Ndege-vita za Israel(IAF) zatamba kwenye mazishi ya Hassan Nasrallah huko Beirut, Lebanon

Ndege-vita za Israel(IAF) zatamba kwenye mazishi ya Hassan Nasrallah huko Beirut, Lebanon

Shahidi Nasralah alipigwa mabomu tani 80 yaliyosambaratisha jengo zima lakini hakutoka hata kovu zaidi ya kufariki kwa presha ya kishindo kile akiwa katka Banka lake na mpaka leo anaenda kuzikwa taarifa zinasema mwili wake ukiona kama amelala tu na unakia vizuri tu
Hizo ni fix za masjid ubwabwa tu kama zilivyo siku zote.
 
Ina maana hapo mashariki ya kati ndege za kivita za Israel zinaruka tu kama zinavyopenda na ndio maana hata marubani wa kike wanafunga safari na kwenda kumchakaza mtu na baadae zinarejea Israel salama salmin.
Ongea taratibu Wafuga midevu na Majini wasikusikie.!!!! IAF haina mpinzani mashariki ya kati mpaka Iran
 
wameishia tu kusema walau wakibaru, wakati allah mwenyewe hana hata nguvu za kuwasaidia dhidi ya myahudi. ni kapepo fulani ka kiarabu wala sio Mungu. duniani miungu ni migi, ila Mungu wa kweli na mwenye Nguvu kuliko wote ni Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobu ambaye ndiye Mungu wa Israel. sio huyo mungu wa mood.

Sikiliza maneno ya mwanazuoni hapo.
 
Ndege-vita za Jeshi la Israel leo hii zimekuwa zikitamba kwenye anga la Beirut wakati wa mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah aliyeuwawa na majeshi ya Israel Sept 27,2024 saa 12:21 jioni. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanja I hapo zikiwa kwenye speed na zikiwa kwenye “After-Burner” hivyo kusababisha mtafaruku mkubwa uwanjani hapo na ililazimu mtangazaji kuwatangazia watu watulie wasibabaike. Uwanjani hapo walikuwepo viongozi wakuu kutoka Yemen,Iran na nchi zingine zinazounga mkono Magaidi hao wa Hezbollah. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanjani hapo zikiwa kwenye Formation ya Arrowhead
Mpk leo walikua nae bado?walidhani atafufuka?
kashasahaulika
 
Ninavyojua mimi jihad ni vita ya dini
Mfano hapo kati ya kongo na M23 mwenye haki na ardhi kama ni Mkongo basi wanajeshi wote wa kongo waliofariki wote ni direct peponi mpaka wananchi waliopitia madhila yake wote peponi, kwahio mtu anapotaka kuchukua ardhi akutoe katka ardhi yako hio ni jihadi ya haki kabisa na malepo ni akhera hata hapa Tanzania tukivamiwa ardhi yetu watakao shika mtutu wako katka jihadi malipo ya kishahidi, pia hata

Mama anayejifungua akifa anamalipo ya kishahidi, ugonjwa mbaya wa tumbo kuharisha au tumbo kusokotwa mpaka mauti malipo ya kishahidi yaani kuna scenerio Zaid ya saba yenye malipo ya kishahidi
 
Kwa taarifa yako tu wakristo na Wayahudi hata siku moja ha uwięzi kuwatenganisha maana Bila Wayahudi Ukristo usingekuwepo na Yesu alikuwa Muyahudi akina Daud,Saul na mitume wengine walikuwa wayahudi sasa ninyi na Shobo zenu mnawatenganisha vipi?. Pia nikutaarifu tu ukimuona Mkristo anapingana na Israel au wayahudi jua huyo alisha-asi siku nyingi amebakia jina tu. Wakristo na Wayahudi ni sawa na Maji na Samaki!!!. Kama kubwabwaja tu endeleeni kubwabwaja lakini huwezi kuwatenganisha watu hao!!
Acha shobo wewe unamwoga myahudi kama Mungu mtu ila wewe anakuona dekio tu
 
Mfano hapo kati ya kongo na M23 mwenye haki na ardhi kama ni Mkongo basi wanajeshi wote wa kongo waliofariki wote ni direct peponi mpaka wananchi waliopitia madhila yake wote peponi, kwahio mtu anapotaka kuchukua ardhi akutoe katka ardhi yako hio ni jihadi ya haki kabisa na malepo ni akhera hata hapa Tanzania tukivamiwa ardhi yetu watakao shika mtutu wako katka jihadi malipo ya kishahidi, pia hata

Mama anayejifungua akifa anamalipo ya kishahidi, ugonjwa mbaya wa tumbo kuharisha au tumbo kusokotwa mpaka mauti malipo ya kishahidi yaani kuna scenerio Zaid ya saba yenye malipo ya kishahidi
Ok
 
Mfano hapo kati ya kongo na M23 mwenye haki na ardhi kama ni Mkongo basi wanajeshi wote wa kongo waliofariki wote ni direct peponi mpaka wananchi waliopitia madhila yake wote peponi, kwahio mtu anapotaka kuchukua ardhi akutoe katka ardhi yako hio ni jihadi ya haki kabisa na malepo ni akhera hata hapa Tanzania tukivamiwa ardhi yetu watakao shika mtutu wako katka jihadi malipo ya kishahidi, pia hata

Mama anayejifungua akifa anamalipo ya kishahidi, ugonjwa mbaya wa tumbo kuharisha au tumbo kusokotwa mpaka mauti malipo ya kishahidi yaani kuna scenerio Zaid ya saba yenye malipo ya kishahidi
Je na Mabikira 72 watawapata ili wawabikiri..? Kama wanaume wanapewa Mabikira 72 je wanawake wao watapewa nini?
 
Wengi wao watakuwa wamefika kama sehemu ya Utalii ili kujionea kwa macho kilichofanyika hapo Gaza kama matokeo ya kuwakumbatia HAMAS.

Shughuli imefanyikia nchini Lebanon siyo Gaza, Gaza ni Mamlaka ya Palestina "nchi" nyingine kabisa
 
Ayatollah kapindua Dola Iran kipindi anatumia smg uje umtishe na hivyo vibajaji. Walitamani watu wasije kwenye mazishi ya kipenzi chao sasa watu 1.4 milion+ wamefika beirut wakiwa na jambo lao

Uwanja unaweza kubeba watu 50,000 tu hao mamilioni wamekaa wapi? Tujifunze kuepuka hizi exaggeration au tupende kupata taarifa kutoka credible sources.
 
Shughuli imefanyikia nchini Lebanon siyo Gaza, Gaza ni Mamlaka ya Palestina "nchi" nyingine kabisa
Waw! Kumbe ni huko Lebanon wametembelewa na Watalii hao waliokwenda kushuhudia jinsi Lebanon walivyopata hasara kubwa kwa kuikumbatia Hezbollah nchini mwao Lebanon.
 
Shughuli imefanyikia nchini Lebanon siyo Gaza, Gaza ni Mamlaka ya Palestina "nchi" nyingine kabisa
Marekebisho kidogo Gaza ni ya Hamas na ukisema mamalaka ya Palestina ujue Una maanisha West-Bank au Judea & Samaria.
 
Back
Top Bottom