Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kuzuia labda ubadilishe vioo.Ndiyo
Aise acha kabisa mkuuVijana wanakufuru bila kujua.
OkayNi dhihaka hiyo, usichukulie kwa umakini!
Mnawaza kulakula tu.Kamata hao ubanike asusa nzuri sana!, ndugu wa kumshukulu ni mwenyezi mungu pekee siyo bindanamu yeyote.
Kweli, hata kwangu hii tabia ipoWatakuwa wanajiona kwa nje.
Hapo hakuna namna labda ubadili aina ya kioo
Acha kukufuru we kimaNipende kumshukuru mama Samia Suluhu kwa kuniamsha salama.
Sawa mkuu nitafanya hivyo kwa maana hii ni kero kwa kweli. Nikiona hali ni mbaya nitabidi nimwombe mama samia anisaidieKwanza napenda kumshukuru mheshimiwa rais dr samia suluhu hassan kwa kunifikisha muda huu..pili cha kufanya paka chokaa kidogo kwenye vioo..itasaidia
Anhaaa okay! Mi mwanzo nilidhani wanaona maji 🤣Hawafurahii kucheza, ni kwamba wanadhani wenzao wapo upande wa pili. Hawajui kwamba wanajiona wenyewe..!!! Hivyo wanataka wafike walipo wenzao
Kwangu kaja kunguru kajigonga sana hadi nikadhani atavunja kioo ila nadhan anavyojiona image yake kwenye kioo anadhan ni ndege mwenzakeNi kawaida sana, wanajiona wanapenda kucheza. Uzuri hawezi kupasua kioo
Habari za muda huu!
Nipende kumshukuru mama Samia Suluhu kwa kuniamsha salama. Nimeamka umeme hamna niko likizo nikasema nijilaze sasa kero ni Ndege aise wanagonga madirisha ya chumbani kwnagu mpaka naonea vioo huruma. Kwa ambaye anapitia hii changamoto huwa unafanyeje? Eneo nililoko ni Rombo km 2 kutoka msitu wa mlima Kilimanjaro.
Amwambie aliemsifu amsaidieDuh! Yaani michezo yao iwe karaha kwa wengine? Kwanini wasijenge vioo vyao vya kuchezea? Serikali iingilie kati (utani😀)
Haa ini ni mlifuNansha tiki mbeee