Ndege aina ya Kware: Kwa mahitaji ya mayai ya Kware, Vifaranga na Kware kwa ajili ya nyama n.k

Ndege aina ya Kware: Kwa mahitaji ya mayai ya Kware, Vifaranga na Kware kwa ajili ya nyama n.k

Haina noma mkubwa. Ngoja nimalizie kuweka fens then ntakushtua.ninahitaji haobwa wiki nne majike 25 na madume 10 kwa kuanzia.
Na vipi hao wa wiki 4 wanahitaji joto au nawaingiza bandari tu? Hiyo breed yako ni ya wapi mkuu?nimejaribu kufuatilia katika net wanasema breed nzuri ya mayai ni ya china na breed nzuri ya nyama ni ya japan kama sijakosea.


Tulio nao kwa lugha ya kitaalamu wanaitwa (Coturnix japonica) wana asili ya japan.
 
Ndege kwere,mayai ya kware niwanyama tofauti,else warekebishe heading kablasijakumwagia odayamayai
 
Ndege kwere,mayai ya kware niwanyama tofauti,else warekebishe heading kablasijakumwagia odayamayai


Wote wataga vyema tu..ila rate ya hawa wa japan ni kubwa zaidi. Mayai yapo ya kutosha weka order yako. Ninaleta mpaka nyumbani kwako kwa wakazi wa dar ukichukua zaidi ya tray 10
 
Asante Mkuu
nitakutafuta nikisha maliza suala la eneo la kuwafugia - banda
 
Mayai ya kwale au Quail eggs sasa yanapatikana tena kwa wingi Tshs 25,000 kwa tray tafadhali tuwasiliane kwa simu namba 0788-318671 au PM Ahsante. Karibuni

naomba nisaidie kunielezea je ni kweli watu wamepona kisukari kwa kula mayai haya?
Nimkutumia sms muda huu naombajibu
 
Mbwambo naomba nikuelekeze kidogo kuhusu haya mayai mimi kama mfugaji na mtumiaji wa hawa ndege.
Mayai ya kwale si dawa kama ambavyo wengi wanadhania bali huwasaidia sana eagonjwa mbalimbali kutokana na virutubisho vilivyopo ndani yake.mayai haya huimarisha afya kwa wagonjwa wa kisukari, pressure, kansa na pia vidonda vya tumbo.ukitumia mayai haya utabaini yafuatayo:-
1) kuimalika kwa kinga mwilini
2) Kuwa na nguvu
3) Kupata hamu ya kula
4) Kuwa na kumbukumbu nzuri
5) Kutokuwa na uchovu
Pia yanasaidia ktk brain building (hasa kwa watoto)
NOTE: Haya nimeongea sio kwa kusoma mahali bali ni kutokana na uzoefu na experiance niliyopata baada ya kutumia haya mayai kwa mda mrefu
 
Kwa wahitaji wa vifaranga vya kware....vipo vya kutosha kumeet order yako....tuwasiliane kwa namba 0755815174. Weka order yako mapema.
 
Tunafanya door to door delivery ya mayai ya Kwale na Vifaranga kwa wakazi wa Dar es salaam na Bagamoyo toa order yako sasa pamoja na mawasiliano.

Vifaranga shilingi 2,800
Mayai 30 (trey) shilingi 18,000
Asante
 
Mayai haya ni mazuri kwa afya yako pata kwa kuimarisha afya yako. Napata elimu zaidi kwa ku google na kusoma kutoka kwenye sehemu mbalimbali uone na kujifunza uzuri wake.

Jamaa una uwezo mdogo sana kichwani. Huyo kwale anafugwaje?
 
Tunafanya door to door delivery ya mayai ya Kwale na Vifaranga kwa wakazi wa Dar es salaam na Bagamoyo toa order yako sasa pamoja na mawasiliano.

Vifaranga shilingi 2,800
Mayai 30 (trey) shilingi 18,000
Asante

Bro Deo naomba unisaidie, hapo kwale mnawatoa wapi? Je namfugaje huyo kwale? Nisaidie ili niaje kununua vifaranga vyenu.
 
Mkuu,thanks kwa bandiko lako lenye link maridhawa!ila kwa Watanzania bado sana kujua umuhimu wa haya mambo,ukweli ni kua Watanzania bado tumelala kila nyanja,tunachofurahia ni porojo,kulalamika na siasa!kila kitu tunabaki wenzetu Wakenya,still hatujifunzi zaidi ya kukatishana tamaha,hata kwenye hii link ya KWARE nimeona jinsi Wakenya walivyo serious

Link Ipi hiyo ya kwale? Acha kuwasifia hao wakenya mbona vilaza tu!
 
Bei zetu za kware ni nafuu sana. Tunaelekeza namna ya kujenga cages (mabanda) bure na kuwapa michoro ya hayo mabanda bila gharama (free of charge) piga simu 0715 284 187 kwa maelezo zaidi. Shamba la mfano tunalo maeneo ya Mbezi Luis na kuona ni bure. Karibuni kwa huduma ya kware na bidha zake.
 
Back
Top Bottom