwa Ndanda 1 - 0 Yanga.

Dakika ya 61' Jaffary Mohammed akaisawazishia Yanga,na matokeo kuwa Ndanda 1 - 1 Yanga.

Nilichojifunza:
Yanga wanakuwa obsessed sana na mechi za kimataifa za Simba,kuliko Simba wenyewe.
Kama hujanielewa ni hivi;Inapotokea Yanga wana mechi ya TPL na usiku wa siku hiyo au siku moja/mbele yake kuna mechi ya kimataifa inayoihusisha Simba,basi Yanga hufungwa mechi hiyo.

Bado hujaamini?
1.Kabla Simba haijafungwa 5 - 0 na AS Vita katika usiku wa mabalaa,Yanga alikufa 1 - 0 kwa Stand United.

2.Wakati Simba inajiandaa kumpiga AS Vita 2 - 1.Yanga alitangulia kufa 1 - 0 kwa Lipuli FC.

3.Simba ikijiandaa kucheza na TP Mazembe keshokutwa,Yanga anatangulia kufa na kisha kusawazisha mbele ya Ndanda FC.

Yanga,kwanini mnawaza sana mechi zisizowahusu na kusahau mechi zenu?
 
Hadi dakika ya 60' matokeo yalikuwa Ndanda 1 - 0 Yanga.

Dakika ya 61' Jaffary Mohammed akaisawazishia Yanga,na matokeo kuwa Ndanda 1 - 1 Yanga.

Nilichojifunza:
Yanga wanakuwa obsessed sana na mechi za kimataifa za Simba,kuliko Simba wenyewe.
Kama hujanielewa ni hivi;Inapotokea Yanga wana mechi ya TPL na usiku wa siku hiyo au siku moja/mbele yake kuna mechi ya kimataifa inayoihusisha Simba,basi Yanga hufungwa mechi hiyo.

Bado hujaamini?
1.Kabla Simba haijafungwa 5 - 0 na AS Vita katika usiku wa mabalaa,Yanga alikufa 1 - 0 kwa Stand United.

2.Wakati Simba inajiandaa kumpiga AS Vita 2 - 1.Yanga alitangulia kufa 1 - 0 kwa Lipuli FC.

3.Simba ikijiandaa kucheza na TP Mazembe keshokutwa,Yanga anatangulia kufa na kisha kusawazisha mbele ya Ndanda FC.

Yanga,kwanini mnawaza sana mechi zisizowahusu na kusahau mechi zenu?
Acha mawazo ya kijinga.Hayo ni matokeo ya mpira tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mathematically Simba tayari ndio bingwa wenu.

1. Seven games in hand 21 possible points. Gap ni 11 points. It's likely kuwa Simba wanaweza kuzichukua hizo points zote hata waki fall short sio chini ya 15.

2. Superior GD.. 48 GF for 7 goals conceded so far. Yanga 3 goals shy kwenye GF na tayari wame ship in 20 goals [emoji23][emoji23].

Mathematically Yanga tayari wame surrender TPL. It's Simba's to lose now.
Screenshot_20190404-175936.jpeg
 
Mathematically Simba tayari ndio bingwa wenyu.

1. Seven games in hand 21 possible points. Gap ni 11 points. It's likely kuwa Simba wanaweza kuzichukua hizo points zote hata waki fall short sio chini ya 15.

2. Superior GD.. 48 GF for 7 goals conceded so far. Yanga 3 goals shy kwenye GF na tayari wame ship in 20 goals [emoji23][emoji23].

Mathematically Yanga tayari wame surrender TPL. It's Simba's to lose now.View attachment 1062657
You're perfectly right brother.Sioni namna yoyote kwa Yanga kubeba ubingwa.Simba washindwe wenyewe.
 
Yanga yuko points 11 mbele ya Simba. Simba anahitaji kushinda viporo 4 tu x 3 = 12 points kati ya viporo 7 alivyo navyo ili aweze kumpiku Yanga. Means hata akipoteza games 3 kisha akashinda zote zilizobaki ni bingwa tayari.

Yanga akomae tu na FA, napo kina Kamwene hawako vibaya.
 
Wewe kweli ni mikia fc kindaki ndaki! Goli kafunga Pappy Tshishimbi akitumia vizuri krosi ya mkongwe Kelvin Yondani aliyepanda upande wa kushoto; halafu wewe unasema kafunga Jaffary Mohamed!/Hayo matokeo ulisimuliwa au uliangalia mpira mwenyewe?
 
Wewe kweli ni mikia fc kindaki ndaki! Goli kafunga Pappy Tshishimbi akitumia vizuri krosi ya mkongwe Kelvin Yondani aliyepanda upande wa kushoto; halafu wewe unasema kafunga Jaffary Mohamed!/Hayo matokeo ulisimuliwa au uliangalia mpira mwenyewe?
Hata angefunga Akilimali hayawezi badilisha matokeo FT 1-1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hadi dakika ya 60' matokeo yalikuwa Ndanda 1 - 0 Yanga.

Dakika ya 61' Jaffary Mohammed akaisawazishia Yanga,na matokeo kuwa Ndanda 1 - 1 Yanga.

Nilichojifunza:
Yanga wanakuwa obsessed sana na mechi za kimataifa za Simba,kuliko Simba wenyewe.
Kama hujanielewa ni hivi;Inapotokea Yanga wana mechi ya TPL na usiku wa siku hiyo au siku moja/mbele yake kuna mechi ya kimataifa inayoihusisha Simba,basi Yanga hufungwa mechi hiyo.

Bado hujaamini?
1.Kabla Simba haijafungwa 5 - 0 na AS Vita katika usiku wa mabalaa,Yanga alikufa 1 - 0 kwa Stand United.

2.Wakati Simba inajiandaa kumpiga AS Vita 2 - 1.Yanga alitangulia kufa 1 - 0 kwa Lipuli FC.

3.Simba ikijiandaa kucheza na TP Mazembe keshokutwa,Yanga anatangulia kufa na kisha kusawazisha mbele ya Ndanda FC.

Yanga,kwanini mnawaza sana mechi zisizowahusu na kusahau mechi zenu?
@Shadeeya pitia na hapa mtani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe kweli ni mikia fc kindaki ndaki! Goli kafunga Pappy Tshishimbi akitumia vizuri krosi ya mkongwe Kelvin Yondani aliyepanda upande wa kushoto; halafu wewe unasema kafunga Jaffary Mohamed!/Hayo matokeo ulisimuliwa au uliangalia mpira mwenyewe?
Pengine nimeshindwa kuwatofautisha,tatizo misuko yao ya kike kike inafanana mno.
 
Aisee Shadeeya nini kimewakuta watani, ndio tuseme kwamba mmekubali kiwepesi /kirahisi /kinyonge namna hii kumwacha Mfalme wa nyika mwenye kuogopeka si mwingine naye ni Simba SC anyakue kombe la TPL kwa msimu wa pili mfululizo?

Simba nguvu moja
 
Back
Top Bottom