Ndege-vita za Israel(IAF) zatamba kwenye mazishi ya Hassan Nasrallah huko Beirut, Lebanon

Ndege-vita za Israel(IAF) zatamba kwenye mazishi ya Hassan Nasrallah huko Beirut, Lebanon

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
875
Reaction score
633
Ndege-vita za Jeshi la Israel leo hii zimekuwa zikitamba kwenye anga la Beirut wakati wa mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah aliyeuwawa na majeshi ya Israel Sept 27,2024 saa 12:21 jioni. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanja I hapo zikiwa kwenye speed na zikiwa kwenye “After-Burner” hivyo kusababisha mtafaruku mkubwa uwanjani hapo na ililazimu mtangazaji kuwatangazia watu watulie wasibabaike. Uwanjani hapo walikuwepo viongozi wakuu kutoka Yemen,Iran na nchi zingine zinazounga mkono Magaidi hao wa Hezbollah. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanjani hapo zikiwa kwenye Formation ya Arrowhead
 
Kelele za chura yaani kujipitisha ili mradi na wao waonekane wamo washukuru Serikali ya Lebanon US kaiweka mfukoni.
 
Kwani wewe mbona unafuatilia mambo haykuhusu 🤣🤣wewe ni mkristo hao mayahudi sio wakristo jitambue shobo mbaya sana.
Kwa taarifa yako tu wakristo na Wayahudi hata siku moja ha uwięzi kuwatenganisha maana Bila Wayahudi Ukristo usingekuwepo na Yesu alikuwa Muyahudi akina Daud,Saul na mitume wengine walikuwa wayahudi sasa ninyi na Shobo zenu mnawatenganisha vipi?. Pia nikutaarifu tu ukimuona Mkristo anapingana na Israel au wayahudi jua huyo alisha-asi siku nyingi amebakia jina tu. Wakristo na Wayahudi ni sawa na Maji na Samaki!!!. Kama kubwabwaja tu endeleeni kubwabwaja lakini huwezi kuwatenganisha watu hao!!
 

Attachments

  • IMG_1105.png
    IMG_1105.png
    646.5 KB · Views: 2
Kuwaonyesh kama tunataka tunageuza uwanja kifusi 😁☺😁 nimecheka sana vipi ayatollah hajakojoa kweli
Ayatollah kapindua Dola Iran kipindi anatumia smg uje umtishe na hivyo vibajaji. Walitamani watu wasije kwenye mazishi ya kipenzi chao sasa watu 1.4 milion+ wamefika beirut wakiwa na jambo lao
 
Kwa taarifa yako tu wakristo na Wayahudi hata siku moja ha uwięzi kuwatenganisha maana Bila Wayahudi Ukristo usingekuwepo na Yesu alikuwa Muyahudi akina Daud,Saul na mitume wengine walikuwa wayahudi sasa ninyi na Shobo zenu mnawatenganisha vipi?. Pia nikutaarifu tu ukimuona Mkristo anapingana na Israel au wayahudi jua huyo alisha-asi siku nyingi amebakia jina tu. Wakristo na Wayahudi ni sawa na Maji na Samaki!!!. Kama kubwabwaja tu endeleeni kubwabwaja lakini huwezi kuwatenganisha watu hao!!
Mbona ni dini mbili tofauti ,wwe ni Mk yule jamaa mpaka umezeeka ila bado unafuatilia mambo hayakuhsu.

Lete mambo yanajenga sio kusambaza uhasama kila siku🤣🤣
 
Ndege-vita za Jeshi la Israel leo hii zimekuwa zikitamba kwenye anga la Beirut wakati wa mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah aliyeuwawa na majeshi ya Israel Sept 27,2024 saa 12:21 jioni. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanja I hapo zikiwa kwenye speed na zikiwa kwenye “After-Burner” hivyo kusababisha mtafaruku mkubwa uwanjani hapo na ililazimu mtangazaji kuwatangazia watu watulie wasibabaike. Uwanjani hapo walikuwepo viongozi wakuu kutoka Yemen,Iran na nchi zingine zinazounga mkono Magaidi hao wa Hezbollah. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanjani hapo zikiwa kwenye Formation ya Arrowhead
Wayahudi hawana baya na wao wameamua kushiriki kumzika Nasrallah kwa heshima zote ndo maana na ndege zinapitapita hapo!!
 
Ndege-vita za Jeshi la Israel leo hii zimekuwa zikitamba kwenye anga la Beirut wakati wa mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah aliyeuwawa na majeshi ya Israel Sept 27,2024 saa 12:21 jioni. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanja I hapo zikiwa kwenye speed na zikiwa kwenye “After-Burner” hivyo kusababisha mtafaruku mkubwa uwanjani hapo na ililazimu mtangazaji kuwatangazia watu watulie wasibabaike. Uwanjani hapo walikuwepo viongozi wakuu kutoka Yemen,Iran na nchi zingine zinazounga mkono Magaidi hao wa Hezbollah. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanjani hapo zikiwa kwenye Formation ya Arrowhead
wameishia tu kusema walau wakibaru, wakati allah mwenyewe hana hata nguvu za kuwasaidia dhidi ya myahudi. ni kapepo fulani ka kiarabu wala sio Mungu. duniani miungu ni migi, ila Mungu wa kweli na mwenye Nguvu kuliko wote ni Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobu ambaye ndiye Mungu wa Israel. sio huyo mungu wa mood.
 
Ayatollah Mjanja sana hakuwepo alituma tu mwakilishi!!!
Ayatollah hatukagi nje ,siku ile alitangaza siku 3 nyuma kwamba ataswalisha public na akafanya ...Siku ule mlipewa taarifa mngejaribu .

Nenda mkagoogle kama jamaa anatoka nje ...
 
Ayatollah kapindua Dola Iran kipindi anatumia smg uje umtishe na hivyo vibajaji. Walitamani watu wasije kwenye mazishi ya kipenzi chao sasa watu 1.4 milion+ wamefika beirut wakiwa na jambo lao
Wengi wao watakuwa wamefika kama sehemu ya Utalii ili kujionea kwa macho kilichofanyika hapo Gaza kama matokeo ya kuwakumbatia HAMAS.
 
Back
Top Bottom