Ndani ya wodi.. Hospital ya Apollo India

Ndani ya wodi.. Hospital ya Apollo India

Akirejea nchini tunaomba aunde Chama cha Matapeli waliokubuhu na wa Kimataifa Tanzania halafu ajichague mwenyewe kuwa Rais wa mpito.
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
Ahahaha yupo Apollo ya Tandale ya India...akili kitu kingine bwana,yaani alishindwa kabisa hata kumtafuta mtu mwenye idea kidogo amuelekeze namna ya kuweka cannula yeye akaamua kujipachikia anavyojua yeye.atakuwa na mwisho mbaya sana kwa sanaa hizi anazofanya.
Angejitokeza aweke mambo sawa ukimya wake utatafsiriwa kuwa hili tukio ni kweli katengeneza
 
Analeta usanii hadi kwenye ugonjwa?
Naanza kuona picha nzima ya mateso hadi kifo kwa Sajuki yalikuwa yanasababishwa na huyu dada.
Sindano za drip haziwezi elekea upande huo...ndo mana wanamwita "mama cannula"
 
binafsi nimefika apollo india.. baba yangu alifanyiwa surgery ya kichwa kuondoa brain tumor... tulikaa apollo mwezi mmoja wodin kwenye block linaitwa international pavillion kwa waliofika health city hyderabad apollo wanalijua.. matibabu yote kila kitu yaligharimu usd 9000 ila hizo treatment tulizopewa kama wafalme... mwezi mzima wodini.. misosi tuliyokuwa tunapewa si mchezooo.. hadi magazeti lila siku yanaletwa wodini na simu wodini for free...

nashangaa wastara kwa milion 40 ni matibabu ya mguu tu au na vinginevyooo... maana ukiwa mteja wa matibabu ya usd 10,000 tu india ni kama mfalme
Apollo ya wapi mkuu? Maana ziko nyingi. Chennai au New Delhi?
 
kama ni tapeli basi tapeli haswa,kamtapeli hadi mzee baba mshamba wa magogoni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Basi aje hata ndugu ay jamaa yake adhibitishe haya kwa vielelezo toka hospital , alafu pia tuone treatment ya mguu inavyoendelea , sio kutukuonyesha mikoni wakati mguu ndio unatatizo
 
binafsi nimefika apollo india.. baba yangu alifanyiwa surgery ya kichwa kuondoa brain tumor... tulikaa apollo mwezi mmoja wodin kwenye block linaitwa international pavillion kwa waliofika health city hyderabad apollo wanalijua.. matibabu yote kila kitu yaligharimu usd 9000 ila hizo treatment tulizopewa kama wafalme... mwezi mzima wodini.. misosi tuliyokuwa tunapewa si mchezooo.. hadi magazeti lila siku yanaletwa wodini na simu wodini for free...

nashangaa wastara kwa milion 40 ni matibabu ya mguu tu au na vinginevyooo... maana ukiwa mteja wa matibabu ya usd 10,000 tu india ni kama mfalme
Usd 9000 =tsh 20,250,000.

Hii hela hata ukiitoa hospitali zetu utatibiwa kifalme
 
Mshana hajasrma yupo Apollo jamani.. mnamuonea

Yupo Pakistani kwa location aliyoweka Instagram kwa picha.
 
Akirejea nchini tunaomba aunde Chama cha Matapeli waliokubuhu Tanzania halafu ajichague mwenyewe kuwa Rais wa mpito.

Hivi kwanini haswa mnamuita tapeli? Kwa picha au? Mnajua walipataje pa kuingizia maana inadumbukia yote ndani na kubaki kidude cha juu na ndio wanazungushia. Kabati hilo pembeno ni kawaida kwenye wodi sema zinatofautiana.. nielezeni na mshana jr

Hiyo S ni sawa alipotupa info kuwa yupo Pakistani.
 
Back
Top Bottom