Ndege-vita za Israel(IAF) zatamba kwenye mazishi ya Hassan Nasrallah huko Beirut, Lebanon

Ndege-vita za Israel(IAF) zatamba kwenye mazishi ya Hassan Nasrallah huko Beirut, Lebanon

Acha shobo na picha yako hiyo ,mnatemewa mate huko ,huna kazi unalazimisha undugu .

Kwa umri wako tafuta kazi ya kufanya hizi mada zilishaisha kabisa.🤣🤣Mfia dini.
Nasema hivi safari hii Mpaka Mnikome nitakuwa natoa taarifa za upuuzi wenu kila siku maana mmezoea sana kufanya upuuzi!!
 
kwani nilazima wawe wakristo ndio tuwaunge mkono mbona waislamu mnamuunga mkono Putin na sio muislamu
Uliambiwa wapi vita ina mlengo wa kidini ,nyie mnafirikia wapalestina ni waislamu 🤣🤣mnaogopa Israel anaweza kudundwa maana mnaamini ni taifa teule ....Wabongo kwa ushabiki hamjambo.
 
Nasema hivi safari hii Mpaka Mnikome nitakuwa natoa taarifa za upuuzi wenu kila siku maana mmezoea sana kufanya upuuzi!!
Hizi taarifa hazituhusu maana unajipa fundo kweny moyo wako mpaka unazeek kwa kuvaa vitenge ...Uko shamba hapo endelea kulima 🤣
 
Kwani wewe mbona unafuatilia mambo haykuhusu 🤣🤣wewe ni mkristo hao mayahudi sio wakristo jitambue shobo mbaya sana.
Ndege-vita za Israel zilivyokuwa zinawatia Jambajamba waliohudhuria mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah huko Beirut,Lebanon
 

Attachments

  • IMG_1729.jpeg
    IMG_1729.jpeg
    190.4 KB · Views: 1
  • IMG_1733.jpeg
    IMG_1733.jpeg
    202 KB · Views: 1
  • ⚡️BREAKING_The_funeral_of_Seyyed_Hassan_Nasrallah_has_begun_in_Lebanon.mp4
    11.3 MB
  • IMG_1732.jpeg
    IMG_1732.jpeg
    339.3 KB · Views: 2
Ndege-vita za Jeshi la Israel leo hii zimekuwa zikitamba kwenye anga la Beirut wakati wa mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah aliyeuwawa na majeshi ya Israel Sept 27,2024 saa 12:21 jioni. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanja I hapo zikiwa kwenye speed na zikiwa kwenye “After-Burner” hivyo kusababisha mtafaruku mkubwa uwanjani hapo na ililazimu mtangazaji kuwatangazia watu watulie wasibabaike. Uwanjani hapo walikuwepo viongozi wakuu kutoka Yemen,Iran na nchi zingine zinazounga mkono Magaidi hao wa Hezbollah. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanjani hapo zikiwa kwenye Formation ya Arrowhead
Wamepitisha ndege kumpa heshima shujaaa wa lebanon mwamba wa mashariki.Adui katoa air show msibani safi sana amewapa kiki wa lebanese
 
Ndege-vita za Jeshi la Israel leo hii zimekuwa zikitamba kwenye anga la Beirut wakati wa mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah aliyeuwawa na majeshi ya Israel Sept 27,2024 saa 12:21 jioni. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanja I hapo zikiwa kwenye speed na zikiwa kwenye “After-Burner” hivyo kusababisha mtafaruku mkubwa uwanjani hapo na ililazimu mtangazaji kuwatangazia watu watulie wasibabaike. Uwanjani hapo walikuwepo viongozi wakuu kutoka Yemen,Iran na nchi zingine zinazounga mkono Magaidi hao wa Hezbollah. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanjani hapo zikiwa kwenye Formation ya Arrowhead
nyie wagalatia wafuasi wa Mfalme Zumaridi mna tabu sana kuingilia mambo yasiyowahusu, unawaita magaidi kwani wamekuulia mkeo au dadaako, punguza kiherehere, hao mayahudi ndio magaidi wakubwa na ndio chanzo cha ugaidi duniani
 
Wengi wao watakuwa wamefika kama sehemu ya Utalii ili kujionea kwa macho kilichofanyika hapo Gaza kama matokeo ya kuwakumbatia HAMAS.
That's how the popular resistance is, achilia mbali nchi mbali mbali zilizosherehekea huko zilipo mazishi haya, Palestine is the land our Prophet set foot when he was going to meet Our Lord you will never set us apart with Al Aqsa, it will never happen
 
nyie wagalatia wafuasi wa Mfalme Zumaridi mna tabu sana kuingilia mambo yasiyowahusu, unawaita magaidi kwani wamekuulia mkeo au dadaako, punguza kiherehere, hao mayahudi ndio magaidi wakubwa na ndio chanzo cha ugaidi duniani
Hao unaowaita wewe magaidi walikuulia mkeo au doda yako? Waarabu ni chanzo cha ugaidi duniani!!
 
Back
Top Bottom