Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule Bongo movie walisha mchoka kwasababu amewazidi sanaa na ndiomaana wakamgawa kwa Mzee BabaHuyu mwanamke ni msanii saana, yafaa kabisa awepo kule Bongo movie
Angejitokeza aweke mambo sawa ukimya wake utatafsiriwa kuwa hili tukio ni kweli katengenezaAhahaha yupo Apollo ya Tandale ya India...akili kitu kingine bwana,yaani alishindwa kabisa hata kumtafuta mtu mwenye idea kidogo amuelekeze namna ya kuweka cannula yeye akaamua kujipachikia anavyojua yeye.atakuwa na mwisho mbaya sana kwa sanaa hizi anazofanya.
Samahani mkuu usinifananishe na hizo taka taka za darTatizo wanaume wa Dar mlisha mzunguka hadi mkamchoka, sasa atakula wapi.....[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Ohhhpppsssss......Samahani mkuu usinifananishe na hizo taka taka za dar
Apollo ya wapi mkuu? Maana ziko nyingi. Chennai au New Delhi?binafsi nimefika apollo india.. baba yangu alifanyiwa surgery ya kichwa kuondoa brain tumor... tulikaa apollo mwezi mmoja wodin kwenye block linaitwa international pavillion kwa waliofika health city hyderabad apollo wanalijua.. matibabu yote kila kitu yaligharimu usd 9000 ila hizo treatment tulizopewa kama wafalme... mwezi mzima wodini.. misosi tuliyokuwa tunapewa si mchezooo.. hadi magazeti lila siku yanaletwa wodini na simu wodini for free...
nashangaa wastara kwa milion 40 ni matibabu ya mguu tu au na vinginevyooo... maana ukiwa mteja wa matibabu ya usd 10,000 tu india ni kama mfalme
Usd 9000 =tsh 20,250,000.binafsi nimefika apollo india.. baba yangu alifanyiwa surgery ya kichwa kuondoa brain tumor... tulikaa apollo mwezi mmoja wodin kwenye block linaitwa international pavillion kwa waliofika health city hyderabad apollo wanalijua.. matibabu yote kila kitu yaligharimu usd 9000 ila hizo treatment tulizopewa kama wafalme... mwezi mzima wodini.. misosi tuliyokuwa tunapewa si mchezooo.. hadi magazeti lila siku yanaletwa wodini na simu wodini for free...
nashangaa wastara kwa milion 40 ni matibabu ya mguu tu au na vinginevyooo... maana ukiwa mteja wa matibabu ya usd 10,000 tu india ni kama mfalme
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyo ni Jambazi sugu asie tumia silaha, na akafanikiwa kumpora Mzee Baba....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
mshana jr unaifahamu kampuni ya Mbombo Nunu ya Mwananyamala? Hebu I google upate anwani zakeGet well the soonest View attachment 693642we pray for you
Akirejea nchini tunaomba aunde Chama cha Matapeli waliokubuhu Tanzania halafu ajichague mwenyewe kuwa Rais wa mpito.