Nini kinawafanya marais wetu waliostaafu na waliopo madarakani kushindwa ama kuogopa kuonesha mali zao ikiwemo vitu wanavyomiliki?
Je, ni wizi? Kwamba mali walizo nazo walozipata kwa wizi?
Je, ni wivu? Kwamba wanaogopa kuonewa wivu na kundi kubwa la watu wanaowazunguka na kuwafahamu?
Kwanini hatuoni hoteli, mabasi, ndege ama taxi zimeandikwa;-
Rais Samia, Mkapa, Kikwete, Nyerere, Mwinyi ama Magufuli?
Nimamaliza!
Je, ni wizi? Kwamba mali walizo nazo walozipata kwa wizi?
Je, ni wivu? Kwamba wanaogopa kuonewa wivu na kundi kubwa la watu wanaowazunguka na kuwafahamu?
Kwanini hatuoni hoteli, mabasi, ndege ama taxi zimeandikwa;-
Rais Samia, Mkapa, Kikwete, Nyerere, Mwinyi ama Magufuli?
Nimamaliza!