Ndege maalum iliyoondoka na Kipchoge ambaye anakwenda kuweka rekodi mpya duniani

Ndege maalum iliyoondoka na Kipchoge ambaye anakwenda kuweka rekodi mpya duniani

Pointi ya msingi ni nani kati yetu bado anaateseka kwenye umaskni baada ya kunyonywa na mabeberu tangu enzi zileee....inatia huruma mpaka leo hamjajikomboa, mpo maskini wa kutupwa ndani ya LDC, na hakuna Mtanganyika (jina mlilopewa na mbeberu) ambaye amefaulu kutajwa kwenye umiliki wa uchumi wa nchi.
Hahaha rudisha makanyagio hapa 👇👇👇
Mzungu hoyee
 
Wacha...inauma lkn nikuzoea tu...
Ndo manake hawatoi hukumu mpka mkulu atoe agizo...

Eti mtu unalazimishwa ukubali kesi halafu ndio ulipe fine...hatari sana walai
aiseeee wanaume watz wanavaa marinda mazee....kumbe usenge ulianza zamaniii... 😀
 
Hawez vunja hiyo record tupo hapa labda wasimamishe saa akimbie kwanza kama dakika kumi ndo waanzishep
 
Those are Kenyas agricultural produce;coffee, pyrethrum, sisal, tea, maize and pineapples! Eti magugu [emoji23]

Eti Agricultural produce,
And Hunger sucks you on daily bases [emoji2]
 
Hii yote ni miradi ya mabeberu, Ebola HIV chanzo cha magonjwa yote haya wanasema ni nyani lakini hao nyani wapo Africa kwa maelfu ya miaka na waafrika wamekua miaka yote hiyo wakikaa nao kama pets na hawajawahi kupata Ebola wala HIV ila hao nyani wameanza mchakato wa kusambaza viruses vya Ebola na HIV miaka hii ya hivi karibuni.
Ebola imetoka marekani na HIV ikatoka Canada,lengo Lao ni kulimiliki hili bara letu na hawawezi wakalimiliki kama tupo wengi lazima watafute mbinu ya kutupunguza Kwa vyovyote vile.Mungu atukumbuke na atujalie kheri watu weusi tuwe na umoja tuweze kushinda hawa nguruwe nyeupe.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Ebola imetoka marekani na HIV ikatoka Canada,lengo Lao ni kulimiliki hili bara letu na hawawezi wakalimiliki kama tupo wengi lazima watafute mbinu ya kutupunguza Kwa vyovyote vile.Mungu atukumbuke na atujalie kheri watu weusi tuwe na umoja tuweze kushinda hawa nguruwe nyeupe.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍

Engineer kumbe sometimes zimo? Umetoa one of the sobererest comment ever 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👍
 
Tumeaminishiwa huku kuwa Nchi ya Asali na Maziwa haina mapungufu haswa ya maji REDEEMER. Vipi? Njoo ufanye mapambio
Hali ya upatikanaji wa maji Tanzania huwezi fananisha na Kenya, yaani upatikanaji wa maji vijijini kwa Tanzania, Kenya haijafika hata nusu kwa mijini, imagine Nairobi tu hakuna maji, what about Lordwa?
 
Tumeaminishiwa huku kuwa Nchi ya Asali na Maziwa haina mapungufu haswa ya maji REDEEMER. Vipi? Njoo ufanye mapambio
Tanzania mpaka rural areas mifugo inakunywa maji ya taps yaani kama binadamu vile, standard hii wakazi zaidi ya 50% wa Nairobi hawapati hii privilege

 
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]

Engineer kumbe sometimes zimo? Umetoa one of the sobererest comment ever [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji106]
Chunga usinitibue mwaya.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Ni nchi 6 ambazo zilibadilisha majina yao baada ya kupewa na Mkoloni
1. Congo -> Zaire (baadaye waka rudia jina congo)
2.Upper volta - > Bukinafaso
3. Gold Coast - > Ghana
4. Northern Rhodesia - > Zambia
5. Southern Rhodesia - > Zimbambwe
6. Tanganyika+ zanzibar - > Tanzania
Tanzania chini ya Mw. Nyerere ilikuwa ya kwanza kuondoa jina la mkoloni kwa nchi huru yao.
Miafrika mingine bado wanashikilia majina walio pewa na mkoloni
 
Tanzania mpaka rural areas mifugo inakunywa maji ya taps yaani kama binadamu vile, standard hii wakazi zaidi ya 50% wa Nairobi hawapati hii privilege


Huko Mapadlocks alikuwa anaitishwa maji Ni longindo??
Tanzania mpaka rural areas mifugo inakunywa maji ya taps yaani kama binadamu vile, standard hii wakazi zaidi ya 50% wa Nairobi hawapati hii privilege


Huko Mapadlocks alikuwa anaitishwa maji Ni longindo??
 
Back
Top Bottom