Ndege aina ya Kware: Kwa mahitaji ya mayai ya Kware, Vifaranga na Kware kwa ajili ya nyama n.k

Ndege aina ya Kware: Kwa mahitaji ya mayai ya Kware, Vifaranga na Kware kwa ajili ya nyama n.k

Ndege aina ya kware wanafugika vizuri na hutaga mara baada ya wiki nane, Ila kwa kuwa wanazaliwa wakiwa wadogo sana joto linatakiwa kuwepo la kutosha la sivyo unaweza kuwapoteza wengi. Kwa kuwa kware wanahitaji protein nyingi zaidi ya kuku ni vyema basi ukiwa unatumia starter mash ya kuku uongeze hapo vyakula vyenye protein kama soya usikiweke chakula vya kware vitu vya nyama kama damu hii huhatarisha. Hapo chini ni aina ya mabanda unayoweza kutengeneza rahisi kwajili ya kuanza kujikomboa kiuchumi.

Nimevipenda hivyo vibanda,je vinakaa nje(uani) au vinakaa ndani ya chumba? Nami napenda kufuga kwa matumizi ya familia.
 
Anaehitaji vifaranga vya kware tuwasiliane tafadhali. Tunasafirisha kwenda popote hapa nchini.
Gharama zetu ni zifuatazo.

Siku moja - 2000
Wiki moja-3500
Wiki mbili-4500
Wiki tatu- 5000
Wiki nne-6000
Wiki tano-7500
Wiki sita-8000

Mayai pia yanapatikana kwa gharama ya 18000 tray kwa mayai ya kula na 20000 tray kwa mayai ya kutotoleshea.

tupo dar es salaam. Tunasafirisha kwenda popote hapa nchini.
Tuwasiliane kupitia 0755815174
 
Dar upo sehemu gani Na mm nilikuwa nawaitaji wa mbegu maana nafuga kuku nilikuwa nawataka Na hao mm nipo kigamboni magogoni.


Ebu nitafute kwa namba hii tuzungumze.. Mimi nipo tegeta 0755815174
 
Anaehitaji vifaranga vya kware tuwasiliane tafadhali. Tunasafirisha kwenda popote hapa nchini.
Gharama zetu ni zifuatazo.

Siku moja - 2000
Wiki moja-3500
Wiki mbili-4500
Wiki tatu- 5000
Wiki nne-6000
Wiki tano-7500
Wiki sita-8000

Mayai pia yanapatikana kwa gharama ya 18000 tray kwa mayai ya kula na 20000 tray kwa mayai ya kutotoleshea.

tupo dar es salaam. Tunasafirisha kwenda popote hapa nchini.
Tuwasiliane kupitia 0755815174

kuna mchangiaji hapo juu amesema kuwa wanataga baada ya wiki4,.sasa hao Wa wiki8 nivifaranga au kware mkubwa?
 
Sisi watz tunaweza porojo tu, wenzetu wanapiga mihela kwa kwenda mbele
 
Niko mwanza naweza pata kwale wa one week??? Kwa bei gani????
 
kuna mchangiaji hapo juu amesema kuwa wanataga baada ya wiki4,.sasa hao Wa wiki8 nivifaranga au kware mkubwa?


Kiongozi mimi ni mfugaji na msambazaji kware na vifaranga vyake. Mpaka sasa sijawahi kuoma kware anaetaga ndani ya week nne. Naamini mchangiaji hapo juu atakuwa amepitiwa kidogo tu.
 
Hakuna kware anaetaga akiwa na wiki nne,kware huanza kutaga akiwa na wiki8
 
Jameni kuna anayefuga kwale mwanza???? Nigependa kumte,belea na vilevile nahitaji vifaranga wa week 1 au 2, natakata kuanza kuwafuga vilevile mwenye kufuga kanga naomba tuwasiliane
 
Mi mwenyewe niko mwz soon ntaitaji kuwafuga hawa ndege mwenye kuwafuga tuwasiliane
 
Kiongozi mimi ni mfugaji na msambazaji kware na vifaranga vyake. Mpaka sasa sijawahi kuoma kware anaetaga ndani ya week nne. Naamini mchangiaji hapo juu atakuwa amepitiwa kidogo tu.

mkuu nimesikia huwezi kufuga kibiashara bila leseni,ya kweli haya?
 
Jameni kuna anayefuga kwale mwanza???? Nigependa kumte,belea na vilevile nahitaji vifaranga wa week 1 au 2, natakata kuanza kuwafuga vilevile mwenye kufuga kanga naomba tuwasiliane


Tuwasiliane, toa order yako utatumiwa mpaka ulipo..0755815174
 
mkuu nimesikia huwezi kufuga kibiashara bila leseni,ya kweli haya?


Hapo awali palikuwa na iyo hofu, ila baada ya kufuatilia kule maliasili , wale maafisa wakasema kwa aina hii ya kware ni ruksa tu kufuga. Ila kutahitaji vibali kusafirisha kwenda nje ya nchi.
 
Hapo awali palikuwa na iyo hofu, ila baada ya kufuatilia kule maliasili , wale maafisa wakasema kwa aina hii ya kware ni ruksa tu kufuga. Ila kutahitaji vibali kusafirisha kwenda nje ya nchi.

Asante,hlf since hawatoki nje,ni muhimu kuwapa vitamins au c lazima?
 
Mwenye hawa kware kwa mwz naomba tuwasiliane pliz mi mwenyewe nategemea kuwafuga namalizia ujenz then nianze kazi
 
Hapo palikuwa na iyo hofu, ila baada ya kule maliasili , wale maafisa wakasema kwa aina hii ya kware ni ruksa tu kufuga. Ila kutahitaji vibali kusafirisha kwenda nje ya nchi.

Ginner nikikamilisha banda langu ntakuchek kaka nataka za wiki 4 pc 50.i hope hiyo bei itapungua. Vp nawezaje kutambua madume na majike wakiwa vifaranga?
 
Ginner nikikamilisha banda langu ntakuchek kaka nataka za wiki 4 pc 50.i hope hiyo bei itapungua. Vp nawezaje kutambua madume na majike wakiwa vifaranga?


Karibu mheshimiwa, inahitaji uzoefu sana kutambua madume na majike kwa kifaranga wa siku moja. Ila wakisha karibia week inakuwa rahisi kidogo kwenye utambuzi. Bei tutaelewana bila tatizo.
 
Haina noma mkubwa. Ngoja nimalizie kuweka fens then ntakushtua.ninahitaji haobwa wiki nne majike 25 na madume 10 kwa kuanzia.
Na vipi hao wa wiki 4 wanahitaji joto au nawaingiza bandari tu? Hiyo breed yako ni ya wapi mkuu?nimejaribu kufuatilia katika net wanasema breed nzuri ya mayai ni ya china na breed nzuri ya nyama ni ya japan kama sijakosea.
 
Back
Top Bottom