Ndege kubwa ya abiria ya C919 yashiriki kwenye Maonesho ya Ndege ya Singapore

Ndege kubwa ya abiria ya C919 yashiriki kwenye Maonesho ya Ndege ya Singapore

Kawaida hiyo angalia hii Boeing 787 dreamliner parts manufacturers
View attachment 2911815
Unachokosea kwenye comparison yako ni kwamba Boeing inposubcontract parts hizo siyo kuwa haina uwezo wa kuzitengeneza, inaweza kutengeza zote ndani kwa ndani bila kutegemea subcontractors. Lile queen of the sky lote limekuwa linatengezwa ndani ya Everrett kila kitu. Kwa Boeing, subcontractors hupunguza cost tu. On the other hand, CRJ iomeagiza vitu ambavyo haiwezi kuvitengeza yenyewe. Kwa majivuno ya wachina wangetaka watengene kila kitu chao wenyewe, lakini uwezo wao kwa wakati huu umeishia hapo.

Mwishoni mwa miaka ya tisini na mwanzoni mwa miaka ya 2000 walidukua michoro mingi sana ya technology kutoka kwenye makampuni ya marekani na ya Ulaya kabla cybersecurity haijawa issue. Walikwama kutengeza injini za GE na RR, wakatuma spy mmoja kuja physically USA kama mwanafunzi chini ya Profesa aliyekuwa anashirikiana na GE lakini akakamatwa na mpaka sasa bado yuko jela.
 
Hapo hakuna msaada… hapo ni ununuzi tu

Hata range ima engine ya ford

Kwa muelewa hiyo inaitwa kushare technology

Kuna ma kampuni duniani wamespecify kwenye certain parts za machineries eg GE ya marekani
Ndege imetengenezwa kwa critical components za makampuni ya nchi nyingine, Congress ya Marekani ikiamua kublock makampuni yake yasiuze bidhaa zake kwa ndege hiyo kwisha habari. Hiyo biashara inaendana na matakwa ya waliotoa components ikikiuka wanakata supply.

Marekani iliwahi kata mahusiano ya helicopters kwa China pale walipotumia civilian aviation technology kwenda kwenye military wakafanya dual use.
 
Unachoksea kwenye comparison yako ni kwamba Boeng inposubciontract parts hizo siyo kuwa haina uwezo wa kuzitengeneza, inaweza kutengeza zote ndani kwa ndani bila kutegemea subcontractors. Lile queen of the sky lote limekuwa linatengezwa ndani ya Everrett kila kitu. Kwa Boeing, subcontractors hupunguza cost tu. On the other hand, CRJ iomeagiza vitu ambavyo haiwezi kuvitengeza yenyewe. Kwa majivuno ya wachina wangetaka watengene kila kitu chao wenyewe, lakini uwezo wao kwa wakati huu umeishia hapo.

Mwishoni mwa miaka ya tisini na mwanozni mwa miaka ya 2000 walidukua michoro mingi sana ya technology kutoka kwenye makampuni ya marekani na ya Ulaya kabla cybersecurity haijawa issue. Walikwama kutengeza injini za GE na RR, wakatuma spy mmoja kuja physically USA kama mwanafunzi chini ya Profesa aliyekuwa anashirikiana na GE lakini akakamata na mpaka sasa bado yuko jela.
Una ongea ujinga tu hata kwa vitu usivyo fahamu
 
Wee jamaa unajua maana ya msaada ? Jinga kweli hili
Unataka kusema nini. Marekani mara ngapi inaachana na biashara unaweka sanctions, au Huawei ilipowekewa sanctions haikuwa inanunua American tech na kulipia patented rights?
Au Turkey ilivyotolewa kwenye F-35 ilikuwa haikuweka hela, au iliponyimwa Patriot ilikuwa hailipii?

Mbona UTC ya Marekani ilikuwa inafanya biashara na China kwenye critical components za helicopter, na sasa haifanyi. Marekani haangalii hela tu.
 
Unataka kusema nini. Marekani mara ngapi inaachana na biashara unaweka sanctions, au Huawei ilipowekewa sanctions haikuwa inanunua American tech na kulipia patented rights?
Au Turkey ilivyotolewa kwenye F-35 ilikuwa haikuweka hela, au iliponyimwa Patriot ilikuwa hailipii?

Mbona UTC ya Marekani ilikuwa inafanya biashara na China kwenye critical components za helicopter, na sasa haifanyi. Marekani haangalii hela tu.
Unajua maana ya msaada au unaropoka tu kufanya biashara na nchi fulani na baadae kusitisha kutokana na sababu zako ziwe za kiuchumi,kisiasa au kiulinzi huo ni msaada ?
 
Ndege imetengenezwa kwa critical components za makampuni ya nchi nyingine, Congress ya Marekani ikiamua kublock makampuni yake yasiuze bidhaa zake kwa ndege hiyo kwisha habari. Hiyo biashara inaendana na matakwa ya waliotoa components ikikiuka wanakata supply.

Marekani iliwahi kata mahusiano ya helicopters kwa China pale walipotumia civilian aviation technology kwenda kwenye military wakafanya dual use.
Siasa hizi

Usa hadi apple wanatoa china

Usidanganyike na propaganda z kijinga… they need each other

Hata hizo logo za makers zimebaki kwenye patent na branding tu… China ndio super producer wa usa peoducts

Congress wamegoma?
 
Una ongea ujinga tu hata kwa vitu usivyo fahamu
Wewe ni kati ya watanzania wengi ambao wanapoishiwa hoja hukimbilia matusi; Boeing wana uwezo wa kujenga ndege zao ndani ya Everett kwa kila kitu lakini subcontractors husaidia kupunguza gharama, na bado kuna ndege nyingi za Boeing ambazo zinatengezwa ndani tu bila kutumia subcontractors wa nje. Hizo parts za ndege za kichina wanazotoa nje ni kwa sababu hawawezi kuzitengeza wao wenyewe, siyo kwa sababu ya kupunguza gharama kwani cheap labor iko China.

Pata ushauri hapa njinsi ya kushiriki mijadara

 
Ndege imetengenezwa kwa critical components za makampuni ya nchi nyingine, Congress ya Marekani ikiamua kublock makampuni yake yasiuze bidhaa zake kwa ndege hiyo kwisha habari. Hiyo biashara inaendana na matakwa ya waliotoa components ikikiuka wanakata supply.

Marekani iliwahi kata mahusiano ya helicopters kwa China pale walipotumia civilian aviation technology kwenda kwenye military wakafanya dual use.
Hilo sio tatizo ukizuia watu wata innovate maisha yataendelea.
CHINA SIO ZIMBABWE MKUU.
Unazungumzia jamii ya watu skillfull.
Rejelea ban ya Google kwa Huawei China ili emerge kwa mtindo upi.
 
Unataka kusema nini. Marekani mara ngapi inaachana na biashara unaweka sanctions, au Huawei ilipowekewa sanctions haikuwa inanunua American tech na kulipia patented rights?
Au Turkey ilivyotolewa kwenye F-35 ilikuwa haikuweka hela, au iliponyimwa Patriot ilikuwa hailipii?

Mbona UTC ya Marekani ilikuwa inafanya biashara na China kwenye critical components za helicopter, na sasa haifanyi. Marekani haangalii hela tu.
Basi huo sio msaada hiyo ni biashara.
 
Wewe ni kati ya watanzania wengi ambao wanapoishiwa hoja hukimbilia matusi; Boeing wana uwezo wa kujenga ndege zao ndani ya Everett kwa kila kitu lakini subcontractors husaidia kupunguza gharama, na bado kuna ndege nyingi za Boeing ambazo zinatengezwa ndani tu bila kutumia subcontractors wa nje. Hizo parts za ndege za kichina wanazotoa nje ni kwa sababu hawawezi kuzitengeza wao wenyewe, siyo kwa sababu ya kupunguza gharama kwani cheap labor iko China.

Pata ushauri hapa njinsi ya kushiriki mijadara

Sio kama hawawezi bali uwezo wao kwasasa umeishia hapo.
Ila usitegemee CHINA atakaa abaki kutegemea miaka yote,muda utafika ataweka mbadala wa takriban kila kitu.
Ndio kwanza wameanza muda utasema.
 
Kawaida hiyo angalia hii Boeing 787 dreamliner parts manufacturers
View attachment 2911815
Hapo hamna part hata moja ambayo kampuni ya Marekani haiwezi tengeneza. Yani makampuni ya nje yote yakisema yaache kuiuzia Boeing vifaa, makampuni ya Marekani yanavitoa wala sio yanaanza kujifunza kuunda. Kilichotafutwa sanasana ni bei.

Kwa China kuna parts nyingi muhimu ambazo hawawezi, isipouziwa hizo parts ndege zinakwama.
 
Wewe ni kati ya watanzania wengi ambao wanapoishiwa hoja hukimbilia matusi; Boeing wana uwezo wa kujenga ndege zao ndani ya Everett kwa kila kitu lakini subcontractors husaidia kupunguza gharama, na bado kuna ndege nyingi za Boeing ambazo zinatengezwa ndani tu bila kutumia subcontractors wa nje. Hizo parts za ndege za kichina wanazotoa nje ni kwa sababu hawawezi kuzitengeza wao wenyewe, siyo kwa sababu ya kupunguza gharama kwani cheap labor iko China.

Pata ushauri hapa njinsi ya kushiriki mijadara

Na bushara ni gharam ili bizaa iweze kushindana na zile zilizopo Sokoni uuze upate faida na utoe ajira na sio kujitengeenzea tu kama urembo.nanai atanunua ndege ya 200b kwa billion 600 kisa tu umeundiwa marekan hamjifunzi tu kuhusu youton na scania
 
Hapo hamna part hata moja ambayo kampuni ya Marekani haiwezi tengeneza. Yani makampuni ya nje yote yakisema yaache kuiuzia Boeing vifaa, makampuni ya Marekani yanavitoa wala sio yanaanza kujifunza kuunda. Kilichotafutwa sanasana ni bei.

Kwa China kuna parts nyingi muhimu ambazo hawawezi, isipouziwa hizo parts ndege zinakwama.
Atengeneze kama hazijamdodea au atatengeneza kama urembo na sio kushindana kwenye soko
 
Naona umejigeuza kuwa msemaji wa boeing kwa sababu ya ulevi na mahaba uliyonayo kwa marekani. Hongera sana omba uraia kabisa mkuu.
Unachoksea kwenye comparison yako ni kwamba Boeng inposubciontract parts hizo siyo kuwa haina uwezo wa kuzitengeneza, inaweza kutengeza zote ndani kwa ndani bila kutegemea subcontractors. Lile queen of the sky lote limekuwa linatengezwa ndani ya Everrett kila kitu. Kwa Boeing, subcontractors hupunguza cost tu. On the other hand, CRJ iomeagiza vitu ambavyo haiwezi kuvitengeza yenyewe. Kwa majivuno ya wachina wangetaka watengene kila kitu chao wenyewe, lakini uwezo wao kwa wakati huu umeishia hapo.

Mwishoni mwa miaka ya tisini na mwanozni mwa miaka ya 2000 walidukua michoro mingi sana ya technology kutoka kwenye makampuni ya marekani na ya Ulaya kabla cybersecurity haijawa issue. Walikwama kutengeza injini za GE na RR, wakatuma spy mmoja kuja physically USA kama mwanafunzi chini ya Profesa aliyekuwa anashirikiana na GE lakini akakamata na mpaka sasa bado yuko jela.
 
Back
Top Bottom