Trump kusimamisha misaada duniani ni kosa kubwa la kiufundi. Ni muda wa China na Urusi kuja kutufariji Waafrika

Trump kusimamisha misaada duniani ni kosa kubwa la kiufundi. Ni muda wa China na Urusi kuja kutufariji Waafrika

Walio karibu na Trump mwambieni ninashukuru sana kwa hatua hii..

Kwangu mimi taifa lrnye mika 60, kulalamika kunyimwa msaada wa kuhengewa choo na kuhudumia wajawazito ni taifa la wasionjitambua.

Kwa miaka uote wameendekea kutoa misaada, imewafaidi nini wanchi maskini kama sio kudhalilishwa kwa kupigwa picha zinzokwenda kuonyesha tusivyo jitambua.

Misaada imefanya nini zaidi ya kunujua magari ya kifahari na kujinufaisha binafsi wateule wachache.

Kwamba urusi na china wataziba hilo ombwe ni kukidanganya. Hawawezi wanafahamu zitaliwa na fisi.

Badala yake tutumie muda huu wa siku 90 kumwomba Trump alifute kabisa USAID kwani, misaada kupitia kwao haina matokeo kwa maskini labda kwao.

Unajidanganya sana kama unadhani hatuendelei kwa sababu tunapewa misaada.

Israel na Egypt ni nchi zilizoendelea sana lakini bado zinapokea misaada.

Kusema kwamba hatuendelei kwa sababu tunapokea misaada ni ukichaa
 
Wamarekani weusi wa Ifakara na Tandahimba si kila siku hua wanasema humu kua US inaendeshwa na mfumo na sio Rais?


Trump kaingia tu kaifungulia Tik tok,kakata misaada,anataka kukata Birthright citizenship,na mabadiliko kibao.
 
Urudi ya sasa sio USSR, hivo Haina Hela .

Uchina ? Hawez .

Kwa Ufupi safari hii maji yataitwa Mma.
 
Mmalize pesa na rasilimali zenu kwa rushwa na ufisadi halafu mumlaumu Trump
 
Kuna maamuzi ambayo bwana Trump anafanya anakuwa kama kachanganyikiwa na haelewi Geopolitics zilivyo.

Kwanini nasema hivyo?

Hivi karibuni katangaza Marekani kusitisha misaada kwenye nchi zote duniani isipokuwa Israel na Egypt.

Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu atajua kwamba, the only reason Marekani inaheshimika duniani ni kwa sababu ya PESA NA MISAADA inazotoa duniani kote.

Hata hapa nchini kwetu, viongozi wakubwa wanaiheshimu Marekani because wanajua kabisa waki-mess up, misaada itakatwa na kuna miradi ya kimaendeleo itakwama.


Anapojitokeza mtu kama Trump anatishia kuondoa misaada maana yake hapo ni kwamba anataka AUE influence ya Marekani nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla

Yaani kama hutupi misaada, hutoi senti tano kwenye miradi yetu ya maendeleo, kwanini tukusikilize?

Unapata wapi nguvu za kuniambia Uchaguzi wenu hauko sawa wakati hata senti 5 ya bajeti yetu hujatuchangia?


Hicho ndo kitu Trump anashindwa kuelewa

Misaada ni form of soft power na njia ya Marekani kupitisha agenda zake.

Trump akiendelea na sera yake hii, ataua kabisa significance ya Marekani Afrika meanwhile Uchina na Urusi wakiwa busy kusaka influence yetu.


Tukumbuke tu kuwa mwezi Septemba Xi Jinping ametangaza kwamba Uchina itatoa 51 Billion dollars kwa Afrika ndani ya miaka 3. Putin kwa upande wake mwaka 2023 alifuta 23 Billion USD ya madeni kwa Afrika na akatoa Milioni 90 USD kama misaada kwa Afrika.

Mlio karibu na Trump mwambieni, Marekani ikiendelea na sera hii, wasishangae in 20 years to come, hakuna hata tamko moja watakalolitoa Waafrika tutalisikiza

Afrika yote itakuwa imeikumbatia Urusi na kuongea lugha ya Kichina.
Wewe ambaye akili yako iko spoiled na utawala wa kishenzi wa fisiemu unapata wapi guts za kukosoa rais pekee wa Marekani aliyeweza kukutana na Rais wa North korea.

Donald Trump is way smarter than all African presidents combined.
 
Mmalize pesa na rasilimali zenu kwa rushwa na ufisadi halafu mumlaumu Trump

What part of my piece imemlaumu Trump kwa rushwa zinazoendelea Tanzania?

Umesoma nilichoandika?

Na ni wapi Trump amesema amesitisha misaada kwa sababu ya uwepo wa rushwa?
 
Naona kama ni kweli sera za Trump zinakwenda kuimaliza marekani kiuchumi miaka ijayo.

Mfano hii sera ya kuondoa wahamiaji.

Marekani imekuwa ikijengwa na wageni kwa miongo kadhaa.

Wanaita American dream. Hiyo imefanya wahamiaji wengi wakifika huko kujituma hivyo kuifanya marekani kuwa na nguvu.

Wakazi wa asili ni wahindi wekundu tu ila wengine wote ni wahamiaji.

Sasa anavyowafukuza hao wahamiaji analegeza uti wa mgongo wa uchumi wao.

Ana mashabiki wale wavivu wa kufanya kazi ila madhara ya kuwaondoa wahamiaji ni makubwa kiuchumi.

Ipo hatari ya baadhi ya mitaa kubakia mitupu.
Ana deal na undocumented na sio documented.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Kuna maamuzi ambayo bwana Trump anafanya anakuwa kama kachanganyikiwa na haelewi Geopolitics zilivyo.

Kwanini nasema hivyo?

Hivi karibuni katangaza Marekani kusitisha misaada kwenye nchi zote duniani isipokuwa Israel na Egypt.

Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu atajua kwamba, the only reason Marekani inaheshimika duniani ni kwa sababu ya PESA NA MISAADA inazotoa duniani kote.

Hata hapa nchini kwetu, viongozi wakubwa wanaiheshimu Marekani because wanajua kabisa waki-mess up, misaada itakatwa na kuna miradi ya kimaendeleo itakwama.


Anapojitokeza mtu kama Trump anatishia kuondoa misaada maana yake hapo ni kwamba anataka AUE influence ya Marekani nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla

Yaani kama hutupi misaada, hutoi senti tano kwenye miradi yetu ya maendeleo, kwanini tukusikilize?

Unapata wapi nguvu za kuniambia Uchaguzi wenu hauko sawa wakati hata senti 5 ya bajeti yetu hujatuchangia?


Hicho ndo kitu Trump anashindwa kuelewa

Misaada ni form of soft power na njia ya Marekani kupitisha agenda zake.

Trump akiendelea na sera yake hii, ataua kabisa significance ya Marekani Afrika meanwhile Uchina na Urusi wakiwa busy kusaka influence yetu.


Tukumbuke tu kuwa mwezi Septemba Xi Jinping ametangaza kwamba Uchina itatoa 51 Billion dollars kwa Afrika ndani ya miaka 3. Putin kwa upande wake mwaka 2023 alifuta 23 Billion USD ya madeni kwa Afrika na akatoa Milioni 90 USD kama misaada kwa Afrika.

Mlio karibu na Trump mwambieni, Marekani ikiendelea na sera hii, wasishangae in 20 years to come, hakuna hata tamko moja watakalolitoa Waafrika tutalisikiza

Afrika yote itakuwa imeikumbatia Urusi na kuongea lugha ya Kichina.
Akili za hovyo, eti wakati wa china kutufariji waafrika! Kwani mna matatizo gani hadi mfarijiwe? Hamna akili za kujitegemea? Mbonà marekani wanajitegemea? Mkitukanwa ni sawa tuu.
 
Wewe ambaye akili yako iko spoiled na utawala wa kishenzi wa fisiemu unapata wapi guts za kukosoa rais pekee wa Marekani aliyeweza kukutana na Rais wa North korea.

Donald Trump is way smarter than all African presidents combined.

Sawa Mmarekani wa Buza kwa mama kibonge.

Siku ukisikia ARV zimekatwa bongo usije ukatuanzishia uzi kulalamika
 
Wanaopiga kelele wengi ni wale wafanyakazi wanaotarajia mapesa yaingie kutokea marekani , trump toka akiwa Rais awamu yake ya kwanza alisema wazi misaada kwa waafrika inawalemaza akili huku wakilalia rasilimali lukuki, Russia Hana uwezo wa kutoa misaada itakayolingana na misaada ya marekani labda misaada ya kijeshi. Tujifunze kujitegemea anayekupa msaada ameamua hakupi tena na wala haikua haki Sisi kupewa misaada hiyo hivo tukae kwa kutulia
 
What part of my piece imemlaumu Trump kwa rushwa zinazoendelea Tanzania?

Umesoma nilichoandika?

Na ni wapi Trump amesema amesitisha misaada kwa sababu ya uwepo wa rushwa?
Trump akiendelea na sera yake hii, ataua kabisa significance ya Marekani Afrika meanwhile Uchina na Urusi wakiwa busy kusaka influence yetu.
Mkuu, Marekani hata afanye kitu gani hawezi shushwa significance yake na hizo nchi umeandika hapo. Sio Africa tu.
 
Nakuunga mkono ila shida ni hii mkuu, HATUWEZI KUJITEGEMEA na tangu Afrika iwepo HATUJAWAHI KUJITEGEMEA.

Unaiambiaje nchi ambayo hata toothpick inaleta kutoka nje ianze KUJITEGEMEA?
Huu ujinga kwamba toothpick ni big deal aliuanzisha nani ?
Nchi imejaa viwanda kibao vinavyotengeneza muhimu, nyie mnakuja na comedy zenu za toothpick
 
Wamarekani weusi wa Ifakara na Tandahimba si kila siku hua wanasema humu kua US inaendeshwa na mfumo na sio Rais?


Trump kaingia tu kaifungulia Tik tok,kakata misaada,anataka kukata Birthright citizenship,na mabadiliko kibao.
Marufuku kuitolea Ifakara mifano ya kijinga.
 
Akili za hovyo, eti wakati wa china kutufariji waafrika! Kwani mna matatizo gani hadi mfarijiwe? Hamna akili za kujitegemea? Mbonà marekani wanajitegemea? Mkitukanwa ni sawa tuu.

Angalia ni nchi gani zinazoongoza kupokea misaada kutoka Marekani. Tanzania hatupo hata kwenye top 10 duniani.

Hakuna nchi inayoweza KUJITEGEMEA.

Marekani kuna vitu inapata kutoka kwetu and vice versa.

Israel, Egypt, Taiwan na South Korea zote zinapokea misaada kutoka Marekani.

Jielimishe kabla hujatukana watu
 
Nakuunga mkono ila shida ni hii mkuu, HATUWEZI KUJITEGEMEA na tangu Afrika iwepo HATUJAWAHI KUJITEGEMEA.

Unaiambiaje nchi ambayo hata toothpick inaleta kutoka nje ianze KUJITEGEMEA?
Kumbuka hiyo misaada sio sheria ni utashi wao tu.Kama misaada ikiminywa mbona akili zitatukaa sawa!!
 
Back
Top Bottom