Hiiii ya kujiona nadhani inawezekanaa ikawa ndio sababu kuuWanajiona kwenye kioo. Hupigana wakidhani yule ni ndege mwenzake ameingia kwenye himaya yake. Pia kuna mida hufanya hivyo kwa lengo la kucheza na kufurahi mkuu.
Hata mimi napitia hii changamoto nimeshindwa kupata suluhishoHabari za muda huu!
Nipende kumshukuru mama Samia Suluhu kwa kuniamsha salama. Nimeamka umeme hamna niko likizo nikasema nijilaze sasa kero ni Ndege aise wanagonga madirisha ya chumbani kwnagu mpaka naonea vioo huruma. Kwa ambaye anapitia hii changamoto huwa unafanyeje? Eneo nililoko ni Rombo km 2 kutoka msitu wa mlima Kilimanjaro.
Habari za muda huu!
Nipende kumshukuru mama Samia Suluhu kwa kuniamsha salama. Nimeamka umeme hamna niko likizo nikasema nijilaze sasa kero ni Ndege aise wanagonga madirisha ya chumbani kwnagu mpaka naonea vioo huruma. Kwa ambaye anapitia hii changamoto huwa unafanyeje? Eneo nililoko ni Rombo km 2 kutoka msitu wa mlima Kilimanjaro.
Huu uchafu umeanzia kwa viongozi wetu na hasa wakijua saa mbili kamili wataruka hewani via news,Nipende kumshukuru mama Samia Suluhu kwa kuniamsha salama.
Muuwaji mkubwa weweKama Kuna kibanda Chao juu ya nyumba yako watoe kama hakipo paka Sumu hapo kwenye kiooo na wao huwa wanacheza hapo eti wanajiangalia na kupiga hata huku kwangu kigamboni walikuwa ndo michezo Yao ila nilipo paka dawa sijawahi kuwaona tena
[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Muuwaji mkubwa wewe
Palilia majani humo ndani mwako.Ndege wanataka wakate majani wakaunde viota vyao.Habari za muda huu!
Nipende kumshukuru mama Samia Suluhu kwa kuniamsha salama. Nimeamka umeme hamna niko likizo nikasema nijilaze sasa kero ni Ndege aise wanagonga madirisha ya chumbani kwnagu mpaka naonea vioo huruma. Kwa ambaye anapitia hii changamoto huwa unafanyeje? Eneo nililoko ni Rombo km 2 kutoka msitu wa mlima Kilimanjaro.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waache tuu....pia ukiona hivyo ujue nyumba yako ina baraka
Ukiona nyumba hata ndege akatizi ujue hyo nyumba msala
Madirisha ni yale ambayo ukiwa ndani unaona nje na ukiwa nje hauoni ndani?Habari za muda huu!
Nipende kumshukuru mama Samia Suluhu kwa kuniamsha salama. Nimeamka umeme hamna niko likizo nikasema nijilaze sasa kero ni Ndege aise wanagonga madirisha ya chumbani kwnagu mpaka naonea vioo huruma. Kwa ambaye anapitia hii changamoto huwa unafanyeje? Eneo nililoko ni Rombo km 2 kutoka msitu wa mlima Kilimanjaro.
Kwanza nianze kwa kumshukuru mama kwa kuniwezesha kuyatambua madirisha ya nyumba yako, nimeyaona ni yale unaweza kujiona japo ni tofauti na yale ya kujitazama. Ushauri wangu badilisha vioo au weka wavu laini ambao wakijibamiza hawataumia.Habari za muda huu!
Nipende kumshukuru mama Samia Suluhu kwa kuniamsha salama. Nimeamka umeme hamna niko likizo nikasema nijilaze sasa kero ni Ndege aise wanagonga madirisha ya chumbani kwnagu mpaka naonea vioo huruma. Kwa ambaye anapitia hii changamoto huwa unafanyeje? Eneo nililoko ni Rombo km 2 kutoka msitu wa mlima Kilimanjaro.
Hawafurahii kucheza, ni kwamba wanadhani wenzao wapo upande wa pili. Hawajui kwamba wanajiona wenyewe..!!! Hivyo wanataka wafike walipo wenzaoMimi kwangu madirisha ya pande zote jikoni. Mwanzo nikawa namwaga mchele na mtama chini ya dirisha naacha na maji nje kwenye beseni haijasaidia. Nilidhani itawadistract wasifocus kwenye kioo.
Nadhani wanafurahia kucheza.
Asante mama Samia kwa kukuwezesha kuwa na madirisha yenye vioo vya kisasa hadi ndege wanakuja kupaka poda kwako.Habari za muda huu!
Nipende kumshukuru mama Samia Suluhu kwa kuniamsha salama. Nimeamka umeme hamna niko likizo nikasema nijilaze sasa kero ni Ndege aise wanagonga madirisha ya chumbani kwnagu mpaka naonea vioo huruma. Kwa ambaye anapitia hii changamoto huwa unafanyeje? Eneo nililoko ni Rombo km 2 kutoka msitu wa mlima Kilimanjaro.