Ndege kubwa ya abiria ya C919 yashiriki kwenye Maonesho ya Ndege ya Singapore

Mbona kuna kiwanda kinatengeneza ndege Morogoro tu hapo!
 
Siasa hizi

Usa hadi apple wanatoa china

Usidanganyike na propaganda z kijinga… they need each other

Hata hizo logo za makers zimebaki kwenye patent na branding tu… China ndio super producer wa usa peoducts

Congress wamegoma?
Cheap labor tu kule inafuatwa
 
Naona umejigeuza kuwa msemaji wa boeing kwa sababu ya ulevi na mahaba uliyonayo kwa marekani. Hongera sana omba uraia kabisa mkuu.
Na wewe ni Msemaji wa China kwa sababu ya ulevi na mahaba uliyonayo kwa China. Hongera sana kwa urai wako wa China
 
Kwenye teknolijia kubwa Dunia inategemeana, ila sisi waafrika tunatoa malighafi mfano madini ya kutengeneza betri
 
Ni vizuri kila msomaji akaona hiyo ndege imetengenezwa kwa msaada wa kina nani. Tazama hapa critical components zinatoka kwa nani. Wachina wana mabawa, mkia, sehemu ya kukaa abiria na kifuniko cha radar cone. View attachment 2910801
Kama gari linaunganishwa kwa vipuri kutoka makampuni mbalimbali sembuse ndege?saa nyingine mtumiage akili.
 
Kama gari linaunganishwa kwa vipuri kutoka makampuni mbalimbali sembuse ndege?saa nyingine mtumiage akili.
Sasa unakasirika nini, si nimeonyesha critical components zimetoka wapi. Mbona asiyetumia akili ni wewe kukasirikia reality
 
Sasa unakasirika nini, si nimeonyesha critical components zimetoka wapi. Mbona asiyetumia akili ni wewe kukasirikia reality
Sijakasirika popote bali nimekushauri utumie akili.
Hebu rudia kusoma hiyo Coment yako ili ujue tatizo lako liko wapi.
 
natamani siku moja nisike kuna ndege imetengenezwa uarabuni na mwarabu, hata kama ni ndege ya mabox tu. watapanda ndege za makafiri hadi lini hawa jamaa?
hahahaaa tujiombee na sisi au sisi sio binadamu ?
 
Unaposema imetengenezwa kwa msaada ni kama vile kuna wahandisi toka nje wamesaidia.
Kauli sahihi sema kuwa wametengeneza kwa vifaa tokea wapi.
Ila huo ni mwanzo usitegemee kuwa watabaki hivyo hivyo.
kiufupi inaitwa Assembling , au sio sahihi ?
 
Unajua maana ya msaada au unaropoka tu kufanya biashara na nchi fulani na baadae kusitisha kutokana na sababu zako ziwe za kiuchumi,kisiasa au kiulinzi huo ni msaada ?
wewe na hela zako usiwasumbue mabeberu , jitegemee uone ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…