Ndani ya mwaka mmoja Rais Samia ailetea Tanzania zaidi ya trillion 43

Ndani ya mwaka mmoja Rais Samia ailetea Tanzania zaidi ya trillion 43


"Ndani ya mwaka mmoja ailetea Tanzania zaidi ya trillion 43"

Ikiwa ni mwaka mmoja na miezi kadhaa tangu Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kushika atamu, kumekuwepo na mijadara inayozungumzia juu ya mwenendo wa Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kusafiri ng'ambo tofauti za nje ya nchi ikilinganishwa na ziara afanyazo ndani ya nchi ikiwa ni tofauti na mtangulizi wake hayati Magufuli. Mijadara mingi sana imekuwa ikiendeshwa katika mitaa na mitandao ya kijamii kuhusu safari hizi afanyazo Mhe Rais.

4 July 2022 akiwa katika utiaji saini wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) Katika hotuba yake alisema kuwa;
"Wenye akili za kawaida ni rahisi kulaumu, Rais anasafiri tu hakai. Badala ya kutembelea mikoa anatembelea tu nje, lakini matokeo yake ndiyo haya. Nikienda mkoani tunajenga siasa ya ndani, hakuna maendeleo. Nikienda nje nakwenda kutafuta fedha kwa ajili ya maendeleo"-Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Ukweli ni kwamba usio lijua ni sawa na usiku wa giza, wengi wao wamekuwa wakikosoa ziara hizo pasipo kujua ni matunda gani kama taifa tunafaidika kutokana na ziara hizo, pengine ni kutokuwa na ufatiliaji wa kutosha au lah!

Sasa nikujuze ni hii ambayo itakushangaza sana, unajua ziara hizo afanyazo Mhe raisi zimeitengezea nchi ya Tanzania zaidi ya trillioni 40? Haya yamesemwa na Katibu Mkuu Uwekezaji

" Katika kipindi cha mwaka mmoja na miezi kadhaa ya awamu ya sita, Economic Diplomacy imeweza kuingiza katika mfumo wetu wa uchumi dola bilioni 19, hizo huwezi kuzipata popote katika mfumo mwingine'- Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara. Prof. Godius Kahyarara.

Ikiwa ni Uwekezaji wa ndani dola bilioni 9 ambazo ni sawa na trillioni 20, pamoja na mauzo ya nje ni dola bilioni 10 ambazo ni sawa na trillioni 23.

Hayo ndiyo matunda ya ziara afanyazo Mhe Rais Samia Suluhu Hassan!
Vigezo na Masharti vizingatiwe Ili kuzuia watu wa namna hii kuanzisha thread.

Ni aibu kuwa na hoja za namna hii jukwaani tena la Intelligence!!!!
 

"Ndani ya mwaka mmoja ailetea Tanzania zaidi ya trillion 43"

Ikiwa ni mwaka mmoja na miezi kadhaa tangu Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kushika atamu, kumekuwepo na mijadara inayozungumzia juu ya mwenendo wa Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kusafiri ng'ambo tofauti za nje ya nchi ikilinganishwa na ziara afanyazo ndani ya nchi ikiwa ni tofauti na mtangulizi wake hayati Magufuli. Mijadara mingi sana imekuwa ikiendeshwa katika mitaa na mitandao ya kijamii kuhusu safari hizi afanyazo Mhe Rais.

4 July 2022 akiwa katika utiaji saini wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) Katika hotuba yake alisema kuwa;
"Wenye akili za kawaida ni rahisi kulaumu, Rais anasafiri tu hakai. Badala ya kutembelea mikoa anatembelea tu nje, lakini matokeo yake ndiyo haya. Nikienda mkoani tunajenga siasa ya ndani, hakuna maendeleo. Nikienda nje nakwenda kutafuta fedha kwa ajili ya maendeleo"-Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Ukweli ni kwamba usio lijua ni sawa na usiku wa giza, wengi wao wamekuwa wakikosoa ziara hizo pasipo kujua ni matunda gani kama taifa tunafaidika kutokana na ziara hizo, pengine ni kutokuwa na ufatiliaji wa kutosha au lah!

Sasa nikujuze ni hii ambayo itakushangaza sana, unajua ziara hizo afanyazo Mhe raisi zimeitengezea nchi ya Tanzania zaidi ya trillioni 40? Haya yamesemwa na Katibu Mkuu Uwekezaji

" Katika kipindi cha mwaka mmoja na miezi kadhaa ya awamu ya sita, Economic Diplomacy imeweza kuingiza katika mfumo wetu wa uchumi dola bilioni 19, hizo huwezi kuzipata popote katika mfumo mwingine'- Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara. Prof. Godius Kahyarara.

Ikiwa ni Uwekezaji wa ndani dola bilioni 9 ambazo ni sawa na trillioni 20, pamoja na mauzo ya nje ni dola bilioni 10 ambazo ni sawa na trillioni 23.

Hayo ndiyo matunda ya ziara afanyazo Mhe Rais Samia Suluhu Hassan!
Hizo 43T kwa ni za bure au mikopo? Hata hivyo ziko wapi mbona hatuzioni? Umeme shida, maji shida, barabara ni mashimo, mfumuko wa bei uko juu, hali ya maisha ya Mtanzania ni magumu halafu mnalete propaganda zenu hapa
 
Awalipe basi wastaafu malimbikizo yao.

Mifuko ya hifadhi ya jamii inapumlia mashine na hawapeleki pesa walichofanya ni kupunguza lumpsum kwa wale wa PSSSF ambao ndiyo wengi.
 
Hakuna njia rahisi ya kuleta maendeleo, vyovyote atakavyofanya lazima kuna upande utalalamika. Afanye anavyoona yeye inafaa nchi kuendeshwa.

..nadhani wasifiaji wange-concentrate kupigia chapuo miradi ya maendeleo ambayo Raisi anaikamilisha.

..kupigia chapuo fedha za mikopo, au ahadi za uwekezaji, sio sahihi kwasababu hakuna uhakika kama matumizi ya mikopo, au uwekezaji unaotarajiwa, utatuletea matokeo mazuri.

..awamu iliyopita walisifia na kuwajaza waTz matumaini makubwa kuhusu miradi ya Sgr na Stieglers gorge. Yale matumaini makubwa kupita kiasi ndiyo yanayowapa serikali wakati mgumu kuelezea changamoto, na hali halisi ktk miradi hiyo.

..Tujenge na utamaduni wa kuelezana UKWELI kuhusu utendaji wa serikali yetu.
 

"Ndani ya mwaka mmoja ailetea Tanzania zaidi ya trillion 43"

Ikiwa ni mwaka mmoja na miezi kadhaa tangu Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kushika atamu, kumekuwepo na mijadara inayozungumzia juu ya mwenendo wa Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kusafiri ng'ambo tofauti za nje ya nchi ikilinganishwa na ziara afanyazo ndani ya nchi ikiwa ni tofauti na mtangulizi wake hayati Magufuli. Mijadara mingi sana imekuwa ikiendeshwa katika mitaa na mitandao ya kijamii kuhusu safari hizi afanyazo Mhe Rais.

4 July 2022 akiwa katika utiaji saini wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) Katika hotuba yake alisema kuwa;
"Wenye akili za kawaida ni rahisi kulaumu, Rais anasafiri tu hakai. Badala ya kutembelea mikoa anatembelea tu nje, lakini matokeo yake ndiyo haya. Nikienda mkoani tunajenga siasa ya ndani, hakuna maendeleo. Nikienda nje nakwenda kutafuta fedha kwa ajili ya maendeleo"-Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Ukweli ni kwamba usio lijua ni sawa na usiku wa giza, wengi wao wamekuwa wakikosoa ziara hizo pasipo kujua ni matunda gani kama taifa tunafaidika kutokana na ziara hizo, pengine ni kutokuwa na ufatiliaji wa kutosha au lah!

Sasa nikujuze ni hii ambayo itakushangaza sana, unajua ziara hizo afanyazo Mhe raisi zimeitengezea nchi ya Tanzania zaidi ya trillioni 40? Haya yamesemwa na Katibu Mkuu Uwekezaji

" Katika kipindi cha mwaka mmoja na miezi kadhaa ya awamu ya sita, Economic Diplomacy imeweza kuingiza katika mfumo wetu wa uchumi dola bilioni 19, hizo huwezi kuzipata popote katika mfumo mwingine'- Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara. Prof. Godius Kahyarara.

Ikiwa ni Uwekezaji wa ndani dola bilioni 9 ambazo ni sawa na trillioni 20, pamoja na mauzo ya nje ni dola bilioni 10 ambazo ni sawa na trillioni 23.

Hayo ndiyo matunda ya ziara afanyazo Mhe Rais Samia Suluhu Hassan!
Asante kwa kutujulisha.Wananchi tunamuunga mkono.
 
2025 kutakua na kazi sana kushawishi raia hiyo mikopo +tozo+ kodi kama maendeleo yaliyofanyia hayatoonekana,,,mana wapinzani wake hawatotumia nguvu kubwa,,,,tumuombee tu ikamilike hiyo miradi aliyopanga kufanyia na hizo hela!!!
 
Machawa mna shida sana dunia hii.. rais kutembeza bakuli wakati nchi yetu imejaa mali za kutisha ni aibu sana.. Kuwa na rais wa kimichongo ndiyo hasara yake maana hana mbinu wala maarifa ya tunatokaje tulipokwamia. Mtu anawazia kutembeza bakuli tu.. 'tutaolewa' muda si mrefu

Mleta hoja ndiye kituko zaidi kwa sababu hizo trln 43 hazioneshi matokeo yoyote.. mlipuko wa bei za bidhaa, gharama za maisha ziko juu sana halafu chawa zinasifia..
 
Machawa mna shida sana dunia hii.. rais kutembeza bakuli wakati nchi yetu imejaa mali za kutisha ni aibu sana.. Kuwa na rais wa kimichongo ndiyo hasara yake maana hana mbinu wala maarifa ya tunatokaje tulipokwamia. Mtu anawazia kutembeza bakuli tu.. 'tutaolewa' muda si mrefu

Mleta hoja ndiye kituko zaidi kwa sababu hizo trln 43 hazioneshi matokeo yoyote.. mlipuko wa bei za bidhaa, gharama za maisha ziko juu sana halafu chawa zinasifia..
Kuwa na dhahabu ardhini bila kuwa na Elimu na mtaji na vitendea KAZI, dhahabu hiyo inakuwa kama mawe mengine tu ya kawaida.

Serikali iboreshe ELIMU inayoendana na raslimali zilizopi Hasa Kwa wilaya zenye raslimali hizo.

Ameeen
 
Back
Top Bottom