Trump kusimamisha misaada duniani ni kosa kubwa la kiufundi. Ni muda wa China na Urusi kuja kutufariji Waafrika

Trump kusimamisha misaada duniani ni kosa kubwa la kiufundi. Ni muda wa China na Urusi kuja kutufariji Waafrika

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Kuna maamuzi ambayo bwana Trump anafanya anakuwa kama kachanganyikiwa na haelewi Geopolitics zilivyo.

Kwanini nasema hivyo?

Hivi karibuni katangaza Marekani kusitisha misaada kwenye nchi zote duniani isipokuwa Israel na Egypt.

Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu atajua kwamba, the only reason Marekani inaheshimika duniani ni kwa sababu ya PESA NA MISAADA inazotoa duniani kote.

Hata hapa nchini kwetu, viongozi wakubwa wanaiheshimu Marekani because wanajua kabisa waki-mess up, misaada itakatwa na kuna miradi ya kimaendeleo itakwama.

baba mwita.png

Anapojitokeza mtu kama Trump anatishia kuondoa misaada maana yake hapo ni kwamba anataka AUE influence ya Marekani nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla

Yaani kama hutupi misaada, hutoi senti tano kwenye miradi yetu ya maendeleo, kwanini tukusikilize?

Unapata wapi nguvu za kuniambia Uchaguzi wenu hauko sawa wakati hata senti 5 ya bajeti yetu hujatuchangia?


Hicho ndo kitu Trump anashindwa kuelewa

Misaada ni form of soft power na njia ya Marekani kupitisha agenda zake.

Trump akiendelea na sera yake hii, ataua kabisa significance ya Marekani Afrika meanwhile Uchina na Urusi wakiwa busy kusaka influence yetu.

Trump africa.png

Tukumbuke tu kuwa mwezi Septemba Xi Jinping ametangaza kwamba Uchina itatoa 51 Billion dollars kwa Afrika ndani ya miaka 3. Putin kwa upande wake mwaka 2023 alifuta 23 Billion USD ya madeni kwa Afrika na akatoa Milioni 90 USD kama misaada kwa Afrika.

Mlio karibu na Trump mwambieni, Marekani ikiendelea na sera hii, wasishangae in 20 years to come, hakuna hata tamko moja watakalolitoa Waafrika tutalisikiza

Afrika yote itakuwa imeikumbatia Urusi na kuongea lugha ya Kichina.
 
Kuna maamuzi ambayo bwana Trump anafanya anakuwa kama kachanganyikiwa na haelewi Geopolitics zilivyo.

Kwanini nasema hivyo?

Hivi karibuni katangaza Marekani kusitisha misaada kwenye nchi zote duniani isipokuwa Israel na Egypt.

Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu atajua kwamba, the only reason Marekani inaheshimika duniani ni kwa sababu ya PESA NA MISAADA inazotoa duniani kote.

Hata hapa nchini kwetu, viongozi wakubwa wanaiheshimu Marekani because wanajua kabisa waki-mess up, misaada itakatwa na kuna miradi ya kimaendeleo itakwama.


Anapojitokeza mtu kama Trump anatishia kuondoa misaada maana yake hapo ni kwamba anataka AUE influence ya Marekani nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla

Yaani kama hutupi misaada, hutoi senti tano kwenye miradi yetu ya maendeleo, kwanini tukusikilize?

Unapata wapi nguvu za kuniambia Uchaguzi wenu hauko sawa wakati hata senti 5 ya bajeti yetu hujatuchangia?


Hicho ndo kitu Trump anashindwa kuelewa

Misaada ni form of soft power na njia ya Marekani kupitisha agenda zake.

Trump akiendelea na sera yake hii, ataua kabisa significance ya Marekani Afrika meanwhile Uchina na Urusi wakiwa busy kusaka influence yetu.


Tukumbuke tu kuwa mwezi Septemba Xi Jinping ametangaza kwamba Uchina itatoa 51 Billion dollars kwa Afrika ndani ya miaka 3. Putin kwa upande wake mwaka 2023 alifuta 23 Billion USD ya madeni kwa Afrika na akatoa Milioni 90 USD kama misaada kwa Afrika.

Mlio karibu na Trump mwambieni, Marekani ikiendelea na sera hii, wasishangae in 20 years to come, hakuna hata tamko moja watakalolitoa Waafrika tutalisikiza

Afrika yote itakuwa imeikumbatia Urusi na kuongea lugha ya Kichina.
Misaada ya china na Urusi ni kausha damu😭😭😭
 
Usimfundishe kazi . Donald Trump ni tajiri kiasili . Sifa kuu ya tajiri asilia ni ubahiri na kuona pesa yake inatumika kwa namna inavyotakiwa sio kuifisadi.

Sasa utajiri wake sisi unatuhusu nini?

Unahisi amechaguliwa kwa sababu ya utajiri?
 
Kuna maamuzi ambayo bwana Trump anafanya anakuwa kama kachanganyikiwa na haelewi Geopolitics zilivyo.

Kwanini nasema hivyo?

Hivi karibuni katangaza Marekani kusitisha misaada kwenye nchi zote duniani isipokuwa Israel na Egypt.

Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu atajua kwamba, the only reason Marekani inaheshimika duniani ni kwa sababu ya PESA NA MISAADA inazotoa duniani kote.

Hata hapa nchini kwetu, viongozi wakubwa wanaiheshimu Marekani because wanajua kabisa waki-mess up, misaada itakatwa na kuna miradi ya kimaendeleo itakwama.


Anapojitokeza mtu kama Trump anatishia kuondoa misaada maana yake hapo ni kwamba anataka AUE influence ya Marekani nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla

Yaani kama hutupi misaada, hutoi senti tano kwenye miradi yetu ya maendeleo, kwanini tukusikilize?

Unapata wapi nguvu za kuniambia Uchaguzi wenu hauko sawa wakati hata senti 5 ya bajeti yetu hujatuchangia?


Hicho ndo kitu Trump anashindwa kuelewa

Misaada ni form of soft power na njia ya Marekani kupitisha agenda zake.

Trump akiendelea na sera yake hii, ataua kabisa significance ya Marekani Afrika meanwhile Uchina na Urusi wakiwa busy kusaka influence yetu.


Tukumbuke tu kuwa mwezi Septemba Xi Jinping ametangaza kwamba Uchina itatoa 51 Billion dollars kwa Afrika ndani ya miaka 3. Putin kwa upande wake mwaka 2023 alifuta 23 Billion USD ya madeni kwa Afrika na akatoa Milioni 90 USD kama misaada kwa Afrika.

Mlio karibu na Trump mwambieni, Marekani ikiendelea na sera hii, wasishangae in 20 years to come, hakuna hata tamko moja watakalolitoa Waafrika tutalisikiza

Afrika yote itakuwa imeikumbatia Urusi na kuongea lugha ya Kichina.

Trump yupo sahihi, kila nchi ianze kujitambua na kuanza kujitegemea wao wenyewe Sasa, wasiendelee kuitegemea Marekani. Safi Sana hii, hii itawalazimisha Watu wengine waliopo duniani kote hususani Watu weusi kuanza kujitambua na kupata akili nzuri ya kuweza kujitegemea. Hatua hizi za Utawala wa Trump ni Kama 'Black Consciousness Campaign' kwa Watu weusi wote kabisa hapa duniani ili waache kutegemea Misaada kutoka Marekani. Ni mwanzo mzuri.

Kwanza Watawala wengi sana wa kutoka katika nchi za Afrika pamoja na Vibaraka wao daima wamekuwa wakiwasema vibaya sana Wazungu hususani Watu wa Marekani kuwa ni Mabeberu na Wapenda Ushoga, Sasa kwa hatua hizi za Utawala wa Trump zitasaidia Sana kukomeshwa kwa hiyo Misaada inayodaiwa kuwa eti 'imetoka na Mabeberu na Wapenda Ushoga.'
Watu wa Afrika (Watu weusi) hususani waTanzania sasa wanatakiwa waelekeze maombi yao ya Misaada kwenda kwa Marafiki zao wa nchi za Mashariki ambao wanawaona kuwa siyo Mabeberu na Wasiopenda Ushoga, nchi za China, Urusi, Korea ya Kaskazini, Belarus, n.k ili waweze kupatiwa Misaada kutoka huko.
 
No free lunch. Tena mchina na mrusi ndio sio wakutegemea kabisa .

Hata kipindi wanatoa misaada haikuwa ni free lunch.

We were trading money with influence.

Walikuwa wanatoa hela as well as kutuamrisha nini cha kufanya.
 
Hio misaada yenyewe ya US masharti kibaoo. #aachetu
 
Trump yupo sahihi, kila nchi ianze kujitambua na kuanza kujitegemea wao wenyewe Sasa, wasiendelee kuitegemea Marekani. Safi Sana hii, hii itawalazimisha Watu wengine waliopo duniani kote hususani Watu weusi kuanza kujitambua na kupata akili nzuri ya kuweza kujitegemea. Hatua hizi za Utawala wa Trump ni Kama 'Black Consciousness Campaign' kwa Watu weusi wote kabisa hapa duniani ili waache kutegemea Misaada kutoka Marekani. Ni mwanzo mzuri.

Kwanza Watawala wengi sana wa kutoka katika nchi za Afrika pamoja na Vibaraka wao daima wamekuwa wakiwasema vibaya sana Wazungu hususani Watu wa Marekani kuwa ni Mabeberu na Wapenda Ushoga, Sasa kwa hatua hizi za Utawala wa Trump zitasaidia Sana kukomeshwa kwa hiyo Misaada inayodaiwa kuwa eti 'imetoka na Mabeberu na Wapenda Ushoga.'
Watu wa Afrika (Watu weusi) hususani waTanzania sasa wanatakiwa waelekeze maombi yao ya Misaada kwenda kwa Marafiki zao wa nchi za Mashariki ambao wanawaona kuwa siyo Mabeberu na Wasiopenda Ushoga, nchi za China, Urusi, Korea ya Kaskazini, Belarus, n.k ili waweze kupatiwa Misaada kutoka huko.

Hivi do you really think kwamba Marekani hata huyo Trump mwenyewe anataka tujitegemee?

Ni wapi Trump amesema amekata misaada ili TUJITEGEMEE? Umesoma bandiko la Marco Rubio akielezea hili suala?

Soma tena nilichoandika. Yaani umetoka nje ya mada kabisa
 
Hao Urusi na China wapo siku zote.Wanatoa nini vya maana?Au China wanavyoleta meli kubwa kutibu watu macho yafunguke wauone uchumi wa nchi zao?Urusi naye uchumi unadidimia kama tembo kwenye tope kali.
 
Walio karibu na Trump mwambieni ninashukuru sana kwa hatua hii..

Kwangu mimi taifa lrnye mika 60, kulalamika kunyimwa msaada wa kuhengewa choo na kuhudumia wajawazito ni taifa la wasionjitambua.

Kwa miaka uote wameendekea kutoa misaada, imewafaidi nini wanchi maskini kama sio kudhalilishwa kwa kupigwa picha zinzokwenda kuonyesha tusivyo jitambua.

Misaada imefanya nini zaidi ya kunujua magari ya kifahari na kujinufaisha binafsi wateule wachache.

Kwamba urusi na china wataziba hilo ombwe ni kukidanganya. Hawawezi wanafahamu zitaliwa na fisi.

Badala yake tutumie muda huu wa siku 90 kumwomba Trump alifute kabisa USAID kwani, misaada kupitia kwao haina matokeo kwa maskini labda kwao.
 
Kuna maamuzi ambayo bwana Trump anafanya anakuwa kama kachanganyikiwa na haelewi Geopolitics zilivyo.

Kwanini nasema hivyo?

Hivi karibuni katangaza Marekani kusitisha misaada kwenye nchi zote duniani isipokuwa Israel na Egypt.

Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu atajua kwamba, the only reason Marekani inaheshimika duniani ni kwa sababu ya PESA NA MISAADA inazotoa duniani kote.

Hata hapa nchini kwetu, viongozi wakubwa wanaiheshimu Marekani because wanajua kabisa waki-mess up, misaada itakatwa na kuna miradi ya kimaendeleo itakwama.


Anapojitokeza mtu kama Trump anatishia kuondoa misaada maana yake hapo ni kwamba anataka AUE influence ya Marekani nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla

Yaani kama hutupi misaada, hutoi senti tano kwenye miradi yetu ya maendeleo, kwanini tukusikilize?

Unapata wapi nguvu za kuniambia Uchaguzi wenu hauko sawa wakati hata senti 5 ya bajeti yetu hujatuchangia?


Hicho ndo kitu Trump anashindwa kuelewa

Misaada ni form of soft power na njia ya Marekani kupitisha agenda zake.

Trump akiendelea na sera yake hii, ataua kabisa significance ya Marekani Afrika meanwhile Uchina na Urusi wakiwa busy kusaka influence yetu.


Tukumbuke tu kuwa mwezi Septemba Xi Jinping ametangaza kwamba Uchina itatoa 51 Billion dollars kwa Afrika ndani ya miaka 3. Putin kwa upande wake mwaka 2023 alifuta 23 Billion USD ya madeni kwa Afrika na akatoa Milioni 90 USD kama misaada kwa Afrika.

Mlio karibu na Trump mwambieni, Marekani ikiendelea na sera hii, wasishangae in 20 years to come, hakuna hata tamko moja watakalolitoa Waafrika tutalisikiza

Afrika yote itakuwa imeikumbatia Urusi na kuongea lugha ya Kichina.
MTAOLEWA.NYIE PENDENI MISAADA MBWAH NYIE UTADHANI HAMKUUMBWA NA MIKONO,MIGUU NA VICHWA KAMA WENZENU.
 
Ni wakati wa kujifunza kusimama wenyewe kama nchi.Kuwa na uhakika wa kupewa misaada kunapelekea kusiwepo na nidhamu ya fedha kwa viongozi wetu.

Nakuunga mkono ila shida ni hii mkuu, HATUWEZI KUJITEGEMEA na tangu Afrika iwepo HATUJAWAHI KUJITEGEMEA.

Unaiambiaje nchi ambayo hata toothpick inaleta kutoka nje ianze KUJITEGEMEA?
 
Kuna maamuzi ambayo bwana Trump anafanya anakuwa kama kachanganyikiwa na haelewi Geopolitics zilivyo.

Kwanini nasema hivyo?

Hivi karibuni katangaza Marekani kusitisha misaada kwenye nchi zote duniani isipokuwa Israel na Egypt.

Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu atajua kwamba, the only reason Marekani inaheshimika duniani ni kwa sababu ya PESA NA MISAADA inazotoa duniani kote.

Hata hapa nchini kwetu, viongozi wakubwa wanaiheshimu Marekani because wanajua kabisa waki-mess up, misaada itakatwa na kuna miradi ya kimaendeleo itakwama.


Anapojitokeza mtu kama Trump anatishia kuondoa misaada maana yake hapo ni kwamba anataka AUE influence ya Marekani nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla

Yaani kama hutupi misaada, hutoi senti tano kwenye miradi yetu ya maendeleo, kwanini tukusikilize?

Unapata wapi nguvu za kuniambia Uchaguzi wenu hauko sawa wakati hata senti 5 ya bajeti yetu hujatuchangia?


Hicho ndo kitu Trump anashindwa kuelewa

Misaada ni form of soft power na njia ya Marekani kupitisha agenda zake.

Trump akiendelea na sera yake hii, ataua kabisa significance ya Marekani Afrika meanwhile Uchina na Urusi wakiwa busy kusaka influence yetu.


Tukumbuke tu kuwa mwezi Septemba Xi Jinping ametangaza kwamba Uchina itatoa 51 Billion dollars kwa Afrika ndani ya miaka 3. Putin kwa upande wake mwaka 2023 alifuta 23 Billion USD ya madeni kwa Afrika na akatoa Milioni 90 USD kama misaada kwa Afrika.

Mlio karibu na Trump mwambieni, Marekani ikiendelea na sera hii, wasishangae in 20 years to come, hakuna hata tamko moja watakalolitoa Waafrika tutalisikiza

Afrika yote itakuwa imeikumbatia Urusi na kuongea lugha ya Kichina.
Ulishawahi kuwa na akili japo once maishani kwako?
 
Naona kama ni kweli sera za Trump zinakwenda kuimaliza marekani kiuchumi miaka ijayo.

Mfano hii sera ya kuondoa wahamiaji.

Marekani imekuwa ikijengwa na wageni kwa miongo kadhaa.

Wanaita American dream. Hiyo imefanya wahamiaji wengi wakifika huko kujituma hivyo kuifanya marekani kuwa na nguvu.

Wakazi wa asili ni wahindi wekundu tu ila wengine wote ni wahamiaji.

Sasa anavyowafukuza hao wahamiaji analegeza uti wa mgongo wa uchumi wao.

Ana mashabiki wale wavivu wa kufanya kazi ila madhara ya kuwaondoa wahamiaji ni makubwa kiuchumi.

Ipo hatari ya baadhi ya mitaa kubakia mitupu.
 
Back
Top Bottom