Ndege maalum iliyoondoka na Kipchoge ambaye anakwenda kuweka rekodi mpya duniani

Ndege maalum iliyoondoka na Kipchoge ambaye anakwenda kuweka rekodi mpya duniani

Aliyepaniki ni wewe umeandika insha, jina Tanga nyika ni la Kiswahili, lakini aliyeagiza litumike ni Muingereza, soma historia ya nchi yako.
Nchi yenu haina tajiri mweusi ndani ya kumi bora wanaoimiliki nchi.
Hakuna mtanzania anaelipa kodi ya nyumba kwa mhindi, muarabu au mchina, Kenya Nairobi na Estates za kutosha zinamilikiwa na wageni, wachina wanakuja wanawang'oa kwenye ardhi yenu na kuwapangishia nyumba kwenye nchi yenu wenyewe

Tanzania kwa Dar na mikoa yote 90% ya maeneo yote ya CBD wamiliki wake ni watanzania kupitia NHC hata skyscrapers Tanzania majority zinamilikiwa na watanzania sio Kenya skyscrapers almost zote za wageni.
 
sisi watanzania tupe majungu mtu akionekana anaanza kufanikiwa kidogo tuuu anaanza kuchukiwa na jamii yote inayomzunguka- utashinda bwana kipchoge kazaa mwamba.
 
Eti Muingereza
Mjerumani kaja kaikuta Tanganyika na kaiheshimu mpaka Muingereza kamuiga
Wapi, tatizo nyie wazembe wa kusoma, mnategemea pumba mnazodanganyana vijiweni, nyie hamkua mnajijua wala kujifahamu, kabla vita vikuu vya kwanza, mlikua mnamilikiwa na Mjerumani ambapo alikua anawaita German East Africa (GEA), alipopigana na muingereza kule kwao, ndio baada ya Armistice of 11 November 1918 muingereza akawachukua na kuwapa jina "Tanganyika".
Leo hii muarabu na muhindi ndiye anawamiliki
 
Wapi, tatizo nyie wazembe wa kusoma, mnategemea pumba mnazodanganyana vijiweni, nyie hamkua mnajijua wala kujifahamu, kabla vita vikuu vya kwanza, mlikua mnamilikiwa na Mjerumani ambapo alikua anawaita German East Africa (GEA), alipopigana na muingereza kule kwao, ndio baada ya Armistice of 11 November 1918 muingereza akawachukua na kuwapa jina "Tanganyika".
Leo hii muarabu na muhindi ndiye anawamiliki
Jina Tanganyika limekuwepo kabla ya outsiders yeyote kuingia Tanganyika, sio Germany sio Britain alitunuku Tanganyika hilo jina, limekuwa hivyo toka African trade caravans tulizokua tukifanya na territories, kingdoms na miji tofauti ndani ya bara la Africa hasa kusini mwa Bara.

Nenda Makumbusho ya Taifa Dar kwa msaada zaidi.
 
😂😂😂 Halafu mmejaza kichaka cha magugu hapo kwenye coat of arms yenu mkifikiri sisi Tanzania tumechora hiyo mimea kwa bahati mbaya au kama pambo wakati yana significance kubwa sana kuhusu muungano wa Tanganyika and Zanzibar

View attachment 1226614
Those are Kenyas agricultural produce;coffee, pyrethrum, sisal, tea, maize and pineapples! Eti magugu 😂
 
Jina Tanganyika limekuwepo kabla ya outsiders yeyote kuingia Tanganyika, sio Germany sio Britain alitunuku Tanganyika hilo jina, limekuwa hivyo toka African trade caravans tulizokua tukifanya na territories, kingdoms na miji tofauti ndani ya bara la Africa hasa kusini mwa Bara.

Nenda Makumbusho ya Taifa Dar kwa msaada zaidi.

Tanga na nyika ni maneno mawili ya Kiswahili yaliyokuwepo kabla hamjaja kubakwa na wakoloni, ila Muingereza ndiye aliamua taifa lenu liitwe Tanganyika na kabla ya hapo Mjerumani alikua anaita hilo eneo lake kuwa German East Africa.
 
Tanga na nyika ni maneno mawili ya Kiswahili yaliyokuwepo kabla hamjaja kubakwa na wakoloni, ila Muingereza ndiye aliamua taifa lenu liitwe Tanganyika na kabla ya hapo Mjerumani alikua anaita hilo eneo lake kuwa German East Africa.
Tanganyika ni uafrika mtupu toka enzi za uchifu hata wakoloni hawajaingia Africa, watu wa upande na eneo hili lilijulikana kwa jina hilo, usitake kutulazimisha kuwa mapoyoyo kama ninyi wakenya, muunganiko wa makabila ya upande huu yalikua organised mpaka kuwa na jina Common la utambulisho huku ninyi wana Kirinyaga mkiwa hamna hili wala Lile mpaka Muingereza akaja kuwachomeka akili ambayo mlikua hamna, Harambee yenyewe ni wahindi wamewapa yaani ninyi ni zero brains

Screenshot_2019-10-08-15-45-33.png
 
Mjerumani alikua akiita german east african muingereza ndio kaamua kuita tanganyika
Tanganyika ni uafrika mtupu toka enzi za uchifu hata wakoloni hawajaingia Africa, watu wa upande na eneo hili lilijulikana kwa jina hilo, usitake kutulazimisha kuwa mapoyoyo kama ninyi wakenya, muunganiko wa makabila ya upande huu yalikua organised mpaka kuwa na jina Common la utambulisho huku ninyi wana Kirinyaga mkiwa hamna hili wala Lile mpaka Muingereza akaja kuwachomeka akili ambayo mlikua hamna, Harambee yenyewe ni wahindi wamewapa yaani ninyi ni zero brains

View attachment 1226754
 
Mjerumani alikua akiita german east african muingereza ndio kaamua kuita tanganyika
Kwa hivyo hayo maneno Tanga na Nyika ni Muingereza kaja nayo?, Mjerumani aliita Germany East Africa, Burundi na Rwanda ikiwemo, msijifanye mnajua sana history za watu kuliko wenyewe wakati ninyi hata jina la nchi yenu mmeshindwa kulicoin mpaka Muingereza kaingilia kati, Muhindi nae kaja kuokoa jahazi kwenye national motto, mlichofaulu ni kuiba coat of arms ya Tanzania.
 
Tanganyika ni uafrika mtupu toka enzi za uchifu hata wakoloni hawajaingia Africa, watu wa upande na eneo hili lilijulikana kwa jina hilo, usitake kutulazimisha kuwa mapoyoyo kama ninyi wakenya, muunganiko wa makabila ya upande huu yalikua organised mpaka kuwa na jina Common la utambulisho huku ninyi wana Kirinyaga mkiwa hamna hili wala Lile mpaka Muingereza akaja kuwachomeka akili ambayo mlikua hamna, Harambee yenyewe ni wahindi wamewapa yaani ninyi ni zero brains

View attachment 1226754

Nazungumza kuhusu nani aliamuru nchi yenu iitwe Tanganyika, kabla hapo mliitwa German East Africa, walikua wananyang'anyana nchi hiyo ni kama hakukua na wenyeji.
 
Nazungumza kuhusu nani aliamuru nchi yenu iitwe Tanganyika, kabla hapo mliitwa German East Africa, walikua wananyang'anyana nchi hiyo ni kama hakukua na wenyeji.
Walikuta inaitwa Tanganyika ndio wakaliendeleza hilo jina, German East Africa ilijumuisha Rwanda na Burundi ambazo hazikua zikiitwa Tanganyika, ninyi walikuja kwenu wakakuta ni pori lisolo na mpangilio hata eneo halina address ikabidi wawaulize kwani hicho kichuguu kinaitwaje mkajibu Kirinyaga basi Muingereza akawaambia takataka yote hiyo ya nini complicated hivyo?

Akawaambia kuanzia leo hili pori lililokosa mwenye akili litaitwa Kenya, mkajibu tawire bhabha ndivyo itakavyokua hata mkiondoka na milele amina sababu sisi hiyo akili ya kuipa jina nchi yetu hatunayo, basi nyapara wa Muingereza, Muhindi nae akawapa na motto wa nchi kazi yenu ikawa ni kuiba kile Tanzania imetengeneza kwa akili kubwa mpaka wazungu wanashangaa tumewezaje kutoa coat of arms nga'aring'ari hivyo ninyi wezi mkaiba
unnamed.png
 
Walikuta inaitwa Tanganyika ndio wakaliendeleza hilo jina, German East Africa ilijumuisha Rwanda na Burundi ambazo hazikua zikiitwa Tanganyika, ninyi walikuja kwenu wakakuta ni pori lisolo na mpangilio hata eneo halina address ikabidi wawaulize kwani hicho kichuguu kinaitwaje mkajibu Kirinyaga basi Muingereza akawaambia takataka yote hiyo ya nini complicated hivyo?

Akawaambia kuanzia leo hili pori lililokosa mwenye akili litaitwa Kenya, mkajibu tawire bhabha ndivyo itakavyokua hata mkiondoka na milele amina sababu sisi hiyo akili ya kuipa jina nchi yetu hatunayo, basi nyapara wa Muingereza, Muhindi nae akawapa na motto wa nchi kazi yenu ikawa ni kuiba kile Tanzania imetengeneza kwa akili kubwa mpaka wazungu wanashangaa tumewezaje kutoa coat of arms nga'aring'ari hivyo ninyi wezi mkaiba
View attachment 1226776

Hii hata upindishe kwa insha kiasi gani ndio ukweli, Mjerumani wakati anabaka mababu zenu alipaita German East Africa (GEI), akatolewa nje nje mkapata mume mpya Muingereza akasema paitwe Tanganyika.
 
Hii hata upindishe kwa insha kiasi gani ndio ukweli, Mjerumani wakati anabaka mababu zenu alipaita German East Africa (GEI), akatolewa nje nje mkapata mume mpya Muingereza akasema paitwe Tanganyika.
Kwani nimekuambia napinga kwamba hawajaita Tanganyika? Yeah Muingereza amekuja akaiita Tanganyika kama alivyoikuta, ni tofauti na alivyoikuta Kirinyaga na kuiita Kenya, huku alikuta Tanganyika na kuheshimu hilo.
 
Kwani nimekuambia napinga kwamba hawajaita Tanganyika? Yeah Muingereza amekuja akaiita Tanganyika kama alivyoikuta, ni tofauti na alivyoikuta Kirinyaga na kuiita Kenya, huku alikuta Tanganyika na kuheshimu hilo.

Hatimaye umeingia nilipotaka ukae, maamuzi ya kuitwa Tanganyika yalikua ya Muingereza baada ya kumtoa Mjerumani, nyie hamkua na usemi wowote, hivyo hamuna jeuri ya kumcheka yeyote maana mababu zenu nao walikua mazombi wa kuruhusu ardhi yao igombaniwe na kupewa majina.
Hiyo Dar unakoishi mabandani jina lake ni la muarabu ambaye leo hii akiwa na muhindi wanashikilia uchumi wenu, ndio matajiri kumi bora nchi yote.
 
Back
Top Bottom