Ndani ya daladala moja na Mshana Jr..

Pima pengine sio kwa Mshana Jr mkuu, Pemba uchawi hakuna ila majini, mshana majini kwake ni mifugo sasa sijui utatokaje.
Haha mbona mnanishonganisha na mshana jamani

Kosa langu lipi au kuleta huu uzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
 
Jana, tarehe 26/8? We jamaa unauhakika hujachukuliwa msukule na MshanaJr?
 
[emoji102] [emoji102] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja nimalize kucheka loh...
 
Huyo uliyemwona alikuwa na rangi gani na ana urefu gani? Macho yake yakoje? Sauti yake ikoje? Ukinijibu nitajua umemwona kweli mshana jr. Sijawahi kutana naye ila kuna viashiria naweza hisi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] shikamoo Dada
 
Ufafanuzi
Huyo jamaa si mimi japo pia nilishawahi kufananishwa naye zaidi ya mara moja nje ya Jamiiforums
Mimi sio kibonge nina kilo 120 tu... Wajihi wangu ni cheusi tii...
Sehemu ambazo nishadaiwa kuonekana ni Mbeya, Kigoma Bukoba Mwanza kahama Arusha na Sumbawanga
 
Mshana kuna member humu alisema kuwa una kilinge mtoni mtongani na wateja wako wakubwa ni kina dada wa mjini
 
Mshana kuna member humu alisema kuwa una kilinge mtoni mtongani na wateja wako wakubwa ni kina dada wa mjini
[emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji144] [emoji144] Jamani sasa mimi niko wangapi? Nilishawahi kumsaidia tu mtu mmoja huko tena ilikuwa home kwa jamaa yangu.. Mara moja tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…