Ndani ya mwaka mmoja Watoto 225,003 wanaolelewa Vituoni wameongezeka Tanzania

Ndani ya mwaka mmoja Watoto 225,003 wanaolelewa Vituoni wameongezeka Tanzania

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imesema hadi kufikia Aprili 2024, kulikuwa na Vituo 3,862 Vilivyosajiliwa kwa Kulelea Watoto 397,935 (Wakiume 175,517 & Wakike 222,418) na Vituo 206 vya Kijamii vyenye Watoto 11,675

Idadi hiyo ni ongezeko la Watoto 225,003 sawa na 55% kutoka Watoto 184,606 (Wakiume 86,832 na Wakike 97,774) na Vituo 829 sawa 21.% ya idadi iliyokuwepo katika kipindi cha mwaka 2022 hadi 2023.

Pia Soma Bajeti ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa mwaka 2024/25
 
Ndoa ya mke mmoja, ni moja ya sababu kwani wanaume wakizalisha wanaogopa kuwatambulisha kwao....
Utafiti ulifanyika Kenya kwa kuchukua miji yenye waislam wengi kama Mombasa, malindi nk ikilinganishwa na mij inayotawaliwa na madhehebu mengine
 
Back
Top Bottom