Ndege aina ya Kware: Kwa mahitaji ya mayai ya Kware, Vifaranga na Kware kwa ajili ya nyama n.k

Ndege aina ya Kware: Kwa mahitaji ya mayai ya Kware, Vifaranga na Kware kwa ajili ya nyama n.k

J4 unanifurahisha sana, nani kakwambia kwale hawafugiki?
Kwa taarifa yako watu wanapiga pesa sana ukiwa na mayai ya kwale.
 
Jamani mmemwelewa. Huyu jamaa au mnakurupuka tu huyu jamaa ni mtaalam wa mafumbo nijuavyo Mimi kwale ninaemfahamu kwanza kwale hafugiki sasa afafanue ni kwale yupi ndio tuchamgie mada sio tukurupuke tu

mm nauza sanaa mawai ya kware pamoja na vifaranga. usiogope ni rahisi ufugaji wake sanaaa
 
Mayai ya kware ambayo ubura wake umekuwa ukielezwa kwa muda sasa yanapatikana kwetu kupitia simu no. 0715 284 187. Tuko Makabe/Mbezi Luisi. Vifaranga na hata kware wakubwa wanauzwa pia. Tray ya mayai ni shs. 20,000. Tunatoa elimu ya ufugaji wa kware na kuonyesha jinsi ya kufuga kwa kutumia shamba letu la mfano. Ziko faida nyingi zitokanazo na mazao ya kware kuanzia tiba, afya na hata uchumi. Changamkia fursa hii adimu.
 
Mayai ya kware ambayo ubura wake umekuwa ukielezwa kwa muda sasa yanapatikana kwetu kupitia simu no. 0715 284 187. Tuko Makabe/Mbezi Luisi. Vifaranga na hata kware wakubwa wanauzwa pia. Tray ya mayai ni shs. 20,000. Tunatoa elimu ya ufugaji wa kware na kuonyesha jinsi ya kufuga kwa kutumia shamba letu la mfano. Ziko faida nyingi zitokanazo na mazao ya kware kuanzia tiba, afya na hata uchumi. Changamkia fursa hii adimu.
hebu jifunzeni namna ya kufanya marketing,
weka hapa hizo faida nyingi kuanzia tiba, afya na uchumi.
mfanyabishara mzuri anapaswa kuhakikisha mteja wake hatumii nguvu kubwa kujua benafits za bidhaa husika.
Hebu amkeni bana.
 
Hapana shaka. Yako mengi ya kuelezea yatokanayo na faida za mazao ya kware. Ili tusiwachoshe wale ambao hawajawa tayari kwa huduma hii basi tunadhani kwa vile mawasiliano (0715 284 187) yametolewa anayehitaji maelezo hayo atafanya mawasiliano. Nakushukuru kwa changamoto.
 
Pole sana kwa waliokudanganya kuwa mnyama huyu hafugiki na wewe ukakubali ila kware anafugika kuna billionea anajulikana China ameupata kwa ajili ya kware angalia page ya kwanza kwenye hii thread utaona story yake. Na kuna kampuni moja ya Australia inauzwa kware laki moja kwa wiki nayo story yake imo kwenye hii thread. Kama walivyokueleza hapo juu wapo watu wengine wanafuga na vifaraga vipo ukitaka watakupatia ila mimi ninayo mayai yake na karibu vitu vingi katika level moja haiwezekani lakini kwenye hali fulani inakuwa inawezekana nafikiri unakumbuka darasa la kwanza 2 toa 3 ilikuwa haiwezekani ila darasa la tatu ni hasi 1 na hivyo hivyo inawezekana mambo ambayo wazazi wetu waliamini hayawezekani sasa yanawezekana. Karibu ujifunze uongeze ujunzi na uchumi wako.

Jamani mmemwelewa. Huyu jamaa au mnakurupuka tu huyu jamaa ni mtaalam wa mafumbo nijuavyo Mimi kwale ninaemfahamu kwanza kwale hafugiki sasa afafanue ni kwale yupi ndio tuchamgie mada sio tukurupuke tu
 
Duniani hakuna kitu rahisi ila uwezo Mungu aliouweka kwa binadamu ukiamua jambo unaweza. Ni madogo huo ukubwa ni mambo ya kuzumu tu hayo. Vyakula vya kware ni lazima viwe na protein yakutosha ili waweze kutaga na kwahiyo tunaongeza zaidi soya, na kware hatakiwi kabisa kula vyakula vyenye njama kwahiyo vyakula vyenye damu hawarusiwi na kwahiyo unajua hivyo vyakula ambavyo wanapewa ili watage vingi vina damu. Kwenye vyakula vyangu nahakikisha nina soya, ulezi na mtama wa kutosha.

Kwanini?
 
Ndi kuna watu walikuwa wanawapa vyenye damu na chakula vilivyochanganywa mifupa kama source ya calcium halafu kware wakawa wanakufa ndio hivyo vitu vinaatokea watu wanaanza kusema hawa hawafugikii kumbe wanachanganya chakula ambavyo sio vizuri kwa malezi ya kware.


Sasa hivyo umevitaja kwanin? KUna watu umeona wanawapatia?
 
Naomba tujenge utamaduni kwa kufanya atleast search kidogo kuhusu jambo lolote hata baada yakuwa na karibu miezi minne hapa kuongealea mayai ya kware bado mtu anacomment na wengine wengi hawana habari naomba tujifunze kusoma ili tuweze kufaidika karibuni mjipatie mayai ya kware ambayo ni kitu kizuri kwa ajili ya afya yako.
 
Pata mayai ya kware ambayo ni moja ya chakula bora sana kutokana na kuwepo na zaidi ya Nutrients 78 ambazo ni muhimu katika ujenzi wa afya ya binadamu.
 
Heri ya Mwaka mpya karibuni kupata mayai haya ya kware ambayo ni moja ya chakula bora sana katika mwili wa binadamu ipe afya yako umuhimu katika mwaka mpya huu afya yako ni muhimu kuliko kitu chochote kile itunze nayo ikutunze.
 
Katika jambo ambalo nimelifurahia sana katika kipindi hiki cha sikukuu watu wengi wameonyesha nia ya kufuga ambacho ni kitu kizuri kwasababu watu wengi watakuwa wamenufaika na uzuri wa mayai haya
 
Unapotumia haya mayai kwenye mlo wako utaona faida sifuatazo kwenye mwili wako ngozi kuwa laini kwasababu sumu itakuwa ikitolewa mwilini wako, nguvu za kijinsia zitakaa vyema na watu wengine wameona kupungua kwa uzito na kupata uwezo ukubwa wa kuongezeka kwa mmeng'enyo wa chakula.
 
Kutokana na faida nyingi za mayai haya naendelea kupata watu wanaosaidika kwa kuweka kwenye mlo wao hiki chakula bora ingawa wengi wamekuwa watu ambazo afya zao sio nzuri napenda watu watumie kujiweka vyema kuliko kutaka hiki kama dawa ambayo mimi siku zote nimekuwa nikisisitiza kuwa hiki ni chakula bora na kwakuwa watu wengi huwa hawapati mlo kamili ongezea haya kwenye mlo wako uone tofauti kwenye afya yako na familia.
 
Back
Top Bottom