Ndege aina ya Kware: Kwa mahitaji ya mayai ya Kware, Vifaranga na Kware kwa ajili ya nyama n.k

Ndege aina ya Kware: Kwa mahitaji ya mayai ya Kware, Vifaranga na Kware kwa ajili ya nyama n.k

Tangaza kwamba yanaongeza nguvu za kiume yataisha fasta na utashindwa kulimudu soko.

Mwezi wa12 mwaka jana nilikuwa Tanga,kuna sehemu wanauza vinywaji asilia.

Kuna kinywaji wanaita "kware shake" hiyo kitu ni tamu balaa,na wanadai inaongeza nguvu za jinsia.

Inachanganywa mayai ya kware,maziwa na tende.Glass moja ya hiyo kitu ni 2,500/=
 
Kware kuwa tayari kwa nyama ni wiki 8 na atakuwa na gram 250 to 350 ni wadogo hivyo kwa kweli kwa jamii yetu bado soko la kware kama nyama bado bichi kwa sababu bidhaa hiyo ni mpya sana sokoni ila kuna baadhi ya mahoteli yanataka kwa kilo Tshs 8000 yaani unaweza kuona ni kware 3 mpaka wanne kwahiyo inakuwa changamoto kwahiyo bei ku cover uzalishaji na kupata faida nafikiri ndio maana watu wengi wanaamua kufuga kwa ajili ya mayai naamini wafugaji wakiwa wengi na wakubwa tunaweza kuona jinsi gani yakuweka mzizi kwenye nyama

ningeomba unifahamishe je inachukua mda gani kware kuwa tayari kwa kwa nyama? na je anakuwa na uzito wa kiasi gani wakati huo? je soko la kware(kama nyama) likoje? je kware mmoja bei yake tsh ngapi sokoni? natanguliza shukrani!
 
Hapo lazima mtu kwanza usikie moyo unaenda mbio na protein ya maziwa na mayai hiyo kitu lazima itakuwa tamu na mtu akipata kila siku mayai matatu tatu akikosa tende anaweka asali issue yake sio ndogo ndio maana kuna mahali katika hizi literature kuwa mayai ya kware ni mazuri kwa watoto kwa ajili yakuimarisha ubongo na wanaume walizidi miaka 37 ambao nguvu zimeanza kupungua basi inarudisha kwa sababu mayai haya na restorative power kwenye cell za binadamu.



Mwezi wa12 mwaka jana nilikuwa Tanga,kuna sehemu wanauza vinywaji asilia.

Kuna kinywaji wanaita "kware shake" hiyo kitu ni tamu balaa,na wanadai inaongeza nguvu za jinsia.

Inachanganywa mayai ya kware,maziwa na tende.Glass moja ya hiyo kitu ni 2,500/=
 
Mayai ya kware ambayo yana nutrients 78 zinazomsaidia binadamu katika afya yake yameonyesha kuwa na nguvu kubwa ya kuulinda mwili katika kupambana na magonjwa
 
Wandugu habari za Jumapili,
Nina hamu sana ya kuwafuga hawa ndege naona mwenye nao tuwasiliane.
 
Mayai haya ni mazuri kwa afya yako pata leo kwa ajili ya afya yako na familia yako kwa ujumla
 
Jali afya yako na tibu maradhi mbalimbali yanayokusumbua kwa kula mayai yenye virutubisho vingi kwa afya. Tunauza tray 18000 na sh 15000 kwa mteja wa zaidi ya tray tano. Tunapatikana dar es salaam na kwa wateja wa mikoani tunasafirisha mpaka wilayani kwako. Tuwasiliane kwa namba 0755815174
 
Habari wana JF tunauza vifaranga vya kware bei ni elfu 10 kimoja. Kuanzia kware 100 - 3000 na tunatoa mafunzo ya ufugaji kwa mteja. tembelea blog yetu hapa KWARE TANZANIA namba ya simu ni 0785402424
 
Last edited by a moderator:
Boss unapatikana mkoa gan?mi nipo kanda ya ziwa ninajipanga i hope feb nataka nianze na ufugaji wa kware angalau 50 wa kuanzia
 
Mkuu JasonJamestz mbona naona kama bei yako kubwa kidogo sorry lakini maana kutoka na hili soko huria inawezekana nikawa nimeuziwa vifaranga FEKI vya wiki 3 nilinunua 5000 nilinunua 30.

Now vipo kwenye banda baada ya wiki mbili vitaanza kutaga....Embu nisaidie kujua labda kuna species tofauti tofauti au wa kwako una wauza wakiwa na muda gani?
 
Anaehitaji vifaranga vya kware tuwasiliane tafadhali. Tunasafirisha kwenda popote hapa nchini.
Gharama zetu ni zifuatazo.

Siku moja - 2000
Wiki moja-3500
Wiki mbili-4500
Wiki tatu- 5000
Wiki nne-6000
Wiki tano-7500
Wiki sita-8000

Mayai pia yanapatikana kwa gharama ya 18000 tray kwa mayai ya kula na 20000 tray kwa mayai ya kutotoleshea.

Tuwasiliane kupitia 0755815174
 
Anaehitaji vifaranga vya kware tuwasiliane tafadhali. Tunasafirisha kwenda popote hapa nchini.
Gharama zetu ni zifuatazo.

Siku moja - 2000
Wiki moja-3500
Wiki mbili-4500
Wiki tatu- 5000
Wiki nne-6000
Wiki tano-7500
Wiki sita-8000

Mayai pia yanapatikana kwa gharama ya 18000 tray kwa mayai ya kula na 20000 tray kwa mayai ya kutotoleshea.

Tuwasiliane kupitia 0755815174

ukowapi?
 
Back
Top Bottom