Ndege aina ya Kware: Kwa mahitaji ya mayai ya Kware, Vifaranga na Kware kwa ajili ya nyama n.k

Ndege aina ya Kware: Kwa mahitaji ya mayai ya Kware, Vifaranga na Kware kwa ajili ya nyama n.k

Mayai ya kware kutokana na nutrients zilizopo yameeonyesha kuwa yanasaidia sana katika kutoa sumu mwilini na hivyo kumfanya mtu awe na afya njema na vile vile huongeza Cd 4 za mwili ambazo zinahusika katika kuongeza kinga ya mwili katika kupambana na magonjwa mbalimbali.
 
Kitu mayai ya kware yameonyesha kuwa moja ya chakula bora sana duniani jipatie kwa faida ya wewe na familia yako yote.
Ahsante
 
mayai ya kware ni mazuri kwa afya yako pata wewe na familia yako yote uone tofauti ya maisha
Karibu na Ahsante kwa kuwa mteja wangu
 
Kwa kawaida binadamu ameonyesha kutaka vitu rahisi tu katika kupata mafanikio lakini ukweli ili upate mafanikio kuna process yake na hivyo hivyo watu wangependa wapewe kidonge kimoja tu wapone kila kitu lakini ukweli katika kujenga afya kunhitaji vitu vingi kama kula mlo ulio kamil, kufanya mazoezi na kupata vyakula ambavyo vina uwingi wa nutrients zinazohitajika mwilini sasa moja ya vyakula sio kuwa ni pekee mojawapo ya vyakula vyenye nutrients nyingi kwa idada 78 ni haya mayai ya kware kwahiyo ukiongeza kwenye mlo wako mayai ya kware unapata faida ya kuwa na afya bora. Jipatie leo mayai ya kware kwa ajili ya afya yako na familia kwa ujumla.
 
Kwa kawaida binadamu ameonyesha kutaka vitu rahisi tu katika kupata mafanikio lakini ukweli ili upate mafanikio kuna process yake na hivyo hivyo watu wangependa wapewe kidonge kimoja tu wapone kila kitu lakini ukweli katika kujenga afya kunhitaji vitu vingi kama kula mlo ulio kamil, kufanya mazoezi na kupata vyakula ambavyo vina uwingi wa nutrients zinazohitajika mwilini sasa moja ya vyakula sio kuwa ni pekee mojawapo ya vyakula vyenye nutrients nyingi kwa idada 78 ni haya mayai ya kware kwahiyo ukiongeza kwenye mlo wako mayai ya kware unapata faida ya kuwa na afya bora. Jipatie leo mayai ya kware kwa ajili ya afya yako na familia kwa ujumla.
 
Sijawahi kujaribu kutotolesha kwa kutumia kuku kwa kuwa utotoleshwaji wao ni kazi ngumu kidogo ningekushauri upeleke kwenye machine maana kuna wakati nilipeleka mayai 400 nikapata 40 na wakati mwingine nikapata 60% ambayo ni nzuri hili ni moja ya changamoto ya kware na ndio maana utakuta vifaranga vyake ghali kidogo.

Kuku anaweza kuangua?
 
Kware toka enzi za mwana wa israel walipokuwa wanatoka Misri kuelekea kanani Mungu aliwapa wali kwahiyo kwa jinsi fulani inaashiria ndege hawa ndio walitakiwa waliwe na binadamu ila tukaishia kufuga kuku ila ni watamu na mayai yake yanafaida sana kwa mwili wa binadamu tembelea ULIMWENGU WA KWARE TANZANIA
 
Embu jiulize kwanini Mungu alipotaka kuwapa nyama mwana wa Israel kule jangwani hakuwapa kuku au ndege yoyote mwingine ila kware soma kutoka 16:13 tunajua walikula mana na waliletewa kware, kwa uelewa huo mnyama huyu ni muhimu katika afya ya binadamu

kweli kaka nimeona
 
Pata mayai haya kwa afya yakop na familia yako katika kipindi hiki cha mpaumziko.
 
Mayai ya kware katika moja ya virutubisho vingi vya ni pamoja na madina ya chuma yanayopatikana kwa wingi kwa wale watu wanaona tabu kula maini wanaweza pia kutumia badala yake na kupata faida zake

 
Mayai ya haya ya kware yameonekana vile vile yanasaidia katika kuongeza CD4 ndio maana watu walio na kinga za mwili chini wanashauriwa kula chakula hiki bora na hii inatokana na nutrients 78 zilizopo kwenye mayai haya zinasaidia kuongeza kinga ya mwili na kuweka uwe na afya njema wewe na familia yako.
 
Ongeza kwenye mlo wako mayai ya kware uone tofauti katika afya yako na familia yako zaidi ya kuongeza kinga mwilini CD4 pia yanasaidia sana katika kuondoa sumu mwilini jipatie wewe na familia yako yote.
 
Mayai ya kware ni muhimu katika kujenga mwili na kurudishia cell zilizoaribika za mwili pata leo kwa faida ya familia yako yote yanaweza kuliwa yakiwa mabichi, kuukaanga au kuechemshwa.
 
Sasa naona watanzania wemeanza kuelewa umuhimu wa mayai ya kware na jinsi kilivyo chakula bora mpaka watu wanakiita chakula dawa kwa sababu kina faida nyingi sana mwilini jipatie leo wewe na familia yako uone tofauti.
 
Napenda kuwatakia kila la heri katika sikukuu hii ya kristmas stay sober and alert and eat healthy do everything in moderations. God Bless you all.
 
Jamani mmemwelewa. Huyu jamaa au mnakurupuka tu huyu jamaa ni mtaalam wa mafumbo nijuavyo Mimi kwale ninaemfahamu kwanza kwale hafugiki sasa afafanue ni kwale yupi ndio tuchamgie mada sio tukurupuke tu
 
Back
Top Bottom