Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wanakufuru bila kujua.Nipende kumshukuru mama Samia Suluhu kwa kuniamsha salama.
haya bhana kwamba yeye ni mungu wako siyo??
Hata kwangu masaki nina changamoto hyo mkuu. Ni dawa gani nipake pia?Kama Kuna kibanda Chao juu ya nyumba yako watoe kama hakipo paka Sumu hapo kwenye kiooo na wao huwa wanacheza hapo eti wanajiangalia na kupiga hata huku kwangu kigamboni walikuwa ndo michezo Yao ila nilipo paka dawa sijawahi kuwaona tena
SISI KUNGURU SAA 11 ASBH NN NDEGE M NSHAWAZOEAHabari za muda huu!
Nipende kumshukuru mama Samia Suluhu kwa kuniamsha salama. Nimeamka umeme hamna niko likizo nikasema nijilaze sasa kero ni Ndege aise wanagonga madirisha ya chumbani kwnagu mpaka naonea vioo huruma. Kwa ambaye anapitia hii changamoto huwa unafanyeje? Eneo nililoko ni Rombo km 2 kutoka msitu wa mlima Kilimanjaro.
Ni dhihaka hiyo, usichukulie kwa umakini!Nipende kumshukuru mama Samia Suluhu kwa kuniamsha salama.
haya bhana kwamba yeye ni mungu wako siyo??
Fungua madirisha waingie ndani uwafanye kitoweo mkuu. Wewe hupendi nyama ya ndege?🤣😂🤣😂Habari za muda huu!
Nipende kumshukuru mama Samia Suluhu kwa kuniamsha salama. Nimeamka umeme hamna niko likizo nikasema nijilaze sasa kero ni Ndege aise wanagonga madirisha ya chumbani kwnagu mpaka naonea vioo huruma. Kwa ambaye anapitia hii changamoto huwa unafanyeje? Eneo nililoko ni Rombo km 2 kutoka msitu wa mlima Kilimanjaro.
[emoji1][emoji1]Nakupongeza kwa kumshukuru mama wewe ukiwa mchaga wa CCM. CCM oye,
Lakini ungekua umeoa hao ndege wasingekubughudhi maana ungekua ume concentrate kwa jiko lako.
Habari za muda huu!
Nipende kumshukuru mama Samia Suluhu kwa kuniamsha salama. Nimeamka umeme hamna niko likizo nikasema nijilaze sasa kero ni Ndege aise wanagonga madirisha ya chumbani kwnagu mpaka naonea vioo huruma. Kwa ambaye anapitia hii changamoto huwa unafanyeje? Eneo nililoko ni Rombo km 2 kutoka msitu wa mlima Kilimanjaro.
Hawaachi hao wakijiona kwenye vioo wanadhani ni ndege wengine kwa hiyo wanakuwa wanadonyoaHabari za muda huu!
Nipende kumshukuru mama Samia Suluhu kwa kuniamsha salama. Nimeamka umeme hamna niko likizo nikasema nijilaze sasa kero ni Ndege aise wanagonga madirisha ya chumbani kwnagu mpaka naonea vioo huruma. Kwa ambaye anapitia hii changamoto huwa unafanyeje? Eneo nililoko ni Rombo km 2 kutoka msitu wa mlima Kilimanjaro.