Ndege maalum iliyoondoka na Kipchoge ambaye anakwenda kuweka rekodi mpya duniani

Hapo pa Tanzania bro umetudanganya mchana kueupe Tanganyika jina la mkoloni, Zanzibar jina la mwarabu/mkoloni so you combined two colonialistic terms to form Tanzania... Danganyika/Tanganika/changanyika Yani mnachanganyikiwa kwa kila Jambo. Then you guys are the only country to have been colonised by 3 powers Arabs, Germans and British resulting to your poor state of mind literally and figuratively angalia mpaka how you are fairing economically.
 
Hv watu wanavyolalamika wazungu walikuja kutuibia rasilimali africa what made our fore fathers wasiende ulaya wao wakaibe rasilimali wazilete Africa kuendeleza bara letu, au america ulaya kote huko hakukuwa na rasilimali Africa tu ndo zipo! Tuache kulalama wazee wetu walikuwa wamelala usingiz na sasa bado tumelala,
Kama mtu alipewa kioo akabidilishana na diamond unamlaumu nani akili yako ndo imekuonesha kioo ni kizuri deal with it,
Tuacge kulalama inachotkiwa turekebeshe tunapoweza japo itachukua yrs, unawalaumu ila kila kitu magari meli ndege mpka wembe unatoka kwao na unanunua,
Tungeanza kutatua changamoto zetu ina our way ili tusiagize vitu china angalau tungeanza taratibu,
But we are hopeless hakuna kubwa tunaloweza kufanya zaidi ya kulaumiana na siasa za kukomoana over
 
[emoji1381]‍♂️[emoji1381]‍♂️[emoji1381]‍♂️[emoji1381]‍♂️
 
Tumeaminishiwa huku kuwa Nchi ya Asali na Maziwa haina mapungufu haswa ya maji REDEEMER. Vipi? Njoo ufanye mapambio

Na sisi waafrica si tungeneze ugonjwa wetu tuwapelekee ulaya na america wapungue tuwatawale,
What we can do better ni kulalamika na kukiomoana waafrica ndo tulivyo, zama hz bado tunashare maji kisimani na punda halaf tunalaumu wazungu ambao hadi vyandarua wanatupa msaada, tuoneshe hata umwamba tu wa kutengeneza only source of energy tuisambaze africa nzima tuwakomoe waarabu na wazungu na wachina wanaotuzia mafuta nyaya za umeme na uchafu mwingine ,
TUMELALA tupambane na siasa za kujazana chuki tu kwamba flni ndo mbaya ndo tunachoweza
 
 
😆😆😆😆 Walipaita hivyo ila sisi wenye nchi tukabadili na kukataa legacy yao na kupaita Kariakoo, ninyi mlikubaliana nao na kuwaona wao ndio wenye akili kuwazidi wanaume wote wa Kenya opps Kirinyaga 😆😆😆

Mbona Mkabadili kutoka Tanganyika mkajiita Tanzania kwa sababu ya Muarabu?
 

Napendanga vile wee huvua hawa wasee nguo hadi ndethe yani.
 

Dude, this is the standard design of most court of arms around the world and I see no semblance in ours vs yours. Yours looks lazy and naive, ours looks like it was done by a professional. See courts of arms of other countries around the world.

Uganda


Australia


United Kingdom


France



Nigeria



Acha sifa za kijinga
 
Hilo jina sio la Mzungu mzee, hilo ni jina la kiafrika kabisa na wala halikubadilishwa sababu lilikuwa la Mzungu bali sababu ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Hilo jina ndio linatumika kwenye Lake Tanganyika world's most deepest lake kwa nchi zote zinazopakana nalo, Burundi, DRC na Zambia na pia kuna wilaya inaitwa Tanganyika bila kusahau hata DRC kuna province inaitwa Tanganyika province na bado ni jina rasmi la kuongelea Tanzania Bara kama hutaki kuijumuisha Zanzibar.
 
Hata Congo ni Jina Kongo la wa bemba..Lakini nimekuelewa
 
Kenya = Kīrīma kīa Mwene nyaga (Mountain of Gìkuyu god) Shortened to Ķīrīnyaga and mis spoken by englishmen as "Keenya"
Kiima Kiinya spoken by Brits as Keenya...hata mwendawazumu ataona kuwa mzungu alifika kwa wakamba Kwanza kabla kwa mkikiyu akili timamu😁😁😁 ambaye alizuia mzungu kwa muda mrefu Sana kuingia The now defunct Central Province. Btw you can see My.Kenya from ukambani . Umesomea wapi gikuyu?
 
😁😁😁 Yani dunia ya kisasa technology inatumika kila mahali hata riadha...man is evolving and fast. Hii marathon najua wadau/sponsors Ni wengi na hela itakayojengwa Ni nyingi bila kusahau bendera na jina tajika Ni Kenya. We are on the world map again.
😁😁😁 Yani dunia ya kisasa technology inatumika kila mahali hata riadha...man is evolving and fast. Hii marathon najua wadau/sponsors Ni wengi na hela itakayojengwa Ni nyingi bila kusahau bendera na jina tajika Ni Kenya. We are on the world map again.
 
HEHEHE
 



🦁🏆💜​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…