DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Juzi kati nimepanda UDART. Bas kulikuwa mshua mmoja anakanyaga popote pale iwe ni juu ya mtu au juu ya mguu wa mtu, kwake sawa tu. Ikabidi nisimamie mguu mmoja halafu mguu mwingine unashuka kwa machale pale napopata upenyo.